Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
ha ha ha...kuna msukuma mmoja pale arusha anaitwa Sunda..kapiga mgorofa wa maana..
Sunda arusha msukuma? au labda mwingine huyo ninaemfaham ni muiraqw
ha ha ha...kuna msukuma mmoja pale arusha anaitwa Sunda..kapiga mgorofa wa maana..
wewe dreamboy makabila ya kanda ya ziwa hayajengi sana daw wao wamebezi kwenye mjii wao mkuu mza ndio maana ukuwaji wake unakasi nao wangeng'ang'ania kuwekeza dar kama makabila mengine mza nayo ingekua hoi kama miji mingine
ukabila.com
na majengo mengi mazur pale mwanza yanamilikiwa na Wachagga wa Machame.
twende pamoja, kichuguu ni kipi na mlima kilimanjaro ni upi?
Kwani wewe hujui methliisemayo "Mpanda ngazi hushuka"?Wakuu,
kuna jambo moja hapa, juu ya uwepo wa wachagga katika jiji la dar es salaam.
Inaaminika dhahiri kuwa jiji hili limekuwa sana
na moja ya kukuwa kwa jiji hili ni biashara na mapana yake..
Now days kuna kabila moja linalokuja vizuri sana
kwenye sekta ya biashara hawa Wakinga, kiukweli wameanza kusikika hivi karibuni na ukuaji wa jiji umeongezeka sana..
Is it true that Kinga's wana influence kubwa kibiashara jijini dar zaidi ya wachagga? walioanza biashara zamani zaidi?
na majengo mengi mazur pale mwanza yanamilikiwa na Wachagga wa Machame.
Kwani wewe hujui methliisemayo "Mpanda ngazi hushuka"?
Dar ni ya Wanzanzibari