Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
- Thread starter
- #21
Siku ya jana niliweka bandiko hapa nikionyesha wasiwasi wangu kuwa huenda kuna grand corruption ilionyuma ya usaliti huu wa wanasiasa unaoendelea. Nakumbuka kuna watu humu walinipinga sana kwani wengi wana mtazamo kuwa rushwa ya vyeo na madaraka pekee ndio inawashawishi huku MATAGA wao wakioni mimi kama mzushi au naongea jambo ambalo halipo.
Leo hii nashukuru yule whistleblower maarufu kule twitter kaibua tuhuma hizo na kwenda mbali kwa kuonyesha nia ya kuwaanika wahusika huku akisema liwalo na liwe.
Nashukuru pia kaweka wazi kuwa aliwasaidia CHADEMA kwa kuwapa taarifa, taarifa iliyopelekea baadhii ya watu kuondolewa kwenye kampeni za Lissu na sasa anakusudia kuwaanika wanasiasa wote wa upinzani waliohusika katika tuhuma hiyo ya kupokea mlungula na kusaliti wananchi.
Tusubiri.
Leo hii nashukuru yule whistleblower maarufu kule twitter kaibua tuhuma hizo na kwenda mbali kwa kuonyesha nia ya kuwaanika wahusika huku akisema liwalo na liwe.
Nashukuru pia kaweka wazi kuwa aliwasaidia CHADEMA kwa kuwapa taarifa, taarifa iliyopelekea baadhii ya watu kuondolewa kwenye kampeni za Lissu na sasa anakusudia kuwaanika wanasiasa wote wa upinzani waliohusika katika tuhuma hiyo ya kupokea mlungula na kusaliti wananchi.
Tusubiri.