Mambo manne makubwa ambayo yataweka mwelekeo wa kisiasa Tanzania

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Kuna Mambo manne muhimu kwa miezi ya karibuni ambayo yataleta mwelekeo wa taifa letu kisiasa katika mambo haya manne matatu ni ya Chadema na mmoja ni la CCM.

Chedema inatakiwa kufanya maamuzi magumu kwenye haya mambo matatu

1. Bila katiba na tume huru ya uchaguzi wajitoe kabisa kwenye chaguzi lakini wasifanye kampeni za mgomo nchi nzima
2. Bila katiba mpya na tume huru washiriki chaguzi na kuombee walau chaguzi ziwe bora kuliko 2020
3. Bila katiba mpya na tume huru wagomee chaguzi ikiwa ni pamoja na kupiga kampeni za watu kutokushiriki chaguzi nchi nzima. Hii ni mgomo
4. Raisi samia je anataka kushinda kinyemela kwa 80% au kihalali kwa 51%-55%. Lanini hii 51%-55% inakuja na historia nzuri ya katiba mpya ambayo ni msingi mkubwa sana kwa maendeleo.

Kwa CCM na Raisi Samia anatakiwa kuelewa kutokuwa na tume huru na katiba mpya maana yake ni kuimarisha ngome ya Tindu Lissu na Lema ambayo haiamini hata kidogo serikali. Sababu ni kwamba Raisi Samia ndani ya Chadema ataonekana alikuwa anamtapeli Mbowe na kupunguza nguvu zake na ushawishi kwamba maridhiano yalikuwa na tija. Viongozi wenye msimamo mkali ndali ya Chadema wakiongozwa na Lissu sio kitu cha kupuuzwa kwa nchi. Hiki kikundi kina kipaji kuliko wanasiasa wowote Tanzania kwenye uchambuaji wa ajenda. Kikundi hiki kinajua kujenga hoja kuliko wengine wote mfano DP World tumeona. Lakini kikundi hiki kimataifa kinajulikana na wanajua siasa za kimataifa hasa ukizingatia Lissu na Lema wote wamekaa nje. Hii itadumisha sana upande ambao unampenda Samia wa Mboe, Sugu na Msigwa na kupaisha wanasiasa machachari ambao ni Lissu, Lema na Heche.

Geti la mbwa wakati Chadema kwasasa mwenye funguo ni Mbowe lakini kwa sasa kapoteza funguo na kama Raisi Samia asipojirudi na kuweka vizuri swala la tume na katiba mpya kudi la siasa kali ndani ya Chadema litachukuwa funguo na nchi hii haitakalika. Kwasasa wanaonyesha siasa za kipole kwasababu wanaendelea kwenda vijijini na kuandikisha watu hadi vijijini na zoezi la ziara likiisha tayari kundi hili litakuwa linajua watu wao ni wangapi, wako wapi na watakuwa na hadi simu za wafuasi wote!. Lakini Lissu ameshakutana na viongozi wote wa kimataifa wanao ongoza mashirika ya kimataifa ya demokrasia na wale wanaotupa pesa hasa nchi za magharibi. Raisi Samia asipo mpa Mbowe nguvu kwa kuweka Maridhiano na kuwasikiliza wakina Kinana ambao niwafanyabiashara na wanao angalia maslahi yao nchi hii itaingia kwenye wakati mgumu sana.

Tatizo kubwa litakuwa Raisi ataanza kuongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ndani ya CCM wasiotaka mabadiliko na Chadema itaongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ambao wanataka mabadiliko kwa njia yeyote ile! hii italeta mtafaruku mkubwa.

Hivyo maamuzi ya Raisi Samia kwenye maridhiano ya Chadema bila kujua yanaweza kuleta mapinduzi kwenye nchi hii.
 
Kuna Mambo manne muhimu kwa miezi ya karibuni ambayo yataleta mwelekeo wa taifa letu kisiasa katika mambo haya manne matatu ni ya Chadema na mmoja ni la CCM.

Chedema inatakiwa kufanya maamuzi magumu kwenye haya mambo matatu

1. Bila katiba na tume huru ya uchaguzi wajitoe kabisa kwenye chaguzi lakini wasifanye kampeni za mgomo nchi nzima
2. Bila katiba mpya na tume huru washiriki chaguzi na kuombee walau chaguzi ziwe bora kuliko 2020
3. Bila katiba mpya na tume huru wagomee chaguzi ikiwa ni pamoja na kupiga kampeni za watu kutokushiriki chaguzi nchi nzima. Hii ni mgomo
4. Raisi samia je anataka kushinda kinyemela kwa 80% au kihalali kwa 51%-55%. Lanini hii 51%-55% inakuja na historia nzuri ya katiba mpya ambayo ni msingi mkubwa sana kwa maendeleo.

Kwa CCM na Raisi Samia anatakiwa kuelewa kutokuwa na tume huru na katiba mpya maana yake ni kuimarisha ngome ya Tindu Lissu na Lema ambayo haiamini hata kidogo serikali. Sababu ni kwamba Raisi Samia ndani ya Chadema ataonekana alikuwa anamtapeli Mbowe na kupunguza nguvu zake na ushawishi kwamba maridhiano yalikuwa na tija. Viongozi wenye msimamo mkali ndali ya Chadema wakiongozwa na Lissu sio kitu cha kupuuzwa kwa nchi. Hiki kikundi kina kipaji kuliko wanasiasa wowote Tanzania kwenye uchambuaji wa ajenda. Kikundi hiki kinajua kujenga hoja kuliko wengine wote mfano DP World tumeona. Lakini kikundi hiki kimataifa kinajulikana na wanajua siasa za kimataifa hasa ukizingatia Lissu na Lema wote wamekaa nje. Hii itadumisha sana upande ambao unampenda Samia wa Mboe, Sugu na Msigwa na kupaisha wanasiasa machachari ambao ni Lissu, Lema na Heche. Geti la mbwa wakati Chadema kwasasa mwenye funguo ni Mbowe lakini kwa sasa kapoteza funguo na kama Raisi Samia asipojirudi na kuweka vizuri swala la tume na katiba mpya kudi la siasa kali ndani ya Chadema litachukuwa funguo na nchi hii haitakalika. Kwasasa wanaonyesha siasa za kipole kwasababu wanaendelea kwenda vijijini na kuandikisha watu hadi vijijini na zoezi la ziara likiisha tayari kundi hili litakuwa linajua watu wao ni wangapi, wako wapi na watakuwa na hadi simu za wafuasi wote!. Lakini Lissu ameshakutana na viongozi wote wa kimataifa wanao ongoza mashirika ya kimataifa ya demokrasia na wale wanaotupa pesa hasa nchi za magharibi. Raisi Samia asipo mpa Mbowe nguvu kwa kuweka Maridhiano na kuwasikiliza wakina Kinana ambao niwafanyabiashara na wanao angalia maslahi yao nchi hii itaingia kwenye wakati mgumu sana. Tatizo kubwa litakuwa Raisi ataanza kuongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ndani ya CCM wasiotaka mabadiliko na Chadema itaongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ambao wanataka mabadiliko kwa njia yeyote ile! hii italeta mtafaruku mkubwa. Kwasasa Chadema inasemekana ina wanachama wakuaminika wapiga kura 30%-35% na 10%-20% ambao wanafuata mkumbo kama vile Lowassa alifuatwa na watu. 35%-40% inatosha kutingisha nchi kabisa na sio swala la kupuuza. Lakini tofauti na zamani Tanzania sasa kuna mitandao kila mahali hivyo wizi wa uchaguzi hautaweza kuwa wa siri tena kwa namna yeyote ile.

Hivyo maamuzi ya Raisi Samia kwenye maridhiano ya Chadema bila kujua yanaweza kuleta mapinduzi kwenye nchi hii.
yaani katika vyama 22 venye usajili wa kudumu, eti kachama kamoja kasuse uchaguzi then mambo yote nchini yasimame?

Yaani vyama 21 viache kuendelea kushiriki kwasababu ya kachama ka1 kweli?

kuna vyama huwa havishiriki chaguzi tangu kuanzishwa kwake kutokana na sababu wanazozijua wao na hakuna kilichozuia wengine kushiriki...

Chadema iliwahi kususa chaguzi huko nyuma, kimepata faida gani hata leo?

Yaani Tz uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vinafanyika vizuri tu, whether kutakua na mabadiliko ya sheria za uchaguzi au tume ya uchaguzi ama lah....

Whether chadema wasuse ama laa, uchaguzi utafanyika kwa Amani sana, utulivu sana, na utakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zote zilizo wahi kufanyika Tz.

Na chama chochote kikiamua kuchagua kutoshiriki uchaguzi wowote ule ni haki yao msingi na wakweli lazima iheshimiwe vizuri sana, na wale watakao chagua kushiriki uchaguzi basi wapewe haki hiyo muhimu sana bila kuwa na kikwazo chochote.....

whether maridhiano yawepo yasiwepo, whether kuwe na siasa kali ndani ya CCM, whether Lisu aongee na viongozi wote wa mashirika ya kimataifa ili apewe nguvu zaidi ya fedha kama unavyodai ya kuja kuvuruga nchi, Kumbuka haitwi kibaraka kwa kusingiziwa asababu kubwa hiyo tu yakufadhiliwa na mabwenyenye na hana nia ya kuwatumikia makapuku wa TZ .

Mchakato wa katiba mpya utaanza mapema baada ya uchaguzi mkuu 2025.
Kuna maoni mapya mengi mno kwa vijana ambao hawakua na sifa ya kutoa maoni kwa wakati ule sababu za kiumri tangu 2015, leo hii tuna kundi kubwa mno la wenye sifa na shauku ya kuwa sehemu ya Katiba mpya. So mchakato utaanza upyaaaaa.....
 
yaani katika vyama 22 venye usajili wa kudumu, eti kachama kamoja kasuse uchaguzi then mambo yote nchini yasimame?

Yaani vyama 21 viache kuendelea kushiriki kwasababu ya kachama ka1 kweli?

kuna vyama huwa havishiriki chaguzi tangu kuanzishwa kwake kutokana na sababu wanazozijua wao na hakuna kilichozuia wengine kushiriki...

Chadema iliwahi kususa chaguzi huko nyuma, kimepata faida gani hata leo?

Yaani Tz uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vinafanyika vizuri tu, whether kutakua na mabadiliko ya sheria za uchaguzi au tume ya uchaguzi ama lah....

Whether chadema wasuse ama laa, uchaguzi utafanyika kwa Amani sana, utulivu sana, na utakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zote zilizo wahi kufanyika Tz.

Na chama chochote kikiamua kuchagua kutoshiriki uchaguzi wowote ule ni haki yao msingi na wakweli lazima iheshimiwe vizuri sana, na wale watakao chagua kushiriki uchaguzi basi wapewe haki hiyo muhimu sana bila kuwa na kikwazo chochote.....

whether maridhiano yawepo yasiwepo, whether kuwe na siasa kali ndani ya CCM, whether Lisu aongee na viongozi wote wa mashirika ya kimataifa ili apewe nguvu zaidi ya fedha kama unavyodai ya kuja kuvuruga nchi, Kumbuka haitwi kibaraka kwa kusingiziwa asababu kubwa hiyo tu yakufadhiliwa na mabwenyenye na hana nia ya kuwatumikia makapuku wa TZ .

Mchakato wa katiba mpya utaanza mapema baada ya uchaguzi mkuu 2025.
Kuna maoni mapya mengi mno kwa vijana ambao hawakua na sifa ya kutoa maoni kwa wakati ule sababu za kiumri tangu 2015, leo hii tuna kundi kubwa mno la wenye sifa na shauku ya kuwa sehemu ya Katiba mpya. So mchakato utaanza upyaaaaa.....
Huyo mtoa mada kaandika mambo yasiyoeleweka kirahisi ila wewe umeandika ujinga uliobobea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani katika vyama 22 venye usajili wa kudumu, eti kachama kamoja kasuse uchaguzi then mambo yote nchini yasimame?

Yaani vyama 21 viache kuendelea kushiriki kwasababu ya kachama ka1 kweli?

kuna vyama huwa havishiriki chaguzi tangu kuanzishwa kwake kutokana na sababu wanazozijua wao na hakuna kilichozuia wengine kushiriki...

Chadema iliwahi kususa chaguzi huko nyuma, kimepata faida gani hata leo?

Yaani Tz uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vinafanyika vizuri tu, whether kutakua na mabadiliko ya sheria za uchaguzi au tume ya uchaguzi ama lah....

Whether chadema wasuse ama laa, uchaguzi utafanyika kwa Amani sana, utulivu sana, na utakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zote zilizo wahi kufanyika Tz.

Na chama chochote kikiamua kuchagua kutoshiriki uchaguzi wowote ule ni haki yao msingi na wakweli lazima iheshimiwe vizuri sana, na wale watakao chagua kushiriki uchaguzi basi wapewe haki hiyo muhimu sana bila kuwa na kikwazo chochote.....

whether maridhiano yawepo yasiwepo, whether kuwe na siasa kali ndani ya CCM, whether Lisu aongee na viongozi wote wa mashirika ya kimataifa ili apewe nguvu zaidi ya fedha kama unavyodai ya kuja kuvuruga nchi, Kumbuka haitwi kibaraka kwa kusingiziwa asababu kubwa hiyo tu yakufadhiliwa na mabwenyenye na hana nia ya kuwatumikia makapuku wa TZ .

Mchakato wa katiba mpya utaanza mapema baada ya uchaguzi mkuu 2025.
Kuna maoni mapya mengi mno kwa vijana ambao hawakua na sifa ya kutoa maoni kwa wakati ule sababu za kiumri tangu 2015, leo hii tuna kundi kubwa mno la wenye sifa na shauku ya kuwa sehemu ya Katiba mpya. So mchakato utaanza upyaaaaa.....


Katiba mpya ni faida ya vizazi vijavyo sio mimi, wewe, CCM wala Chadema! Inashangaza Watanzania ambao hawapendi vitu ambavyo vinawasaidia wenyewe halafu tuna lalama kwa umasikini lakini watu kama wewe ndiyo tatizo kwa nchi yetu.
 
Katiba mpya ni faida ya vizazi vijavyo sio mimi, wewe, CCM wala Chadema! Inashangaza Watanzania ambao hawapendi vitu ambavyo vinawasaidia wenyewe halafu tuna lalama kwa umasikini lakini watu kama wewe ndiyo tatizo kwa nchi yetu.
Huyo anaonekana anataka faida ya kwake ya sasa na sio ya vizazi vijavyo!
 
Katiba mpya ni faida ya vizazi vijavyo sio mimi, wewe, CCM wala Chadema! Inashangaza Watanzania ambao hawapendi vitu ambavyo vinawasaidia wenyewe halafu tuna lalama kwa umasikini lakini watu kama wewe ndiyo tatizo kwa nchi yetu.
Katiba ya nchi sio ya vikoba.

Lazima tupate muda wa kutosha kujadiliana , lakini pia kuwepo na fedha za kutosha kugharamikia Jambo hilo.

Na muda muafaka kwa maoni yangu kulifanya Jambo hili, nadhani ndivyo hata serikali ilivyo jipanga ni baada ya uchaguzi mkuu 2025.

Malalamiko na shida binafsi yatafutiwe ufumbuzi na wahusika wenyewe, na ninaamini kwa Neema na Baraka za Mungu inawezekana......
 
Kuna Mambo manne muhimu kwa miezi ya karibuni ambayo yataleta mwelekeo wa taifa letu kisiasa katika mambo haya manne matatu ni ya Chadema na mmoja ni la CCM.

Chedema inatakiwa kufanya maamuzi magumu kwenye haya mambo matatu

1. Bila katiba na tume huru ya uchaguzi wajitoe kabisa kwenye chaguzi lakini wasifanye kampeni za mgomo nchi nzima
2. Bila katiba mpya na tume huru washiriki chaguzi na kuombee walau chaguzi ziwe bora kuliko 2020
3. Bila katiba mpya na tume huru wagomee chaguzi ikiwa ni pamoja na kupiga kampeni za watu kutokushiriki chaguzi nchi nzima. Hii ni mgomo
4. Raisi samia je anataka kushinda kinyemela kwa 80% au kihalali kwa 51%-55%. Lanini hii 51%-55% inakuja na historia nzuri ya katiba mpya ambayo ni msingi mkubwa sana kwa maendeleo.

Kwa CCM na Raisi Samia anatakiwa kuelewa kutokuwa na tume huru na katiba mpya maana yake ni kuimarisha ngome ya Tindu Lissu na Lema ambayo haiamini hata kidogo serikali. Sababu ni kwamba Raisi Samia ndani ya Chadema ataonekana alikuwa anamtapeli Mbowe na kupunguza nguvu zake na ushawishi kwamba maridhiano yalikuwa na tija. Viongozi wenye msimamo mkali ndali ya Chadema wakiongozwa na Lissu sio kitu cha kupuuzwa kwa nchi. Hiki kikundi kina kipaji kuliko wanasiasa wowote Tanzania kwenye uchambuaji wa ajenda. Kikundi hiki kinajua kujenga hoja kuliko wengine wote mfano DP World tumeona. Lakini kikundi hiki kimataifa kinajulikana na wanajua siasa za kimataifa hasa ukizingatia Lissu na Lema wote wamekaa nje. Hii itadumisha sana upande ambao unampenda Samia wa Mboe, Sugu na Msigwa na kupaisha wanasiasa machachari ambao ni Lissu, Lema na Heche. Geti la mbwa wakati Chadema kwasasa mwenye funguo ni Mbowe lakini kwa sasa kapoteza funguo na kama Raisi Samia asipojirudi na kuweka vizuri swala la tume na katiba mpya kudi la siasa kali ndani ya Chadema litachukuwa funguo na nchi hii haitakalika. Kwasasa wanaonyesha siasa za kipole kwasababu wanaendelea kwenda vijijini na kuandikisha watu hadi vijijini na zoezi la ziara likiisha tayari kundi hili litakuwa linajua watu wao ni wangapi, wako wapi na watakuwa na hadi simu za wafuasi wote!. Lakini Lissu ameshakutana na viongozi wote wa kimataifa wanao ongoza mashirika ya kimataifa ya demokrasia na wale wanaotupa pesa hasa nchi za magharibi. Raisi Samia asipo mpa Mbowe nguvu kwa kuweka Maridhiano na kuwasikiliza wakina Kinana ambao niwafanyabiashara na wanao angalia maslahi yao nchi hii itaingia kwenye wakati mgumu sana. Tatizo kubwa litakuwa Raisi ataanza kuongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ndani ya CCM wasiotaka mabadiliko na Chadema itaongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ambao wanataka mabadiliko kwa njia yeyote ile! hii italeta mtafaruku mkubwa. Kwasasa Chadema inasemekana ina wanachama wakuaminika wapiga kura 30%-35% na 10%-20% ambao wanafuata mkumbo kama vile Lowassa alifuatwa na watu. 35%-40% inatosha kutingisha nchi kabisa na sio swala la kupuuza. Lakini tofauti na zamani Tanzania sasa kuna mitandao kila mahali hivyo wizi wa uchaguzi hautaweza kuwa wa siri tena kwa namna yeyote ile.

Hivyo maamuzi ya Raisi Samia kwenye maridhiano ya Chadema bila kujua yanaweza kuleta mapinduzi kwenye nchi hii.


Tuoiahayaona haya

“3. Bila katiba mpya na tume huru wagomee chaguzi ikiwa ni pamoja na kupiga kampeni za watu kutokushiriki chaguzi nchi nzima. Hii ni mgomo”

Mama alifikiri Bara kuna maneno matupu kama Zanzibar. Naona hajui huu mchezo aliofikiri kamchezea Mbowe kumbe ndiyo amewapa wakina Lissu ambayo wana misimamo mikali fursa! Mama atapata wakati mgumu sana na kujuta kwa hili. Hakuna mtu Tanzania ambaye amewahi kumshinda Lissu na hii ni kuanzia kwenye debate za Ilboru mwaka 1986, kesi za madaktari kabla ya kuwa mbunge, ubunge , kikwete kusema ni bora wapinzani 50 kuliko lissu mmoja na marehemu magufuli naye yuko wapi leo. Mama kama hutatoa haki na katiba mpya Lissu atakupa taabu sana mwaka huu. Na jamaa ana malaika wakati sana usitegemee usalama watamweza
 
yaani katika vyama 22 venye usajili wa kudumu, eti kachama kamoja kasuse uchaguzi then mambo yote nchini yasimame?

Yaani vyama 21 viache kuendelea kushiriki kwasababu ya kachama ka1 kweli?

kuna vyama huwa havishiriki chaguzi tangu kuanzishwa kwake kutokana na sababu wanazozijua wao na hakuna kilichozuia wengine kushiriki...

Chadema iliwahi kususa chaguzi huko nyuma, kimepata faida gani hata leo?

Yaani Tz uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vinafanyika vizuri tu, whether kutakua na mabadiliko ya sheria za uchaguzi au tume ya uchaguzi ama lah....

Whether chadema wasuse ama laa, uchaguzi utafanyika kwa Amani sana, utulivu sana, na utakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zote zilizo wahi kufanyika Tz.

Na chama chochote kikiamua kuchagua kutoshiriki uchaguzi wowote ule ni haki yao msingi na wakweli lazima iheshimiwe vizuri sana, na wale watakao chagua kushiriki uchaguzi basi wapewe haki hiyo muhimu sana bila kuwa na kikwazo chochote.....

whether maridhiano yawepo yasiwepo, whether kuwe na siasa kali ndani ya CCM, whether Lisu aongee na viongozi wote wa mashirika ya kimataifa ili apewe nguvu zaidi ya fedha kama unavyodai ya kuja kuvuruga nchi, Kumbuka haitwi kibaraka kwa kusingiziwa asababu kubwa hiyo tu yakufadhiliwa na mabwenyenye na hana nia ya kuwatumikia makapuku wa TZ .

Mchakato wa katiba mpya utaanza mapema baada ya uchaguzi mkuu 2025.
Kuna maoni mapya mengi mno kwa vijana ambao hawakua na sifa ya kutoa maoni kwa wakati ule sababu za kiumri tangu 2015, leo hii tuna kundi kubwa mno la wenye sifa na shauku ya kuwa sehemu ya Katiba mpya. So mchakato utaanza upyaaaaa.....
Akili huna , mjinga pekee kama sio chawa au kunguni wa ccm na watawala shindwa elewa kwamba ukubwa wa Chadema ni zaidi ya muunganiko wa vyama tajwa 22 ndani ya taifa hili, chadema sio chama cha mchezo mpaka kujitoa ufaham kukiita kachama ,

Shida mkisha vimbiwa na akili zenu hutoweka
 
yaani katika vyama 22 venye usajili wa kudumu, eti kachama kamoja kasuse uchaguzi then mambo yote nchini yasimame?

Yaani vyama 21 viache kuendelea kushiriki kwasababu ya kachama ka1 kweli?

kuna vyama huwa havishiriki chaguzi tangu kuanzishwa kwake kutokana na sababu wanazozijua wao na hakuna kilichozuia wengine kushiriki...

Chadema iliwahi kususa chaguzi huko nyuma, kimepata faida gani hata leo?

Yaani Tz uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vinafanyika vizuri tu, whether kutakua na mabadiliko ya sheria za uchaguzi au tume ya uchaguzi ama lah....

Whether chadema wasuse ama laa, uchaguzi utafanyika kwa Amani sana, utulivu sana, na utakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zote zilizo wahi kufanyika Tz.

Na chama chochote kikiamua kuchagua kutoshiriki uchaguzi wowote ule ni haki yao msingi na wakweli lazima iheshimiwe vizuri sana, na wale watakao chagua kushiriki uchaguzi basi wapewe haki hiyo muhimu sana bila kuwa na kikwazo chochote.....

whether maridhiano yawepo yasiwepo, whether kuwe na siasa kali ndani ya CCM, whether Lisu aongee na viongozi wote wa mashirika ya kimataifa ili apewe nguvu zaidi ya fedha kama unavyodai ya kuja kuvuruga nchi, Kumbuka haitwi kibaraka kwa kusingiziwa asababu kubwa hiyo tu yakufadhiliwa na mabwenyenye na hana nia ya kuwatumikia makapuku wa TZ .

Mchakato wa katiba mpya utaanza mapema baada ya uchaguzi mkuu 2025.
Kuna maoni mapya mengi mno kwa vijana ambao hawakua na sifa ya kutoa maoni kwa wakati ule sababu za kiumri tangu 2015, leo hii tuna kundi kubwa mno la wenye sifa na shauku ya kuwa sehemu ya Katiba mpya. So mchakato utaanza upyaaaaa.....
Si ujiulize chadema kwa nini kinaitwa chama kikuu cha upinza ili hali kina mbunge mmoja bungeni, ACT kwa nini haitwi chama kikuu cha upinzani? na kwanini maridhiano yawe ni ya chadema pekee? Kwani tume huru au katiba mpya ni ya chadema tu?
 
Si ujiulize chadema kwa nini kinaitwa chama kikuu cha upinza ili hali kina mbunge mmoja bungeni, ACT kwa nini haitwi chama kikuu cha upinzani? na kwanini maridhiano yawe ni ya chadema pekee? Kwani tume huru au katiba mpya ni ya chadema tu?
anaeita chadema ni chama kikuu cha upinzani ni wew na wewe pekeyako 🐒

ACT ni sehemu ya serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar 🐒

nani anawazingatia chadema zaidi ya kuwahadaa na kuwazubaisha wajione muhimu, hadi hadi uchaguzi ufike then ya Moise katumbi wa DRC yawakute vizuri 🐒

mchakato wa katiba mpya ni 2026 chini ya usimamizi makini wa CCM upende usipende🐒
 
Akili huna , mjinga pekee kama sio chawa au kunguni wa ccm na watawala shindwa elewa kwamba ukubwa wa Chadema ni zaidi ya muunganiko wa vyama tajwa 22 ndani ya taifa hili, chadema sio chama cha mchezo mpaka kujitoa ufaham kukiita kachama ,

Shida mkisha vimbiwa na akili zenu hutoweka
muunganiko wa nyumbu na kenge sio🐒

2025 even 5% hampati 🐒
 
Nakwambia ni hivi hata kesho mkisema twende kwenye uchaguzi bila kampeni ccm inafutika kabla ya kura kupigwa, hakuna ccm inchi hii bali machawa na kunguni ndo uaonao shati za kijani
Kwanza wew upo Chadema ipi kwanza?
1. ya Patriotic chairman au

2. ya Puppet vice chairman au

3. ya manyumbu, kenge na makapuku 🐒
 
Kwanza wew upo Chadema ipi kwanza?
1. ya Patriotic chairman au

2. ya Puppet vice chairman au

3. ya manyumbu, kenge na makapuku 🐒
Wewe upo ccm ipi, halisi, kindakindaki, ya machawa na kunguni , au ile ccm ya bora liende kisa umepata elfu kumi, kofia, kitenge ,t-shirt, tuanzie hapa then nitakujibu
 
Wewe upo ccm ipi, halisi, kindakindaki, ya machawa na kunguni , au ile ccm ya bora liende kisa umepata elfu kumi, kofia, kitenge ,t-shirt, tuanzie hapa then nitakujibu
Mimi ni mtanzania halisi , kindakindaki siyumbishwi wala kutetereshwa na zombie wa chama chochote nchini..... kudradradrekiiii 🐒
 
Kuna Mambo manne muhimu kwa miezi ya karibuni ambayo yataleta mwelekeo wa taifa letu kisiasa katika mambo haya manne matatu ni ya Chadema na mmoja ni la CCM.

Chedema inatakiwa kufanya maamuzi magumu kwenye haya mambo matatu

1. Bila katiba na tume huru ya uchaguzi wajitoe kabisa kwenye chaguzi lakini wasifanye kampeni za mgomo nchi nzima
2. Bila katiba mpya na tume huru washiriki chaguzi na kuombee walau chaguzi ziwe bora kuliko 2020
3. Bila katiba mpya na tume huru wagomee chaguzi ikiwa ni pamoja na kupiga kampeni za watu kutokushiriki chaguzi nchi nzima. Hii ni mgomo
4. Raisi samia je anataka kushinda kinyemela kwa 80% au kihalali kwa 51%-55%. Lanini hii 51%-55% inakuja na historia nzuri ya katiba mpya ambayo ni msingi mkubwa sana kwa maendeleo.

Kwa CCM na Raisi Samia anatakiwa kuelewa kutokuwa na tume huru na katiba mpya maana yake ni kuimarisha ngome ya Tindu Lissu na Lema ambayo haiamini hata kidogo serikali. Sababu ni kwamba Raisi Samia ndani ya Chadema ataonekana alikuwa anamtapeli Mbowe na kupunguza nguvu zake na ushawishi kwamba maridhiano yalikuwa na tija. Viongozi wenye msimamo mkali ndali ya Chadema wakiongozwa na Lissu sio kitu cha kupuuzwa kwa nchi. Hiki kikundi kina kipaji kuliko wanasiasa wowote Tanzania kwenye uchambuaji wa ajenda. Kikundi hiki kinajua kujenga hoja kuliko wengine wote mfano DP World tumeona. Lakini kikundi hiki kimataifa kinajulikana na wanajua siasa za kimataifa hasa ukizingatia Lissu na Lema wote wamekaa nje. Hii itadumisha sana upande ambao unampenda Samia wa Mboe, Sugu na Msigwa na kupaisha wanasiasa machachari ambao ni Lissu, Lema na Heche.

Geti la mbwa wakati Chadema kwasasa mwenye funguo ni Mbowe lakini kwa sasa kapoteza funguo na kama Raisi Samia asipojirudi na kuweka vizuri swala la tume na katiba mpya kudi la siasa kali ndani ya Chadema litachukuwa funguo na nchi hii haitakalika. Kwasasa wanaonyesha siasa za kipole kwasababu wanaendelea kwenda vijijini na kuandikisha watu hadi vijijini na zoezi la ziara likiisha tayari kundi hili litakuwa linajua watu wao ni wangapi, wako wapi na watakuwa na hadi simu za wafuasi wote!. Lakini Lissu ameshakutana na viongozi wote wa kimataifa wanao ongoza mashirika ya kimataifa ya demokrasia na wale wanaotupa pesa hasa nchi za magharibi. Raisi Samia asipo mpa Mbowe nguvu kwa kuweka Maridhiano na kuwasikiliza wakina Kinana ambao niwafanyabiashara na wanao angalia maslahi yao nchi hii itaingia kwenye wakati mgumu sana.

Tatizo kubwa litakuwa Raisi ataanza kuongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ndani ya CCM wasiotaka mabadiliko na Chadema itaongozwa na wanasiasa wenye siasa kali ambao wanataka mabadiliko kwa njia yeyote ile! hii italeta mtafaruku mkubwa.

Hivyo maamuzi ya Raisi Samia kwenye maridhiano ya Chadema bila kujua yanaweza kuleta mapinduzi kwenye nchi hii.


Mama Samia mwaka huu atashika kichwa
 
Back
Top Bottom