Inauma: 'Alisema tusimpige picha'... Angesema mvue nguo!!

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,785
Ukiangalia media zetu zinamfanya kila mtu eti kama vile mjinga...walichukuzana wakaenda kumwona Al Adawi, Al Adawi akasema msinipige picha! nao wakakubali! wakamsikiliza hawakumpiga picha!

Siku ya pili yake magazeti yote yakalalamika eti alisema tusimpige picha, yule Al Adawi wa uongo, sijui eti mtanzania, sijui eti feki na maneno kibao.. ili mradi wauze gazeti yes dowans si inalipa bana!

Hawa walioingia mule sio watoto ni wanaume na wanawake watu wazima sio chekechea! KULIKUWA NA ULAZIMA gani kumsikiliza? kwa nini wasitoke nje basi baada ya kuona msimamo wa Adawi?

Hivi inaingia akilini kweli? kwa nini watanzania wamechukuliwa ni wapenda umbea na wako tayari kununua habari zozote zile hata kama zinadhallilisha utashi na common sense ya watanzania..hivi is it a debate kuwa Adawi alisema asipigwe picha?, kweli haukumpiga na ukamsikiliza toka mwazo hadi mwisho, angesema lingine je?

Angesema muingie uchi mngekubali tu! na kesho mngelalamika alisema tuvue nguo! Ndio angesema vueni nguo ili kuhakikisha wenye vinasa hawana...waandishi mmejidhalilisha sana! kesho atakuja mwingine na condition zake! hapa mlikamatwa

Hawa ni waandishi wa habari eti, je hao viongozi wa serikali wakiambiwa yale ya asilimia 10% hamuoni huwa wanakubali tu, kama wale tunaowategemea wawe wakali kwa matendo ya uwazi sio wakali je wale tunaowategema kuwa wakali kwa matendo ya siri inakuwaje?

Hivi kweli sivyo tulivyo??

Nashukuru nimeipata hii katuni kutoka kwa (Safari ni Safari) naamini imetolewa na Majira ili kukazia hoja
katuni%2Bmajira%2B24.2.11.jpg
 
Hoja yako haina maana.

Ulikuwemo? pole sana

Ninachotaka hapa kuangalia ni jinsi gani inavyokuwa kukemea maovu ni vigumu kama sisi wenyewe hatuna misingi na itikadi zetu tunazoziamini, huwezi ukaambia usifanye hivi ukafanya halafu kesho ukaamka na kulaumu, alisema eti tusimpige picha, hauoni kichekesho hiki!
 
upupu,tafuta lingine la kusema!mnakera na ma-thread ya kijinga!

Unaita upupu kwa sababu umeingizwa mkenge na waandishi wa habari na kuona walichofanya ni sahihi! sasa nani ana upupu, haunipi asante lau kidogo kukuonjesha ladha ya kufikiria nje ya box, hujalazimishwa kusoma hii thread nenda zingine nyingi tu zo 'dowans' zisome tu niachie upupu wangu, hujakuwasha wewe utawawasha wenzako wasiofikiria na kulialia kama vitoto.
 
Niaibu bwana kwa waandishi wa habari kuambiwa msipige pic na nyinyi mkatoka bila kupiga picha kweli huu ni upuuuzi kweli!
Sjui nani yule alisema waandishi wahabari walifeli mitihani ya form four! mimi simtaji ila mnamfahamu,
Ndo maana Sipika akasema magazeti yenu YASOMWE KAMA BARUA.:A S 13::A S 13:
MNAENDA TUU KAMA MAZUZU BASI HIYO HABARI MSINGEITOA, NYINYI NDO MNALETA UGONVI NCHINI HAPA!:A S 13::A S 13:
 
Tunazungumzia Uhuru wa habari, tunata serikari ihakishe inavipa uhuru viombo vya habari. Cha kushangaza watu wa habari wanakubali kunyimwa uhuru na mtu mmoja, Al Adawi? Je wangempiga picha angewafanya nini wakati serikali yetu inadhamini uhuru wa habari. Mngegoma kuhudhuri kikao chake mpaka andoe masharti, mlivyoiwakilisha habari ile kwenye media ni kama porojo tu. Shame of you.
 
pia cha kushangaza zaidi hatujapata waliyomuuliza huko kwenye press meeting, sasa sijui pia aliwakataza kuuliza swali lolote...
 
Ukiangalia media zetu zinamfanya kila mtu eti kama vile mjinga...walichukuzana wakaenda kumwona Al Adawi, Al Adawi akasema msinipige picha! nao wakakubali! wakamsikiliza hawakumpiga picha!

Siku ya pili yake magazeti yote yakalalamika eti alisema tusimpige picha, yule Al Adawi wa uongo, sijui eti mtanzania, sijui eti feki na maneno kibao.. ili mradi wauze gazeti yes dowans si inalipa bana!

Hawa walioingia mule sio watoto ni wanaume na wanawake watu wazima sio chekechea! KULIKUWA NA ULAZIMA gani kumsikiliza? kwa nini wasitoke nje basi baada ya kuona msimamo wa Adawi?

Hivi inaingia akilini kweli? kwa nini watanzania wamechukuliwa ni wapenda umbea na wako tayari kununua habari zozote zile hata kama zinadhallilisha utashi na common sense ya watanzania..hivi is it a debate kuwa Adawi alisema asipigwe picha?, kweli haukumpiga na ukamsikiliza toka mwazo hadi mwisho, angesema lingine je?

Angesema muingie uchi mngekubali tu! na kesho mngelalamika alisema tuvue nguo! Ndio angesema vueni nguo ili kuhakikisha wenye vinasa hawana...waandishi mmejidhalilisha sana! kesho atakuja mwingine na condition zake! hapa mlikamatwa

Hawa ni waandishi wa habari eti, je hao viongozi wa serikali wakiambiwa yale ya asilimia 10% hamuoni huwa wanakubali tu, kama wale tunaowategemea wawe wakali kwa matendo ya uwazi sio wakali je wale tunaowategema kuwa wakali kwa matendo ya siri inakuwaje?

Hivi kweli sivyo tulivyo??

Ni kweli Mkuu nakuunga Mkono kwa hilo! Hatuna Waandishi wa Habari walio makini most of them are Papetrator and Trator, some of them not all!! Mimi haingii akilini kuona mtu au chombo cha Habari kinalipoti taarifa hiyo na kuendelea kulalama tu! Andikeni habari zenye maslahi ya taifa bila kuwa na uoga na kutokusaliti nafsi zenu kwa tamaa ya pesa kidogo tu ambazo zinakufanya uonekane kama huna akili au umetumika kwa maslahi ya wachache!!!
 
Nakupa Thanks zangu.
Hapa pia kama kuna anayeweza kuleta list ya vyombo na waandishi waliohudhuria/ kusikiliza wakala wa mafisadi atatusaidia kutokupotezea vijisenti vyetu kununua alichokiita barua za wasomaji wakala mwingine wa mafisadi.
 
Mi nakubaliana na wewe Waberoya. Haiingii akilini eti waandishi wa habari, tena wengine ni wahariri, mnapewa mwaliko (na hapa inabidi tuulize mwaliko huo ulitolewa kwa akina nani na kufuata utaratibu gani na kwa nini vyombo vingine kama MwanaHalisi havikuhusishwa) then mnaambiwa msipige picha, mnakubali tu,halafu mnakuja kuamndika mmiliki wa Dowans amekataa kupigwa picha.........So what? kwa hiyo hicho ndo mlichoona cha kuwaambia wananchi, that is news to you. Shame on you.

Integrity ya hawa waandishi wa habari (fake) walioalikwa ni lazima tui-question. Uzalendo wao upo wapi? je walimuuliza kwa nini hataki kupigwa picha? kama investor (hivi huyu nae ni investor? - generators, kweli?) kwa nini hataki watu wamfahamu kwa sura? anaogopa nini?
 
upupu,tafuta lingine la kusema!mnakera na ma-thread ya kijinga!

Umebadili avatar mara hii! kidonge hiki!!, unaweza kutema tu, maji ya uhai yanasaidia sana, juice za vijoti may help unajua Klorokwin tena!

usirudie kosa la kukosoa tu thread huwa hatukurupuki, inabidi huwe shujaa sana kuzipinga

swali; ni vingapi kama vya Al Adawi vinatokea kila siku kwenye media zetu kwa mafisadi na wenye uwezo mbalimbali, sio ndio dalili tosha kuwa hata habari za kila siku sio za kuaminika sana, unaweza kupika tu au kufuata matakwa ya matajiri..A.I.B.UUUUU
 
Ukiangalia media zetu zinamfanya kila mtu eti kama vile mjinga...walichukuzana wakaenda kumwona Al Adawi, Al Adawi akasema msinipige picha! nao wakakubali! wakamsikiliza hawakumpiga picha!

Siku ya pili yake magazeti yote yakalalamika eti alisema tusimpige picha, yule Al Adawi wa uongo, sijui eti mtanzania, sijui eti feki na maneno kibao.. ili mradi wauze gazeti yes dowans si inalipa bana!

Hawa walioingia mule sio watoto ni wanaume na wanawake watu wazima sio chekechea! KULIKUWA NA ULAZIMA gani kumsikiliza? kwa nini wasitoke nje basi baada ya kuona msimamo wa Adawi?

Hivi inaingia akilini kweli? kwa nini watanzania wamechukuliwa ni wapenda umbea na wako tayari kununua habari zozote zile hata kama zinadhallilisha utashi na common sense ya watanzania..hivi is it a debate kuwa Adawi alisema asipigwe picha?, kweli haukumpiga na ukamsikiliza toka mwazo hadi mwisho, angesema lingine je?

Angesema muingie uchi mngekubali tu! na kesho mngelalamika alisema tuvue nguo! Ndio angesema vueni nguo ili kuhakikisha wenye vinasa hawana...waandishi mmejidhalilisha sana! kesho atakuja mwingine na condition zake! hapa mlikamatwa

Hawa ni waandishi wa habari eti, je hao viongozi wa serikali wakiambiwa yale ya asilimia 10% hamuoni huwa wanakubali tu, kama wale tunaowategemea wawe wakali kwa matendo ya uwazi sio wakali je wale tunaowategema kuwa wakali kwa matendo ya siri inakuwaje?

Hivi kweli sivyo tulivyo??

Mkuu upo sahihi kabisa.
Wanaobeza basi ujue walikuwepo.
Mimi najiuliza hivi hawa waandishi na wapiga picha wetu mahiri kweli walikubali ujinga ule? Walipewa nini? Halafu wakikaa kwenye tv wanauza sura na kujifanya kubwabwaja kumbe hamna kitu.
Kama mtu amekuja nchini kwao, akawapa amri, wakatii. Je wakitumwa wakatafute habari za uchunguzi nje ya nchi wataweza?
Wabadilike la sivyo hiyo kazi haiwafai.
 
walikuwa waandishi wasaliti wala si wazalendo. Kwani wangemsikiliza na mwishoni mwa mambo wakampiga picha kibao-angefanya nini??? Ujuha huo...
 
upupu,tafuta lingine la kusema!mnakera na ma-thread ya kijinga!

Anaye mdhihaki Waberoya kwa thread hii basi hajui nguvu ya kalamu kwenye jamii

Nakuunga mkono Waberoya,haiwezekani mtu awapangie kazi wahariri wa vyombo halali vya habari nini ca kufanya na hii ni aibu sana kwa media za TZ;Al-Adawi angekutana na wahariri wanaojua kazi zao wangeondoka kwenye chumba hicho maana kuwakataza kupiga picha ni sawa na kuwaingilia kwenye kazi zao;na habari zake za kuja zisingeripotiwa na chombo chochote kile cha habari!

Kitendo hiki cha waandishi wetu kupangiwa cha kufanya na wenye mabilion kinafanana kabisa na katuni ile kutoka Kenya iliyo onyesha waaandishi wetu wakimpigia magoti bwana mkubwa!
 
Hoja nzuri ila imeletwa na wrong person ambaye credibility yake inayoyoma. Na ungeendelea tu kidogo ungeishia kusema hao waandishi wa habari ni CDM! Poor Waberoya!
 
Ukiangalia media zetu zinamfanya kila mtu eti kama vile mjinga...walichukuzana wakaenda kumwona Al Adawi, Al Adawi akasema msinipige picha! nao wakakubali! wakamsikiliza hawakumpiga picha!

Siku ya pili yake magazeti yote yakalalamika eti alisema tusimpige picha, yule Al Adawi wa uongo, sijui eti mtanzania, sijui eti feki na maneno kibao.. ili mradi wauze gazeti yes dowans si inalipa bana!

Hawa walioingia mule sio watoto ni wanaume na wanawake watu wazima sio chekechea! KULIKUWA NA ULAZIMA gani kumsikiliza? kwa nini wasitoke nje basi baada ya kuona msimamo wa Adawi?

Hivi inaingia akilini kweli? kwa nini watanzania wamechukuliwa ni wapenda umbea na wako tayari kununua habari zozote zile hata kama zinadhallilisha utashi na common sense ya watanzania..hivi is it a debate kuwa Adawi alisema asipigwe picha?, kweli haukumpiga na ukamsikiliza toka mwazo hadi mwisho, angesema lingine je?

Angesema muingie uchi mngekubali tu! na kesho mngelalamika alisema tuvue nguo! Ndio angesema vueni nguo ili kuhakikisha wenye vinasa hawana...waandishi mmejidhalilisha sana! kesho atakuja mwingine na condition zake! hapa mlikamatwa

Hawa ni waandishi wa habari eti, je hao viongozi wa serikali wakiambiwa yale ya asilimia 10% hamuoni huwa wanakubali tu, kama wale tunaowategemea wawe wakali kwa matendo ya uwazi sio wakali je wale tunaowategema kuwa wakali kwa matendo ya siri inakuwaje?

Hivi kweli sivyo tulivyo??

Nashukuru nimeipata hii katuni kutoka kwa (Safari ni Safari) naamini imetolewa na Majira ili kukazia hoja
katuni%2Bmajira%2B24.2.11.jpg

Ukombozi/uhuru utakamilika pale tu utumwa wa fikra utakapoisha!
Safari bado inaendelelea kutoka utumwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom