Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,717
- 1,472
Angekua nayo angeshatoa muda mrefu.
Kwakuwa kuna suala fulani, basi mengine yasijadiliwe? Mbona tuliambiwa kupitia umeme wa gas tutapata 5,000mg, inakuwaje tumeachana na umeme wa gas hata hatujafikia 2,000, lakini tumerukia umeme wa maji wa 2,115mg?
Ajiandae kwa lipi sasa?
Chama lenu linakufa hilo
Kwa hiyo mnaiga siyo!??
Jiwe ni Machiavelli.Unapewa mlungula, halafu anayekupa mlungula anaenda kukuchongea kwa Kigogo akulipue umekula mlungula.
Lazima raia wachanganyikiwe na kuona hakuna anayefaa.
Safari ya Kilwa imeishia Mivinjeni.
Sahihi kabisa kaka.Jiwe ni Machiavelli.
hahaha, ameamua kuwadiscredit wapinzani kwa tactic ya kuwaonyesha wananchi kuwa hawa jamaa nao ni wachumia tumbo kama wenzao waliomo ndani ya CCM kwa hivyo msiwaamini kivile!
Mkuu kwamba itelijensia ya chadema ni mfu kiasi hiki hadi mnamtegemea Kigogo?Aweke hayo majina kisha tupime ukweli wa akisemacho.
Tatizo ni ujinga! Chadema wamejaa wajinga tupu. Ku reason ni msamiati mgumu kwao.Unapewa mlungula, halafu anayekupa mlungula anaenda kukuchongea kwa Kigogo akulipue umekula mlungula.
Lazima raia wachanganyikiwe na kuona hakuna anayefaa.
Safari ya Kilwa imeishia Mivinjeni.
Sasa hii chadema ni sawa na ile ya 2010?Toka 2010 tunasikia cdm inakufa, lakini 2020 hii kura za kwenye mabeg ndio zinatoa ushindi ccm.
Sasa hii chadema ni sawa na ile ya 2010?
Mkuu kwamba itelijensia ya chadema ni mfu kiasi hiki hadi mnamtegemea kigogo?
Upinzani halisi wa nchi hii ni : "Ni shida na changamoto za watu"Sahihi kabisa kaka.
Toka limeanza sekeseke la Wapinzani kuhamia CCM, Upinzani walikuwa wanafanya kosa kubwa kuuza utetezi kuwa wamenunuliwa. Hii ilikuwa inawajengea taswira ya kutoaminiwa na wananchi. Kama katibu mkuu wa chama ananunuliwa, nani wa kumuamini? Huu mkakati magufuli amefanikiwa sana.
Je chadema hii ni sawa na ile ya 2010?2010 kulikuwa na rais asiye na ulevi wa madaraka ama matumizi mabaya ya madaraka. Unapojenga utetezi wako ujikite kwenye ukweli huo.