Inasemekana MalkiaKaren ana mimba ya Diamond Platnumz

Hatimaye binti kajifungua salama na GADNER Sasa kapata mjukuu


So bwana mtangazaji n babu Sasa
 
Alitaka kumfanya nae awe celebrity kama akina Paula, lakini kwa umaarufu wake Gadna angemconnect kwenye makampuni makubwa kuliko huko kwenye usanii ambako mwisho wake ndo kama hivo tena
Kwani uko kwenye makampuni makubwa hakuna wabanduaji? Wasafi nayo ni kampuni kubwa wacha wakojozwe tu
 
Haya haya hayaa hayaaaaa....

Mdogomdogo tunaelekea kuujua ukweli....

Ila kwa jibu la babu mtu, kuna uwezekano wa 80% mpaka sasa kwamba Mondi bin Laden ndiye baba mtoto.....

 
Nasikia pia na huyo jamaa kwenye tshet aliyovaa amewaweka sana huko calfornia,
138639327_237396067826313_8970550272164898907_n%20(1).jpg
 
Back
Top Bottom