nakushangaa,oh my hezbendi sogea,kiko wapi mbona hajasogea,we mkumbatie tu Chimbuvu ukiachika ndo utalijua jiji.Bishanga unantaka naona unantaka saaana tena saaana!!! kisa cha kunizushia uongo ni nini??? for ur info utatafuta sana kuivunja ndoa yangu lakini hutoweza..... USHAZOEA VYA KUNYONGA VYA KUCHINJA HUTOVIWEZA KAMWE!!!!
My hezbend C6 plz come this way achana na huyo kibwengo asijetuharibia ibada yetu bure.....
taarifa za kiintelijensia zinasema mimba yako ni ya Chimbuvu,hivi kwa nini hamkutumia kinga wakati mna cheat?my lawyer huo ni uongo mtakavitu.... Tena ngoja niongee na my hezbend ili nije kufungua kesi ya kutuvunjia heshima... mimi nipo bed rest nazushiwa uongo... Je anataka niachike na mimba kubwa hivo?????
kuona wanawake mnavyotutenda. Just imagine nikiwa bukoba club jana nimemwona Chimbuvu anaponda raha na charminglady,poor C6 anatia huruma maskini,kumgharimia kote charminglady kisha anafanziwa.
kuona wanawake mnavyotutenda. Just imagine nikiwa bukoba club jana nimemwona Chimbuvu anaponda raha na charminglady,poor C6 anatia huruma maskini,kumgharimia kote charminglady kisha anafanziwa.
Dah! Mi cna cha kusema hapo labda mtoto akizaliwa ndio tutajua
Ni kama unakiri indirectly kuwa ulivamia ndoa ya watu, una shetani gani na ndoa za watu wewe!?
nakushangaa,oh my hezbendi sogea,kiko wapi mbona hajasogea,we mkumbatie tu Chimbuvu ukiachika ndo utalijua jiji.
Ni kama unakiri indirectly kuwa ulivamia ndoa ya watu, una shetani gani na ndoa za watu wewe!?
kuona wanawake mnavyotutenda. Just imagine nikiwa bukoba club jana nimemwona Chimbuvu anaponda raha na charminglady,poor C6 anatia huruma maskini,kumgharimia kote charminglady kisha anafanziwa.
We dingiiii unaerekea kubayaaa
Ianzishwe kamati ya maombi na toba..