Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Status
Not open for further replies.
Hawa wote Niko Nao na nimewatia mfukoni. Wote hakuna anayetafuta kihalali ni wezi na wachawi. Wanauchawi wa kihindi.
 
to the growth of dar city, what is their contributions?

Economically they provide employment to tanzanian na tunawaibia pia usisahau hizo pesa tunatumia kufanya mambo ya maendeleo kama kujenga nyumba na mambo mengine umenielewa sasa mkuu
 
Hao wakinga ni watu hatari sana wanaamini na biashara zao wanatumia nguvu za giza sana.
Jan nilifanya biashara na mkinga mmoja wana vitu vya ajabu,,,, alikataa kabisa kulipia bank na akakataa kunipa hela mkononi badala yake ziliwekwa kwny begi na akatupia siti ya nyuma.

Masharti Ya Kwa Mwakipande, Mseketwa Au Mwandulami Lazima Yazingatiwe. Reference Nzuri Ya Wakinga Rejea Kifo Cha Mmiliki Wa Wanyama Hotel
 
Tatizo la watanzania ni uvuvi na kuogopa kujitoa mhanga unapotaka kufanya kitu.... tofauti kati na Wakinga na Wachagga na makabila Mengine.. utabaki kuamini kuwa ni uchawi na ujambazi... watu wanapiga hela mjini.
kumbuka Wakinga wanatoka kawilaya kamoja tu Makete Vs WAchaga almost mkoa mzima wa Kilimanjaro ingekuwa ni kinyume chake basi ingekuwa balaa

Jaribu kuchunguza jinsi wanavyo anza kufanya biashara na hustle wanazopitia utagundua naamanisha nini...
Kama ni Uchawi Basi Watu wa Sumbawanga Ambako mnamininishwa kuna uchawi wa hali ya juuu wangekuwa list ya juu kwenye FORBES MAGAZINE
 
Wakuu,
kuna jambo moja hapa, juu ya uwepo wa wachagga katika jiji la dar es salaam.

Inaaminika dhahiri kuwa jiji hili limekuwa sana
na moja ya kukuwa kwa jiji hili ni biashara na mapana yake..

Now days kuna kabila moja linalokuja vizuri sana
kwenye sekta ya biashara hawa Wakinga, kiukweli wameanza kusikika hivi karibuni na ukuaji wa jiji umeongezeka sana..

Is it true that Kinga's wana influence kubwa kibiashara jijini dar zaidi ya wachagga? walioanza biashara zamani zaidi?
Sijaona comment za wengine ila kwangu mimi hayo makabila mawili siyakubali hata kidogo, wachaga biashara zao nyingi ni za ujambazi na hao wakinga wamemaliza ndugu zao kwa ajili ya utajiri.Kwa hiyo please sema makabila mengine eg Waha,Wasukuma etc ambao wanafanya biashara halali
 
Wakuu,
kuna jambo moja hapa, juu ya uwepo wa wachagga katika jiji la dar es salaam.

Inaaminika dhahiri kuwa jiji hili limekuwa sana
na moja ya kukuwa kwa jiji hili ni biashara na mapana yake..

Now days kuna kabila moja linalokuja vizuri sana
kwenye sekta ya biashara hawa Wakinga, kiukweli wameanza kusikika hivi karibuni na ukuaji wa jiji umeongezeka sana..

Is it true that Kinga's wana influence kubwa kibiashara jijini dar zaidi ya wachagga? walioanza biashara zamani zaidi?

Bongo muna ushindani huu wa kijinga wa Kikabila halafu mpo mbioni sana kunyooshea kidole nchi zingine.
CC: Geza Ulole kadoda11 Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kiwatengu wakinga kwa sasa wapo juu sana kariakoo, mpaka wachagga wanawakimbia kwa madai eti wanatumia dawa asili kufanya biashara, utawahurumia.

Ila wakinga ni wazee wa kupuliza..na pombe kwa saana!! Mcn u my richpol
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la watanzania ni uvuvi na kuogopa kujitoa mhanga unapotaka kufanya kitu.... tofauti kati na Wakinga na Wachagga na makabila Mengine.. utabaki kuamini kuwa ni uchawi na ujambazi... watu wanapiga hela mjini.
kumbuka Wakinga wanatoka kawilaya kamoja tu Makete Vs WAchaga almost mkoa mzima wa Kilimanjaro ingekuwa ni kinyume chake basi ingekuwa balaa

Jaribu kuchunguza jinsi wanavyo anza kufanya biashara na hustle wanazopitia utagundua naamanisha nini...
Kama ni Uchawi Basi Watu wa Sumbawanga Ambako mnamininishwa kuna uchawi wa hali ya juuu wangekuwa list ya juu kwenye FORBES MAGAZINE

Mkinga ni bahili sio mchezo na anajituma no starehe,hapo lazima awe tajiri Wengi zinatuponza starehe ndio maana hatufanikiwi
 
Sijaona comment za wengine ila kwangu mimi hayo makabila mawili siyakubali hata kidogo, wachaga biashara zao nyingi ni za ujambazi na hao wakinga wamemaliza ndugu zao kwa ajili ya utajiri.Kwa hiyo please sema makabila mengine eg Waha,Wasukuma etc ambao wanafanya biashara halali

Wakinga wamemaliza ndugu zao una uhakika?
Makete Ukimwi uliprevail we unasema ushirikina.
Wachaga mnasema ni majambazi huwa wananwibia nani?
 
mleta mada mbishi balaa.kaleta mada kwa mtindo wa swali ili ajibiwe lakini kila post inayojibu anapinga.jf bhana raha kweli.
 
Nenda Iringa mjini wahindi wamekimbia wote wameshindwa kufanya biashara na mkinga kisa ndumba waliobaki hawana kwa kwenda sasa wamehamia kariakoo soon wahindi wote +wachina wa maua watakimbilia Arusha chezea mkinga wewe "mkinga nilimkinga ila nilim born town"
 
Bongo muna ushindani huu wa kijinga wa Kikabila halafu mpo mbioni sana kunyooshea kidole nchi zingine.
CC: Geza Ulole kadoda11 Bulldog

taratibu mkuu,acha kulinganisha ukubwa wa bahari na ziwa.

ni ukabila gani wa wabongo uliotufikisha tukachinjana kama kenya ktk ile PEV 2007–08?.

ni ukabila upi uliotufikisha tz mpaka nafasi zote nyeti serikalini kukamatwa na watu wa kabila moja kama kwa serikali ya kenya na wakikuyu/kalenjin?.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la watanzania ni uvuvi na kuogopa kujitoa mhanga unapotaka kufanya kitu.... tofauti kati na Wakinga na Wachagga na makabila Mengine.. utabaki kuamini kuwa ni uchawi na ujambazi... watu wanapiga hela mjini.
kumbuka Wakinga wanatoka kawilaya kamoja tu Makete Vs WAchaga almost mkoa mzima wa Kilimanjaro ingekuwa ni kinyume chake basi ingekuwa balaa

Jaribu kuchunguza jinsi wanavyo anza kufanya biashara na hustle wanazopitia utagundua naamanisha nini...
Kama ni Uchawi Basi Watu wa Sumbawanga Ambako mnamininishwa kuna uchawi wa hali ya juuu wangekuwa list ya juu kwenye FORBES MAGAZINE

Umenena mkuu....hebu wajaribu kufuatilia jinsi hawa watu wanavyoendesha biashara zao...
 
Tatizo la watanzania ni uvuvi na kuogopa kujitoa mhanga unapotaka kufanya kitu.... tofauti kati na Wakinga na Wachagga na makabila Mengine.. utabaki kuamini kuwa ni uchawi na ujambazi... watu wanapiga hela mjini.
kumbuka Wakinga wanatoka kawilaya kamoja tu Makete Vs WAchaga almost mkoa mzima wa Kilimanjaro ingekuwa ni kinyume chake basi ingekuwa balaa

Jaribu kuchunguza jinsi wanavyo anza kufanya biashara na hustle wanazopitia utagundua naamanisha nini...
Kama ni Uchawi Basi Watu wa Sumbawanga Ambako mnamininishwa kuna uchawi wa hali ya juuu wangekuwa list ya juu kwenye FORBES MAGAZINE

Tatizo la watanzania ni "uvuvi" na kuogopa.....

mwee!,hizi "tachi sikirini" hizi siku hizi balaa kweli.teh teh
 
Mitaani tunaishi vizuri sana

Maofisini tupo poa

Sio sawa na nyie

kwani unadhani lawmaina78 hajui wabongo tunavyo kula bata pamoja ktk raha na ktk shida.anajua sana.ukabila wetu upo zaidi ktk utani tu.
kule kwao kuna bar/migahawa/club mkikuyu haingii kisa inamilikiwa na mjaluo and vice versa.
 
Last edited by a moderator:
Wakinga wamemaliza ndugu zao una uhakika?
Makete Ukimwi uliprevail we unasema ushirikina.
Wachaga mnasema ni majambazi huwa wananwibia nani?

Wewe acha kusingizia ukimwi ndugu yangu,Wakinga wana biashara za ndumba hilo lipo wala halina ubishi.Mchaga nae hata awe na biashara za bilions lakini hatulii kama asipomwibia mchaga mwenzake kwa njia ya ujambazi.Kama unafikiri nakutania angalia matukio ya maduka kuvamiwa utakuta ni ya akina Mushi, Massawe, Tarimo etc etc kwa kuwa wanafanya biashara za kudhulumiana.Angalia repoti ya matukio ya nyumba za watu Kimara na Mbezi zinazovamiwa ni za Wachaga kwa kuwa wanadhulumiana kwenye mambo ya ujambazi sasa wanalipiziana
 
kwani unadhani lawmaina78 hajui wabongo tunavyo kula bata pamoja ktk raha na ktk shida.anajua sana.ukabila wetu upo zaidi ktk utani tu.
kule kwao kuna bar/migahawa/club mkikuyu haingii kisa inamilikiwa na mjaluo and vice versa.

Huyu jamaa inaelekea ametokea kwenye inferior tribe ndo mana hajiamini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom