Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Wanaume huwa hawasamehi usaliti kamwe..kwanza kwanini alimwambia angebaki na siri yake moyoni...Hapo mwanaume atakuwa anamtafutia timing amlipizie. Jamani wanawake kama mwanaume hajakufumania live usikubali kwamba umemsaliti narudia tena usikubali kabisa huwa hawasamehi kabisa.

Yani nimeshangaa huyo dada kilichomsibu mpaka aseme ati guilt hio vipi au sisi wengine ndio makonki ukichepuka jutia rudi njia kuu🤣
Mtu ajakuvesha hata pete how sure are you kama hata anakupenda kiivyo
 
Mkuu hujawahi ku cheat maishani mwako??
Luka 17:3-5
[3]Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
[4]Na kama akikukosa mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
[5]Mitume wakamwambia Bwana, Tuongezee imani.

Umeona huo mstari wa 5?
Mitume baada ya kuona hilo sio jambo dogo na linahitaji moyo wa kipekee, wanamwambia Bwana YESU,.. "TUONGEZEE IMANI".... maana sio moyo wa kawaida mtu akukosee na kukuumiza halafu unasamehe.. Hasa uasherati na usaliti.
 

Wapo mkuu ila hilo ndo chaguo lake.!!
Huyo mwanamke asubiri azae watoto wawili apoteze uzuri wake wa awali ndo atajua kwanini wanaume hawasemehi ..

Mi nilianza mahusiano tu, nikakuta ex wake anamkumbushia mbona umenisusa hivo na nikajua wanachat hata baada ya kuwa na mimi,huyo ni mwanamke nayempenda sana na nipo nae hadi saivi anadai kabadilika na namuona kabadilika na ushahidi haukukamilika Ni chat simple sana lakini bcoz alikuwa ex wake tu basi nilitomb* nje Miaka 5 yote hadi leo kafuma msg za Wanawake hadi kachoka,nachompa km support Ni almost nothing na Nina mwanamke mwenye malengo nae nitakayemuoa,Kama adhabu namuhaidi nitamuoa lkn sitamuoa na pamoja na yote hayo sijamsamehe tu.. five good years of asking for msamaha plus kuvumilia useng* wangu wote na bado sijamseheme na anajua Hilo..
Usicheze na moyo wa mwanaume anayekupenda.. sababu kupenda kwetu Ni once na ni udhaifu unadhani biblia iliposema wanaume wapendeni wake zenu Ni kwanini?? mwanaume hajui kupenda kabisaaaaa.Namuonea huruma huyo dada tena sanaaa once a bitch,a bitch
 
mbona sana tu.
inaoneka jamaa anatuma vidolali vyake huku anavyo vipata kwa kazi za kubeba maboksi baada ya masomo alafu manzi anataka amzingue. no way
Mmejua kunifurahisha asubuhi yote hii hakyamama..!!
 
Huyo mwanamke asubiri azae watoto wawili apoteze uzuri wake wa awali ndo atajua kwanini wanaume hawasemehi ..

Mi nilianza mahusiano tu, nikakuta ex wake anamkumbushia mbona umenisusa hivo na nikajua wanachat hata baada ya kuwa na mimi,huyo ni mwanamke nayempenda sana na nipo nae hadi saivi anadai kabadilika na namuona kabadilika na ushahidi haukukamilika Ni chat simple sana lakini bcoz alikuwa ex wake tu basi nilitomb* nje Miaka 5 yote hadi leo kafuma msg za Wanawake hadi kachoka,nachompa km support Ni almost nothing na Nina mwanamke mwenye malengo nae nitakayemuoa,Kama adhabu namuhaidi nitamuoa lkn sitamuoa na pamoja na yote hayo sijamsamehe tu.. five good years of asking for msamaha plus kuvumilia useng* wangu wote na bado sijamseheme na anajua Hilo..
Usicheze na moyo wa mwanaume anayekupenda.. sababu kupenda kwetu Ni once na ni udhaifu unadhani biblia iliposema wanaume wapendeni wake zenu Ni kwanini?? mwanaume hajui kupenda kabisaaaaa.Namuonea huruma huyo dada tena sanaaa once a bitch,a bitch
Siwez vumilia mwanamke anaewasiliana na ex wake, hyo adhabu itakua pgo maishan mwake
 
Huyo mwanamke asubiri azae watoto wawili apoteze uzuri wake wa awali ndo atajua kwanini wanaume hawasemehi ..

Mi nilianza mahusiano tu, nikakuta ex wake anamkumbushia mbona umenisusa hivo na nikajua wanachat hata baada ya kuwa na mimi,huyo ni mwanamke nayempenda sana na nipo nae hadi saivi anadai kabadilika na namuona kabadilika na ushahidi haukukamilika Ni chat simple sana lakini bcoz alikuwa ex wake tu basi nilitomb* nje Miaka 5 yote hadi leo kafuma msg za Wanawake hadi kachoka,nachompa km support Ni almost nothing na Nina mwanamke mwenye malengo nae nitakayemuoa,Kama adhabu namuhaidi nitamuoa lkn sitamuoa na pamoja na yote hayo sijamsamehe tu.. five good years of asking for msamaha plus kuvumilia useng* wangu wote na bado sijamseheme na anajua Hilo..
Usicheze na moyo wa mwanaume anayekupenda.. sababu kupenda kwetu Ni once na ni udhaifu unadhani biblia iliposema wanaume wapendeni wake zenu Ni kwanini?? mwanaume hajui kupenda kabisaaaaa.Namuonea huruma huyo dada tena sanaaa once a bitch,a bitch
daaah'..
this is so sad mkuu.!!
Achilia tu then let her go, adhabu uliyompa ni kubwa sana.!!
 
Siwez vumilia mwanamke anaewasiliana na ex wake, hyo adhabu itakua pgo maishan mwake
Mi na mchora tu Mwanaume mwenye uume umesimama vzr,anayejua kutongoza mwenye maisha yake mazuri...

K****** usicheze na moyo wake hayaishi ng'ooooooo...
 
Mungu mwenyewe na moyo wake mwema "hawezi kumsamehe shetwani"

Ukweli mwanaume mimi siwezi kumsamehe mwanamke msaliti ila naweza kuendelea kuwa nae kwa sababu maalumu.
Maalum kama ipi mkuu??
 
Ukiona mwanamke anakwambia kuwa kacheat na hujamuuliza wala kudoubt jua kuwa Kanogewa na aliemkulaaa... Yani haoni shida kukupoteza...!! Na huyo dada akikubali kudate na jamaa ake tena walahi atamfanyia kitu mbaya sanaa.. Wanaume visasi ndo zetu
Jamaa ali doubt maana aliona mtu kabadilika kwa mawasiliano hayupo kama mwanzo.!!
Nimemshauri it's better atembee mbere.!!
 
Back
Top Bottom