Inawezekana kuna Grand Corruption nyuma ya maamuzi haya ya wanasiasa wetu

Mkuu unasema wakiitisha maandamano, kwani wakati wao wanaitisha hayo maandamano wanakuwa wako wapi ili tujue wamekamatwa wakiwa kwenye maandamano. Huko kwenye hiyo serikali wanayokwenda kuelewana ni kura za wananchi. Basi ngoja tuhamasishane kutokupiga kura ili tusipoteze maisha yetu, ili tuone kama wataitwa kwenye hizo serikali waelewane. Jukumu letu ni kupiga Kura na hilo tumeifanya vyema, kuandamana ni kujitoa muhanga ambao hata wao hawathubutu.
Hakika umenena vyema sana mkuu
 
Back
Top Bottom