Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Status
Not open for further replies.
Mkuu kiwatengu wakinga kwa sasa wapo juu sana kariakoo, mpaka wachagga wanawakimbia kwa madai eti wanatumia dawa asili kufanya biashara, utawahurumia.

Hivi jamani...mmeshafika Makete 'mjini'? Au hata miji ya karibu ya hao waKinga (Njombe, Makambako)...halafu mfananishe na Moshi mjini...au hata mfananishe Makete Mjini na kule kijijini kwetu Marangu, au Machame, au Kibosho etc! waChagga tunarudisha maendeleo kwetu..tuchukieni tu, lakini mti wenye matunda ndio unaotwangwa mawe..mtatutwanga sana mawe..kalagha'baho!
 
Ni vigumu sana kulinganisha kabila au jamii iliyoko nchi nzima na kila walipo wana nafasi kama si ya pili ni ya tatu kiuchumi ktk eneo husika na jamii inayokaa ilala tu tena kariakoo.
Wachaga wako kila mahali kuanzia Washington, London, Berlin .
Kwa tz ndio usiseme Kahama. Mwanza.Geita.Moro
 
Heh heh kukua kwa biashara ndio kukua kwa ufugaji wa majoka majumbani yenye vikaratasi vilivyoandikwa kiarabu
 
Ni vigumu sana kulinganisha kabila au jamii iliyoko nchi nzima na kila walipo wana nafasi kama si ya pili ni ya tatu kiuchumi ktk eneo husika na jamii inayokaa ilala tu tena kariakoo.
Wachaga wako kila mahali kuanzia Washington, London, Berlin .
Kwa tz ndio usiseme Kahama. Mwanza.Geita.Moro

Kaka umelipukaa
 
Mkuu kiwatengu wakinga kwa sasa wapo juu sana kariakoo, mpaka wachagga wanawakimbia kwa madai eti wanatumia dawa asili kufanya biashara, utawahurumia.

Mmmhh acha urongo mchaga huwa haogopi kufanya biashara na mtu awaye yeyote labda simba wa porini.
 
Last edited by a moderator:
Economically they provide employment to tanzanian na tunawaibia pia usisahau hizo pesa tunatumia kufanya mambo ya maendeleo kama kujenga nyumba na mambo mengine umenielewa sasa mkuu

palipo na wahindi au waarabu hapaendelei..
 
Hivi jamani...mmeshafika Makete 'mjini'? Au hata miji ya karibu ya hao waKinga (Njombe, Makambako)...halafu mfananishe na Moshi mjini...au hata mfananishe Makete Mjini na kule kijijini kwetu Marangu, au Machame, au Kibosho etc! waChagga tunarudisha maendeleo kwetu..tuchukieni tu, lakini mti wenye matunda ndio unaotwangwa mawe..mtatutwanga sana mawe..kalagha'baho!

ewaa,.

Aika mbee,..
 
mtu unalinganisha makete na machame hahahhahahhaha nendeni kilimanjaro ndio mtajua nani wako juu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom