Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hata kama shemela mengine tunakaushaMi na wewe shemela..!!!
Hata kama shemela mengine tunakaushaMi na wewe shemela..!!!
Analeta uzungu wa kwenye tamthilia kwenye mapenzi ya kibongo..Hata mimi nimemshangaa, inakuwaje anajisema hata hajaulizwa
Kanishangaza sanaAnaleta uzungu wa kwenye tamthilia kwenye mapenzi ya kibongo..
Vitamthilia Wanavyoangalia Vinawaharibu sana, na wao Wanajiona Wa Mbele,. Ngoja akutane na Kisasi cha Mbongo..Analeta uzungu wa kwenye tamthilia kwenye mapenzi ya kibongo..
Wanaume huwa hamsamehi....mnasamehe kwa mdomo lakini moyoni mnabaki na kisasi baada ya hapo kila akiteleza mwenza wako mnamhukumu na usaliti...Yaani hata ukikutwa uchi kitandani kama hajamkuta jamaa juu ya kifua ni kukataa tuu kwamba hujafanya chochote....Mbona unatusemea alafu kwa msisitizo.
Kiukweli tunasamehe vizuri tu maisha yanaendelea
Hayo mahusiano ameyatia nyongo..Bora achape lapa..Kanishangaza sana
Yani hiyo ndo fimbo jamaa atatumia kumchapia..Vitamthilia Wanavyoangalia Vinawaharibu sana, na wao Wanajiona Wa Mbele,. Ngoja akutane na Kisasi cha Mbongo..
Feeling guilty, kuomba msamaha na kuhofia kurudia tena kosa ni sawa na kuomba msamaha na kuendelea kufanya kosa.Hi guys,
Hope mmeanza weekend poa.!!
Niende kwa mada, Nina rafiki yangu wa kike alikuwa ana date mpenzi wake ambaye yupo abroad kimasomo, time passes by wakiwa wanaendelea vizuri kwa mahusiano yao wanawasiliana tu vizuri na mara kwa mara..!!
Wakiwa wanaaminiana huku kila mmoja akiahidi ku keep promise as walikuwa committed to each other..
the bad day arrived as girl alikuwa ako na ex wake yupo mkoa mwingine anafanya kazi huko, so ex akawa amerejea akamfuata binti mpaka kwao anaomba waonane japo waongee tu.!!
Hapo ndo pahala mrembo akabugi akaenda onana naye, wakazungumza vizuri huku wanakunywa wine na nafasi ya usaliti ikajitokeza hapo, Na imagine alikuwa amekaa muda mrefu bila kufanya kosa while akimsubiri mpenzi wake,
After that, akakosa gut ya kuongea vizuri na mpenzi wake maana akawa anafeel guilty, Mpenzi wake akagundua changes kwa communication yao, akawa ameforce kutaka kujua what's going down?
Binti uvumilivu ukamshinda akasema ukweli na kuomba radhi, the guy aliumia ila after a while akamuambia kuwa amemsamehe..!!
Sasa tatizo binti ana feel guilty sababu kavumilia muda mrefu kaja kuvunja jungu mlangoni, Pili haamini kama kweli the guy kamsamehe maana kamuambia amvumilie anarudi very soon waongee, ila mrembo anataka aachane naye tu kabla hata hajarudi sababu anasema kama ameweza kum cheat this time after all promises, obviously anahofia hili laweza kujirudia hata ikitokea kamsamehe anaweza muumiza tena..
Kajaribu kumuambia bora iishe ila the guy kagoma katu katu kumuacha, hivi wanaume unaweza salitiwa na mpenzi wako na ukafahamu, na ukamsamehe kwa moyo mmoja na ukawa tayari kuendelea naye bila kinyongo chochote??
Ni suala la muda tu, kusamehe sio jambo rahisi lakin ni muhimu kwa afya ya moyo kinachofanya wengi wafeli kwenye hilo ni kumbukumbu za alichofanyiwaWanaume huwa hamsamehi....mnasamehe kwa mdomo lakini moyoni mnabaki na kisasi baada ya hapo kila akiteleza mwenza wako mnamhukumu na usaliti...Yaani hata ukikutwa uchi kitandani kama hajamkuta jamaa juu ya kifua ni kukataa tuu kwamba hujafanya chochote....
Huu ndiyo ukweli, mfano mzuri ni mimi (siwezi kusamehe kosa la usaliti, haki ya msaliti ni kifo)Wanaume huwa hawasamehi usaliti kamwe..kwanza kwanini alimwambia angebaki na siri yake moyoni...Hapo mwanaume atakuwa anamtafutia timing amlipizie. Jamani wanawake kama mwanaume hajakufumania live usikubali kwamba umemsaliti narudia tena usikubali kabisa huwa hawasamehi kabisa.
Yatahangaisha moyo... Wengine tusipoambiwa jambo tunahisi linakaba moyoHata kama shemela mengine tunakausha
😀😀Wanaume huwa hawasamehi usaliti kamwe..kwanza kwanini alimwambia angebaki na siri yake moyoni...Hapo mwanaume atakuwa anamtafutia timing amlipizie. Jamani wanawake kama mwanaume hajakufumania live usikubali kwamba umemsaliti narudia tena usikubali kabisa huwa hawasamehi kabisa.