Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Status
Not open for further replies.
Watu waliofilisika akili huzungumzia udini, ukabila, mikoa, nk..............Badala ya kusema mm ninamaendeleo kwa sababu nina hiki nina kile nina watoto wanasoma huku wengine kule, ninasomesha wadogo zangu huku au kule........MKAE MKIJUA TZ NI MOJA YA NCHI MASIKINI SANA KWA KIPATO CHA MTU MMOJA MMOJA SASA MIJADALA YA KIPUMBAVU KM HII SIJUI INATUSAIDIA NN. Si ajabu humu mtu akasifia mkinga kwa vile tu kabila lake lkn maisha yake hayajaguswa kwa namna yoyote na mkinga ila anaishi na na kusaidiwa na wasandawe, wamakonde nk.... NDIO KILA MTU ANAUHURU WA KUTOA MAONI YAKE LKN USHAMBA KM HUU SIJUI TUTAUACHA LINI? KATI YA MATAJIRI WATANO WAKUBWA TZ MBONA HAKUNA MCHAGA WALA MKINGA
 
acha kulinganisha vichuguu na mlima kilimanjaro mbona
Acha dharau wewe..
Kinga wanajua biashara kitambo,na maeneo yao ya kujidai yako makambako japo wenyewe ni watu wa makete.
Ikumbukwe kuwa makambako palitaka kujengwa soko la kuu la kibiasha afrika mashariki kwa sababu ya wakinga.
Nawasilisha
 
Kitu ambacho
wachaga wanakosea vijijini ni kuondoa migomba na miti
na miti na kujenga kila sehemu
hivyo
kuondoa uasilia, sasa sijui after 20 yrs kutabaki nini au watoto watajuaje kama wako kijijini! Kama mko wanne kwenye familia basi changeni mjenge nyumba moja ya kutosha wote ili eneo asilia libaki, sio mnajenga nyumba kwa mashindano kama maghorofa ya ilala! Ni
ushauri tu!
 
Nachoweza kusema kwa wingi wao wachaga bado wako mbali zaidi!

Nilifika kijiji kimoja ndani 2011 kabisa Machame sikuamini 90% ya kaya walikuwa na umeme tena wa gridi!

Kumbuka South Africa electririty coverage is 75%!

Kwa jinsi yoyote ile hawa jamaa niianza kuwavulia kofia tangu siku hiyo!

Ukweli ni ukweli tu ndugu zangu tofauti ya maendeleo ipo duniani kote na kwa jamii zote!

Wachaga wamewazidi wengine kiasi Fulani kwa ujumla wao!
 
Acha dharau wewe..
Kinga wanajua biashara kitambo,na maeneo yao ya kujidai yako makambako japo wenyewe ni watu wa makete.
Ikumbukwe kuwa makambako palitaka kujengwa soko la kuu la kibiasha afrika mashariki kwa sababu ya wakinga.
Nawasilisha

Mradi wa kujenga soko makambako haukuwahi kuwepo wala hapajawahi kuwepo hiyo plani.Hiyo kitu nilipata jibu lake 2006 mheshimiwa Mmoja wa kuaminika tu anayeongoza moja ya muhimili wa dola alinifumbua macho kuwa hakukuwa na mradi wowote zilukuwa ni propaganda tu.
 
mtu unalinganisha makete/mafinga na machame/marangu/rombo hahahhahahhaha kabisa unalinganisha brazil na belgium kimpira hahahhahahha hii nchi kuna watu/makabila yatabaki juu tu tena kipindi hiki cha soko huria ndio mtashaa

Bila shaka unapo ongelea makabila makubwa yenye nguvu kwa vigezo vingi bila kuangalia nani anafanya vzr Kariakoo utawakuta Wachagga juu na Wahaya. Wengine wanafuata. Itawachukua Wakinga miaka mingi kuja huko juu. Wanatakiwa kuwekeza sana ktk elimu badala ya uchuuzi Kariakoo.
 
Huwa nashindwa kuwaelewa jinsi mnavyoongalia mambo na kuyatathmini.
Swali??
Ni wakinga wangapi wamepata tuzo wafanyabiashara nguli EA huko Nairobi?
 
watoto wa mwakipande na mseketwa mpoooo, wajukuu wa mwandulamu
 
Bila shaka unapo ongelea makabila makubwa yenye nguvu kwa vigezo vingi bila kuangalia nani anafanya vzr Kariakoo utawakuta Wachagga juu na Wahaya. Wengine wanafuata. Itawachukua Wakinga miaka mingi kuja huko juu. Wanatakiwa kuwekeza sana ktk elimu badala ya uchuuzi Kariakoo.
Mkuu ni kweli kuwa Wakinga wako nyuma kielemu, ila sio kweli kuwa hawana mwamko wa elimu.

Kwa Tanzania maeneo yenye wasomi wengi asilimia kubwa ni mchango wa mkoloni.

Maeneo yenye Kahawa, Pamba na Mkonge ndio yenye wasomi wengi hii ni kwa sababu mkoloni wakati anawekeza maeneo hayo alikua anagawa na elimu.

Mkinga sababu ya kukosa fursa ya elimu ndio maana kawekeza kwenye biashara zaidi, ila tusubiri miaka michache tu tutaona Wakinga wanavyotoa wasomi maana sasa hivi mwamko wa elimu kwa Wakinga umekuwa makubwa zaidi kuliko wakati wowote ule.

Laiti Mkinga angekua na elimu toka zamani, changanya na uwezo wa biashara ulonao mchaga angesubiri sana.
 
watoto wa mwakipande na mseketwa mpoooo, wajukuu wa mwandulamu
Mkuu tupo sana na tunakuja kimya kimya, kuja kushituka watashangaa kariakoo yote ni ya Wakinga.
 
Mkuu ni kweli kuwa Wakinga wako nyuma kielemu, ila sio kweli kuwa hawana mwamko wa elimu.

Kwa Tanzania maeneo yenye wasomi wengi asilimia kubwa ni mchango wa mkoloni.

Maeneo yenye Kahawa, Pamba na Mkonge ndio yenye wasomi wengi hii ni kwa sababu mkoloni wakati anawekeza maeneo hayo alikua anagawa na elimu.

Mkinga sababu ya kukosa fursa ya elimu ndio maana kawekeza kwenye biashara zaidi, ila tusubiri miaka michache tu tutaona Wakinga wanavyotoa wasomi maana sasa hivi mwamko wa elimu kwa Wakinga umekuwa makubwa zaidi kuliko wakati wowote ule.

Laiti Mkinga angekua na elimu toka zamani, changanya na uwezo wa biashara ulonao mchaga angesubiri sana.

mbona huna jibu kumlinganisha mkinga na mchagga kwa maendeleo ni sawa na kulinganisha asali na maji kwa utamu,,,

Mengi peke yake bila kuwataja wachagga wengine utajiri wake ni sawa na wakinga wote kariakoo na sehemu zingine zote duniani..
 
Maendeleo vijijini uchagani kwa kiasi kikubwa yamepelekwa na viongozi kwa sababu ya ubinafsi wao. Wewe hushangai vijijini uchagani kuna barabara za lami wakati hakukuwa na barabara ya lami kuunganisha Dar na Lindi au Arusha na Iringa au Mbeya na Sumbawanga?

maendeleo ulitaka yaletwe na nani kama sio viongozi, hao wabunge tumewachagua ili iweje sasa, ..we jamaa mzima ??
 
Mkuu hii ni theory tumekua nayo kwa miaka mingi. Kwa sasa makabila kadhaa yanakuja kwa kasi. Wakinga ni mojawapo. Fika Kariakoo uone wakinga wanavyo nunua nyumba za wwnyeji na kujenga maghorofa ya biashara. Wachaga wengi wanahama kariakoo. Wahindi na waharabu wamesahaulika. Kwa sasa washindani labda ni wachina na wakinga pale kariakoo.

unaongelea ushabiki...utafute umoja wa wachagga kariakoo utajua kuwa wakinanani wana nguvu ya kiuchumi
 
Wakinga wako mbele sana kibiashara na kipesa,hawa jamaa wametuondoa sisi Wamanyema karibu wote Kariakoo pamoja na ndugu zetu wazaramo wamenunua karibu nyumba zilizokuwa zetu tangu asili ya Kariakoo na Gerezani yake na pia Ilala nayo tayari wameisha ingia kwa nguvu zote.Wametupeleka sehemu kama vile Mbagala pamoja na sehemu nyingine nje ya mji.Nilitembelea huko hivi majuzi juzi na niliyoyaona pale Kariakoo yalinishangaza sana kila ukimuuliza mtu utajibiwa kuwa siku hizi yuko anaishi Mbagala na nyumba yao ilinunuliwa na Mkinga,zamani tulizoea nyumba zetu kununuliwa na waarabu au wapemba peke yao lakini mambo yanazidi kubadilika hivi sasa mjini Dar,tuliokuwa juu sana sasa tumekuwa ni wachini sana,game has changed so dramaticaly now,tumeukubali ukweli wenyewe.M/Mpamba.
 
Watu waliofilisika akili huzungumzia udini, ukabila, mikoa, nk..............Badala ya kusema mm ninamaendeleo kwa sababu nina hiki nina kile nina watoto wanasoma huku wengine kule, ninasomesha wadogo zangu huku au kule........MKAE MKIJUA TZ NI MOJA YA NCHI MASIKINI SANA KWA KIPATO CHA MTU MMOJA MMOJA SASA MIJADALA YA KIPUMBAVU KM HII SIJUI INATUSAIDIA NN. Si ajabu humu mtu akasifia mkinga kwa vile tu kabila lake lkn maisha yake hayajaguswa kwa namna yoyote na mkinga ila anaishi na na kusaidiwa na wasandawe, wamakonde nk.... NDIO KILA MTU ANAUHURU WA KUTOA MAONI YAKE LKN USHAMBA KM HUU SIJUI TUTAUACHA LINI? KATI YA MATAJIRI WATANO WAKUBWA TZ MBONA HAKUNA MCHAGA WALA MKINGA

lkn mpemba yumo(bakhressa)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom