babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,182
Kudadeki jamaa zangu eeh tutafute hela ili nasi tuje tugombaniwe kama hivi
Kudadeki jamaa zangu eeh tutafute hela ili nasi tuje tugombaniwe kama hivi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Si tulikubaliana baada ya tanasha ni mimi sasa imekuaje?
Baba hana akili badala mtoto afanye kazi yeye kamruhusu afanye mziki..huwezi lima miwa ukavuna mahindi
Kuna aliesema ni exceptional? Mbona tunakula vitu vizuri mara tatu ya hiyo. Matamanio sio manake kitu ni exceptional kuna touch nyingi kati ya mtu na mtu na ni lazma uwe kwenye mlengo flan ndo upate mtu wa aina fulani kiulaini. I hope we sio mgeni wa haya mamboHiki kitoto mbona cha kawaida tu??..Yaani hadi uwe Mondi ndo ule,umekuwa kiumbe dhalili sana kwa comment yako.
And it seems watu wanatapeliwa na filter za IG..ana kwa ana hawa watu ni wakawaida tena wanazidiwa na mademu kibao tu wasio mastaa.
mwanamke kukojozwa mbona si jambo la kushangaza, maana ni lazima wakojozwe tu.Malipo ni hapa hapa...
Capteiiiiiin ULIKO-JOZA sana dada zetu akina JIDE mpaka ukawa unajinasibu kwa Luninga, sasa ni zamu yako Wanao kukojo-zwa Live live bila chenga.
Baharia Kiongozi Majani Pfunk akina Nargris Mohamed enzi hizo uliko-joza kadri ulivyotaka. Leo ngoma imegeuka kwako PAULA anapakuliwa Nje Ndani.
Khaaaa kweli zege halilali
Alitaka kumfanya nae awe celebrity kama akina Paula, lakini kwa umaarufu wake Gadna angemconnect kwenye makampuni makubwa kuliko huko kwenye usanii ambako mwisho wake ndo kama hivo tenaBaba hana akili badala mtoto afanye kazi yeye kamruhusu afanye mziki..huwezi lima miwa ukavuna mahindi
Jamaa anajina mjini asingeweza kushindwa kumpatia mwanae kazi sehemu nzuriAlishindwa hata kumkabidhi kwa mama yake mdogo yaanijide.
Huyu captain wa kwenye tv bure kabisa.
Kabisa jamaa anajina mjini sema ni baba ambae hajielewi yupoyupo tuAlitaka kumfanya nae awe celebrity kama akina Paula, lakini kwa umaarufu wake Gadna angemconnect kwenye makampuni makubwa kuliko huko kwenye usanii ambako mwisho wake ndo kama hivo tena
maisha haya wewe acha tu, yapo tofauti na jinsi unavyofikriaJamaa anajina mjini asingeweza kushindwa kumpatia mwanae kazi sehemu nzuri
Kwenye picha tuAnatembeza rungu kama comrade kipepe ,ila kazuchu kazuri .
Wewe kwa uluvyo ata dudubaya hakuliSi tulikubaliana baada ya tanasha ni mimi sasa imekuaje?
Kwenye picha tu
Duh! Punguza ukali wa maneno kidogo.Jux ni choko anakatwa ukungu
Unasema kweli anapelekewa motoJux ni choko anakatwa ukungu