"Incest" ya Miaka 10 Ruvuma kati ya Mama na Mwana ni "Isanity"

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,526
113,659
Wanabodi,

Story ya "incest" iliyodumu kwa miaka 10 kati ya mama na mwanae huko Ruvuma, iliyoonyeshwa leo kwenye taarifa ya habari ya Star TV, its nothing but total "insanity"

Kwa nilichoshuhudia Star TV wamemhoji mama na mwanae, just by naked eyes utawagundua tuu kuwa wahusika wote wawili wako insane!, mwandishi yoyote makini angeligundua hilo hivyo hiyo story haikupaswa kuwa "dramatized" kiasi kile!

"Incest" ni kitendo cha kufanya mapenzi kati ya wanandugu wa nasaba ya karibu kama baba na bintiye au mama na mwanae na kwa sheria za Tanzania hilo ni kosa lajinai!

Katika habari hiyo mama mwenye umri wa miaka 70 ambaye amezeeka mpaka hawezi kutembea na mwanaye wa kiume wa kumzaa mwenyewe mwenye umri wa miaka 40, wote wawili wamekiri kuishi kindoa kwa takriban miaka 10 sasa!

Huku wakiongea kwenye TV mbele ya umati mkubwa wa watu bila dalili ya chembe yoyote ya aibu, ni uthibitisho tosha kuwa wote wawili "are insane" na mwandishi alipaswa kuligundua hilo hivyo kutorusha hewani mahojiano hayo!. Mwanaume ameonekana akieleza jinsi alivyomtamani mama yake mzazi kimapenzi, na akamweleza, mama akakubali, wakaanza rasmi mapenzi yao!. Alipoulizwa wameanza lini, alijibu wameanza mwaka 1971 na mpaka leo ni miaka 10!. Jinsi alipokuwa akiongea maneno hayo kwenye umati mkubwa wa watu, bila any remorse kwenye facial expressions zao, ni uthibitisho wa awali wa insanity!

Huyo mama wa miaka 70, amezeeka mno mpaka hawezi kusimama, anatambaa kama mtoto mdogo!. Naye anakiri kuishi kinyumba na mtoto wa kumzaa mwenyewe bila tone la aibu!. Hivi kweli mtu wa miaka 40, mwenye akili timamu, anaweza kufanya mapenzi mama yako mzazi, ambaye ni bibi kikongwe cha miaka 70 ambacho hakiwezi hata kutembea, na kujitokeza mbele ya kadamnasi ya watu na kuelezea mapenzi yao hadharani bila aibu yoyote, na bado utamuona mtu huyu yuko normal?!

Kisheria mtu " insane" hapaswi kushitakiwa kwa kosa lolote maana hajui atendalo ila ni dakitari tuu mwenye mamlaka ya kuthibitisha hiyo " isanity"

Kwa mujibu wa maadili ya uandishi wa habari, ukirekodi tukio lolote la ajabu na kugundua mmoja au watendaji wa tukio hilo wana dalili yoyote ya kuwa ni punguani wa akili, hupaswi kurusha hewani mahojiano yoyote na watu hao!

Kwa wele wenye kumbukumbu ya mahojiano ya yule mtoto aliyekamatwa Muhimbili akikitafuna kichwa cha binadamu, watakumbuka alivyokuwa akijieleza kwa dalili zote za upunguani wa akili!

Kurekodi mahojiano yoyote ya jinai na mtoto yoyote chini ya miaka 14 au kichaa, mwendawazimu au punguani wa akili ni kosa kisheria ya maadili ya uandishi na ni kinyume cha haki za binaadamu!

Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa Comon law wa Uingereza ambao unapiga marufuku hata kuwapiga picha watuhumiwa wa kesi yoyote lakini sisi turuhusu kamera hadi mahakamani!, jambo ambalo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za washitakiwa na kinyume cha haki za binaadamu!

Wito kwa wamiliki na waandishi wa habari kuzingatia maadili ya kazi zao, katika katiba mpya tutapendekeza sheria ya "pro bono" kwa mawakili kufungua mashitaka bila kulipwa chochote ili kulinda haki za msingi za binaadamu!, Sheria hiyo ingekuwepo vyombo vingi vya habari vingekuwa makini zaidi au vingeishia kufilisiwa!

Nawasilisha.

Pasco.
 
Hakuna cha insanity pale, jambo ambalo si la kawaida likitendwa kwa makusudi mnakimbilia kusema ni upunguani kwa uwezo wenu wa kufikiri. Wale walikubaliana wakiwa na akili timamu bila aibu, wanatakiwa wapate ushauri baada ya kuwahoji historia yao ya maisha ili kujua kiini cha ujinga ule. wkielimishwa-wata acha,
 
Wanabodi,

Story ya "incest" iliyodumu kwa miaka 10 kati ya mama na mwanae huko Ruvuma, iliyoonyeshwa leo kwenye taarifa ya habari ya Star TV, its nothing but total "insanity"!,

Kwa nilichoshuhudia Star TV wamemhoji mama na mwanae, just by naked eyes utawagundua tuu kuwa wahusika wote wawili wako insane!, mwandishi yoyote makini angeligundua hilo hivyo hiyo story haikupaswa kuwa "dramatized" kiasi kile!.

"Incest" ni kitendo cha kufanya mapenzi kati ya wanandugu wa nasaba ya karibu kama baba na bintiye au mama na mwanae na kwa sheria za Tanzania hilo ni kosa lajinai!.

Katika habari hiyo mama mwenye umri wa miaka 70 ambaye amezeeka mpaka hawezi kutembea na mwanaye wa kiume wa kumzaa mwenyewe, wote wawili wamekiri kuishi kindoa kwa takriban miaka 10 sasa!.

Huku wakiongea kwenye TV mbele ya umati mkubwa wa watu bila dalili hata dalili ya chembe yoyote ya aibu, ni uthibitisho tosha kuwa wote wawili "are insane" na mwandishi alipaswa kuligundua hilo hivyo kutorusha hewani mahojiano hayo!.

Kisheria mtu " insane" hapaswi kushitakiwa kwa kosa lolote maana hajui atendalo ila ni dakitari tuu mwenye mamlaka ya kuthibitisha hiyo " isanity"!.

Kwa mujibu wa maadili ya uandishi wa habari, ukirekodi tukio lolote la ajabu na kugundua mmoja au watendaji wa tukio hilo wana dalili yoyote ya kuwa ni punguani wa akili, hupaswi kurusha hewani mahojiano yoyote na watu hao!.

Kwa wele wenye kumbukumbu ya mahojiano ya yule mtoto aliyekamatwa Muhimbili akikitafuna kichwa cha binadamu, watakumbuka alivyokuwa akijieleza kwa dalili zote za upunguani wa akili!.

Kurekodi mahojiano yoyote ya jinai na mtoto yoyote chini ya miaka 14 au kichaa, mwendawazimu au punguani wa akili ni kosa kisheria ya maadili ya uandishi na ni kinyume cha haki za binaadamu!.

Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa Comon law wa Uingereza ambao unapiga marufuku hata kuwapiga picha watuhumiwa wa kesi yoyote lakini sisi turuhusu kamera hadi mahakamani!, jambo ambalo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za washitakiwa na kinyume cha haki za binaadamu!.

Wito kwa wamiliki na waandishi wa habari kuzingatia maadili ya kazi zao, katika katiba mpya tutapendekeza sheria ya "pro bono" kwa mawakili kufungua mashitaka bila kulipwa chochote ili kulinda haki za msingi za binaadamu!, sheria hiyo ingekuwepo vyombo vingi vya habari vingekuwa makini zaidi au vingeishia kufilisiwa!.

Nawasilisha.

Pasco.
Mkuu asante kwa kukazia maadili ya uandishi, lakini nani kathibitisha kuwa hao wote ni 'insane'?
 
Pasco you are our fellow learned brother
How can you judge their insanity in the absence of any medical certificate to certify the same?
sijaona hiyo habari lakini its too early kuwalaumu star tv.
 
wewe ni daktari umethibitisha kama hao watu ni insane??..
Mkuu Edson, katika hali tuu ya kawaida, kuna mtu akimsikia anavyoongea huku unatazama facial expressions zake, utajua tuu kuwa huyu sii mzima!. Kazi ya daktari ni kuthibitisha tuu kiwango, ndio maana huwa nasema humu mara nyingi tuu, kuwa kichaa, sio mpaka mtu aokote makopo!.

Tuna vichaa wengi sana kwenye society yetu kuliko tunavuyojidhania, tatizo ni viwango tuu ukichaa huo!.

Hata ukipita tuu mitaani, kuna baadhi ya hawa wadada zetu jinsi wanavyovaa siku hizi, ni uthibitisho kuwa wengi ni vichaa ila hawajitambua kuwa nao ni vichaa!, zipo nguo zinazopaswa kuvaliwa usiku wakati wa giza, sasa zinawaliwa mchana kweupe!, zipo nguo zapaswa kuvaliwa sehemu maalum, disco, night club, chumbani, etc, sasa zinavaliwa sehemu yoyote!.Ziko nguo hazipaswi kuonekana wazi kama underwear, bra, shanga etc, sasa zinaanikwa wazi!, yako maumbile hayakupaswa kuoneshwa hadharani kama makalio, matiti, mapaja etc, sasa yanabinuliwa na kuachwa wazi ili yaonekane etc etc, wadada wanaofanya hivyo, wao wanajionea sawa, ila kiukweli ni vichaa tuu japo hawajafikia kuokota makopo!.

Pasco.
 
Pasco you are our fellow learned brother
How can you judge their insanity in the absence of any medical certificate to certify the same?
sijaona hiyo habari lakini its too early kuwalaumu star tv.
Mkuu Lokissa, kuna vitendo ambavyo sio vya kawaida, ukikuta vinafanyika hadharani, huhitaji cheti cha daktari kuthibitisha insanity, utaiona hiyo insanity straight forward with your naked eyes hata kabla daktari hajathibitisha!.
Ungeiona hiyo news clip, ungenielewa ninacho jaribu kuelewesha!.
 
Mkuu asante kwa kukazia maadili ya uandishi, lakini nani kathibitisha kuwa hao wote ni 'insane'?
Mkuu Kolero, kwenye main thread, nimeeleza, mwenye jukumu la kuthibitisha insanity ni medical doctor tuu, ila mwandishi aliyefanya yale mahojiano, kwa akili ya kawaida tuu na jinsi wanavyoongea, alipaswa kujua wazi kuwa wahusika wote wawili ni punguani wa akili, hakupaswa kuweka mahojiano yao!.

Sina maana story haikupaswa kuripotiwa, no!, ninachopinga ni kuweka mahojiano ya confessions za wahusika kwa kitendo hicho!.
 
Wana akili timamu mkuu...Mbona madingi wengi wanawala watoto wao wa kike?
Mkuu Sweke, ni kweli vitendo vya baadhi ya watu kula kuku na mayai yake vipo vingi tuu ila hufanywa kwa siri, tamaa ni shetani, its natural mtu anaweza kupandwa na shetani la ngono mpaka kumtamani binti wa kumzaa mwenyewe na hatimaye kumlala na huyo binti akaridhia kufanya ngono na baba yake mzazi, lakini mahusiano hayo yatakuwa ni siri!.

When a dog bites a man, its not news, but when a man bites a dog, it is news!. Kwa manaume mkubwa kumtamani binti mdogo, its normal, lakini mwanaume kumtamani mwanamke wa miaka 70, amezeeka mka hawezi kutembea!, na kukiri hadharani kuwa alimtamani, na inapotokea huyo mwanamke ni mama yake mzazi!, that leave much to be desired!, na ndipo hapa hiyo theory yangu ya insanity inapoibukia!.
 
Hakuna cha insanity pale, jambo ambalo si la kawaida likitendwa kwa makusudi mnakimbilia kusema ni upunguani kwa uwezo wenu wa kufikiri. Wale walikubaliana wakiwa na akili timamu bila aibu, wanatakiwa wapate ushauri baada ya kuwahoji historia yao ya maisha ili kujua kiini cha ujinga ule. wkielimishwa-wata acha,
Mkuu Anko Sam, tuko pamoja sana mkuu, hayo makusudi ya kutenda jambo ambalo sio la kawaida, ndio insanity yenyewe!. Wako wengi, wanajijua kuwa akili zao ni timamu, na kuna mambo yasiyo ya kawaida, wanayatenda kwa makusudi mazima, hawa ndio wanaostahili kuhukumiwa!, lakini pia kuna kundi la watu wanaoonekana kama wa kawaida, na kutenda mambo ya ajabu, ukizungumza nao, utakuta they are insane!.

Matukio mengi ya mauaji yanayofanyika under provocative, wakati muuaji anafanya kile kitendo cha mauaji ya kikatili, anakuwa kwenye "pseudo insanity", na akishaua, akili zikatulia kuwa ameua, mara nyingi hujuta, na pengine ama kutokomea, ama kujiua!.

Watu wengi wanaomua kujiua (suicide), due to depression, nao wanakuwa kwenye critical point ya insanity, wengi akishakunywa sumu, akili zinawarudia na kuwish to revise the action but its too late!. Hizo zote ni scenario za insanity.

Kuna matukio mengi tuu ya mtu mwenye akili timamu, anarukwa na akili na kufanya mambo ya ajabu akili zikimrudia, anajuta!.

Hata mimi enzi za ujana, kuna matukio fulani huwa nayakumbuka, nilifanya vitendo vya ajabu, sehemu za ajabu, nikifikiria hivi yule nilikuwa mimi, hivi ningekutwa ingekuwaje?, then unajikubali ujana pia unaandamana na insanity zake, na ukijifikiria baadhi ya vitendo vile ulivyovitenda, unabaki unajishangaa!, nayo pia ni insanity ndio maana nasisitiza sana humu, kuwa kichaa, sio lazima mpaka mtu uokote makopo!.
 
Mambo hayo yakawaida sana lakini yanafichwa sana ni "taboo".

Watu wengi huanza kufanya nyumbani, na wazee, wajomba, dada, kaka, anti, shangazi lakini hayasemwi.

Wataalamu wa saikolojia wanasema hisia za mapenzi za mwanzo hutokana na watu wako karibu, mama au baba na ndio hupelekea hata ukubwani wapenzi wengi huwa na wake au wachumba wanaofanana na mama au baba kwa namna fulani.
 
Mambo hayo yakawaida sana lakini yanafichwa sana ni "taboo".

Watu wengi huanza kufanya nyumbani, na wazee, wajomba, dada, kaka, anti, shangazi lakini hayasemwi.

Wataalamu wa saikolojia wanasema hisia za mapenzi za mwanzo hutokana na watu wako karibu, mama au baba na ndio hupelekea hata ukubwani wapenzi wengi huwa na wake au wachumba wanaofanana na mama au baba kwa namna fulani.
Tutegemee kuna siku watetezi wake wataibuka??
 
Issue kama ni ya ku mute tu, kuijadili sana inaweza kutuingiza nasi kwenye kundi la hao watatu (mama na mwana na huyo mwandishi wao ⭐️tv, )
 
Back
Top Bottom