mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 798
unaongelea ushabiki...utafute umoja wa wachagga kariakoo utajua kuwa wakinanani wana nguvu ya kiuchumi
acha kuwa na mawazo ya kitoto kwako wew biashara ni kuwa na duka kariakoo biashara zipo za aina nyingi wachagaa mkishafungua kiosk mnaona mnafanya biashara.
zipo biashara babu zipo biashara za hisa online businesses mabusi viwanda mazao zipo tenda broo kote hko mchaga hawezi kugusa acha sifa za kijinga pngne hujawai kuuza hata pipi