Medicine nakubali, ila surgery nakataa
Njoo mitaani tuuze majenezaSasa mimi na diploma yangu ya uwalimu itakuaje?
Wewe nenda VETA haina namnaa.Sasa mimi na diploma yangu ya uwalimu itakuaje?
Hata intern kakosa?, Inaonekana mvivu sana huyo wagonjwa walivyo wengi hivi unakosa hata sehemu ya kujitolea.
Anzisha chekea hata Hapo nyumbani kwako ukidream kumiliki shule au fundisha madarasa ya online utengeneze pesa.Sasa mimi na diploma yangu ya uwalimu itakuaje?
Nimpe tags kazi za medical kwangu na connection nazo Sanaa.
Hata ukiilalamikia ccm ndo utashiba maisha ni yako ukifa njaa ni wewe sio ccm.Ngoja waje wale wa kuilalamikia ccm watoe nondo