Inauma: 'Alisema tusimpige picha'... Angesema mvue nguo!!

Mkuu, asante kwa thread hii. Mi nimeuliza uarabuni wananchi wawe na malalamiko ya aina ya dowans halafu muhusika apeleke utumbo wa aina hii kwao, watakubali?? Hivi hawa watu ni watanzania kweli? walilazimishwa kuandika habari hiyo? yaani nashindwa kuelewa kabisa.
 
................... laiti mngetuliza jazba zenu mkam'soma' mtoa mada kabla ya kurespond


Mtoa mada.hili ni swali jema sana.................naona maruweruwe
Mjukuu, umeona jinsi Huyu BOYFRIEND wa hili linchi alivyo?
kafanya orgy party na wahariri.
nasikia anataka kwenda bungeni kuhutubia ma-gelofrendi zake pale mjengoni.
Inaniuma sanaaaaaa!!!
 
Mjukuu, umeona jinsi Huyu BOYFRIEND wa hili linchi alivyo?
kafanya orgy party na wahariri.
nasikia anataka kwenda bungeni kuhutubia ma-gelofrendi zake pale mjengoni.
Inaniuma sanaaaaaa!!!


mkuu we acha tu..........yaani tunatakiwa kuwa na upeo mkubwa sana wa kufikiri ili kuielewa Tanzania yetu chini ya nyongozi za sasa...inauma sana. Yaani mimi ninaumia sana kufanywa mjinga na mtu ambaye anajua fika kuwa mie ninajua nafanywa mjinga na mbaya zaidi NINAKUBALI KUFANYWA MJINGA.

mkuu........................naomba nikapumzike ila tu ........watalipa
 
Ni kweli Mkuu nakuunga Mkono kwa hilo! Hatuna Waandishi wa Habari walio makini most of them are Papetrator and Trator, some of them not all!! Mimi haingii akilini kuona mtu au chombo cha Habari kinalipoti taarifa hiyo na kuendelea kulalama tu! Andikeni habari zenye maslahi ya taifa bila kuwa na uoga na kutokusaliti nafsi zenu kwa tamaa ya pesa kidogo tu ambazo zinakufanya uonekane kama huna akili au umetumika kwa maslahi ya wachache!!!

Mimi nataka kujua ni waandishi wapi walipewa jukumu la kuhudhuria kwenye hicho kikao na ninani aliwateua, nilisikia sina uhakika kuwa walikuwa 5 tu je ni kweli?
 
Unless kuna 'order' ilitoka juu kuwa ni marufuku kupiga picha na pia mwiko kusema tumekatazwa na sirikali....otherwise sidhani kama waandishi wa habari wetu wako low kiasi hiki

unaweza kuwazuia hawa??

89669613.jpg


Haikuanza leo!!

SuperStock_1035-1017.jpg


Hivi technique hizi kama za snippers haziwezekaniki??



HIVI HATA BAADA YA KUTOKA nje HAKUNA WAPIGA PICHA, I MEAN MAPAPARAZI NCHI HII, au alilala humohumo ndani?
 
Duh, Al Daiwi kiboko. Fedha ndiyo sabuni ya roho bwana. Waandishi wanapiga kelele we kuhusu DOWANS, sijui EPA, sijui mauaji ya wapi, mara sijui rushwa. Kumbe waandishi wa habari wenyewe wa nchi hii bdio wanaoipotosha Tanzania. Wao pia ni wala rushwa wakubwa. hawapishani na hao wa DOWANS. Ndiyo maana utaona magazeti ya Tanzania kuhusu suala la DOWANS yamegawanyika. Yako yanayounga mkono DOWANS na yako yanayopinga. Wewe soma tu vichwa vya habari utagundua ni lipi liko kwa Al Adaiwi na lipi haliko huko. Kazi tunayo Watanzania.
 
upupu,tafuta lingine la kusema!mnakera na ma-thread ya kijinga!
Ukisoma tu mchango wako na wa waberoya wala huwezi uliza ni wazi wewe ndio unatema upupu hapa, hahaha ukweli unauma, hizo njaa zenu za kupenda posho na kusikiliza kila mnachoagizwa kufanya ndio kunawafanya muonekane sio waandishi makini bali mazuzu na wachumia tumbo! au mlikuwa mnataka kututhibitishia msemo wa " amlipaye mpiga zumari.....! Asante Waberoya kwa kuwapa ukweli!
 
Waberoya, nimesoma threads zaako nyingi sana na ninakukubali sana. Leo nimekukubali zaidi. Hii katuni sijui umeitoa wapi lakini ni sahihi. Hawa waandishi wa habari huwa wanapewa posho za namna fulani, mara nyingine. Je, inawezekana kuwa posho hizi mara nyingine ni ili wasiandike mambo kama yalivyo ama wakubali lolote na wasikilize bila kuhoji sana? Hivi huu ni woga ama ujuha.

Kweli mtu safi akiwaita awaambie mambo yanayohusu mustakabali wa jamii kwa manufaa ya taifa atakataa kupigwa picha? Waberoya umefanya vema kulianzisha hili; sijui ni sheria gani ambayo huyu fisadi aliwatisha nayo; Hivi angefanya nini kama mmoja wao angempiga picha? Waandishi wetu wa habari hawapaswi kukubali mambo bila kuhoji.

Hivi, baada ya huyu fisadi kukataa kupigwa picha, wangeamua kutoka wasiendelee na press conference ingekuwaje? Natumaini hawatafikia mahali pa kuambiwa wavue nguo nao bila kuhoji wakazivua. God forbid!
 
unaweza kuwazuia hawa??

89669613.jpg


Haikuanza leo!!

SuperStock_1035-1017.jpg


Hivi technique hizi kama za snippers haziwezekaniki??



HIVI HATA BAADA YA KUTOKA nje HAKUNA WAPIGA PICHA, I MEAN MAPAPARAZI NCHI HII, au alilala humohumo ndani?

Yaani najiuliza sana kuhusu ukweli wa uhuru wa vyombo vya habari..............wanazuiwa/Wananyimwa uhuru??
Hivi kuna mwenye uthubutu wa kuanzisha hata kile kipindi cha XYZ sijui cha Kenya ambacho kina Mwai wanachambuliwa kama vibaka mtaani...........ile wanavaa vinyago vyenye sura zao?

I just wonder kina Kajubi Mukajanga, Saina Davoot sijui na Ayoub Ryoba wa Misa.................what have they to say on tthois
 
Waberoya tena sio Waandishi wa habari bali Wahariri kabisa

Kilichonishangaza ni kuwa hawakuwa waandishi tu walikuwa "wahariri"!! think about it..

Huwa na kuwa confused! MKJJ na Finest are you convinced that wahariri wetu hawajui professional ya habari ilivyo, au there waqs hidden agenda?? kweli mhariri huwezi uka-mtext mpiga picha kuwa Adawi akitoka mpige picha...na kesho kwenye media tunaona Adawi akitoka kwenye kikao na wahariri!!!

If media is corrupted professionaly like this what about other professionals !
 
Nakuunga mkono mkuu. Siku ile nlishangaa na nliweka mchango wangu apa jf nkishangaa kama amekataa picha,next tyme atawaelekeza waende wale naye lunch,next time anawaambia njoo tuongee ila msiandike kitu! Ni ajabu sana mkuu. Nilipenda TzDaima walivomfotoa pale kwenye mitambo ubungo! Ila si issue sana maana alishaikataa Dowans Tanzania ktk ushaidi ulioletwa,pia dowans haipo Costa rica,ngeleja hakumtaja ktk kundi la wamiliki,rosttam alikana kuijua Dowans,leo eti ana power of attoney,woote huo ni ujinga na utapeli,ilitosha hata kumpotezea kabisa,maana apa inaonekana amekula %ili aikubali. Ni ufisadi ndani ya ufisadi.
 
Kaka upo sahihi kabisa na thread yako unakumbuka ya GADO baadhi yao wamekuja kukumbuka uadilifu jua limechwea na nchi inatafunika. Waandishi ndio maana mkaambiwa ni mhimili wa nne ni zaidi ya kuandika na kudurusu nakala. Lazima uhoji mantiki ya kufanya au kuto fanya jambo fulani. Kwani uandishi ni nini?
 
Ukombozi/uhuru utakamilika pale tu utumwa wa fikra utakapoisha!
Safari bado inaendelelea kutoka utumwani.

katika picha hiyo kutoka kushoto, kibanda, jamaa wa uhuru, jamaa wa rai, jamaa wa mtanzania kutoka nyuma malaria sugu, jeykey wa ukweli na jamaa wa jambo leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom