Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Ukiangalia media zetu zinamfanya kila mtu eti kama vile mjinga...walichukuzana wakaenda kumwona Al Adawi, Al Adawi akasema msinipige picha! nao wakakubali! wakamsikiliza hawakumpiga picha!
Siku ya pili yake magazeti yote yakalalamika eti alisema tusimpige picha, yule Al Adawi wa uongo, sijui eti mtanzania, sijui eti feki na maneno kibao.. ili mradi wauze gazeti yes dowans si inalipa bana!
Hawa walioingia mule sio watoto ni wanaume na wanawake watu wazima sio chekechea! KULIKUWA NA ULAZIMA gani kumsikiliza? kwa nini wasitoke nje basi baada ya kuona msimamo wa Adawi?
Hivi inaingia akilini kweli? kwa nini watanzania wamechukuliwa ni wapenda umbea na wako tayari kununua habari zozote zile hata kama zinadhallilisha utashi na common sense ya watanzania..hivi is it a debate kuwa Adawi alisema asipigwe picha?, kweli haukumpiga na ukamsikiliza toka mwazo hadi mwisho, angesema lingine je?
Angesema muingie uchi mngekubali tu! na kesho mngelalamika alisema tuvue nguo! Ndio angesema vueni nguo ili kuhakikisha wenye vinasa hawana...waandishi mmejidhalilisha sana! kesho atakuja mwingine na condition zake! hapa mlikamatwa
Hawa ni waandishi wa habari eti, je hao viongozi wa serikali wakiambiwa yale ya asilimia 10% hamuoni huwa wanakubali tu, kama wale tunaowategemea wawe wakali kwa matendo ya uwazi sio wakali je wale tunaowategema kuwa wakali kwa matendo ya siri inakuwaje?
Hivi kweli sivyo tulivyo??
Nashukuru nimeipata hii katuni kutoka kwa (Safari ni Safari) naamini imetolewa na Majira ili kukazia hoja
Siku ya pili yake magazeti yote yakalalamika eti alisema tusimpige picha, yule Al Adawi wa uongo, sijui eti mtanzania, sijui eti feki na maneno kibao.. ili mradi wauze gazeti yes dowans si inalipa bana!
Hawa walioingia mule sio watoto ni wanaume na wanawake watu wazima sio chekechea! KULIKUWA NA ULAZIMA gani kumsikiliza? kwa nini wasitoke nje basi baada ya kuona msimamo wa Adawi?
Hivi inaingia akilini kweli? kwa nini watanzania wamechukuliwa ni wapenda umbea na wako tayari kununua habari zozote zile hata kama zinadhallilisha utashi na common sense ya watanzania..hivi is it a debate kuwa Adawi alisema asipigwe picha?, kweli haukumpiga na ukamsikiliza toka mwazo hadi mwisho, angesema lingine je?
Angesema muingie uchi mngekubali tu! na kesho mngelalamika alisema tuvue nguo! Ndio angesema vueni nguo ili kuhakikisha wenye vinasa hawana...waandishi mmejidhalilisha sana! kesho atakuja mwingine na condition zake! hapa mlikamatwa
Hawa ni waandishi wa habari eti, je hao viongozi wa serikali wakiambiwa yale ya asilimia 10% hamuoni huwa wanakubali tu, kama wale tunaowategemea wawe wakali kwa matendo ya uwazi sio wakali je wale tunaowategema kuwa wakali kwa matendo ya siri inakuwaje?
Hivi kweli sivyo tulivyo??
Nashukuru nimeipata hii katuni kutoka kwa (Safari ni Safari) naamini imetolewa na Majira ili kukazia hoja