Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,545
- 29,617
Hata mimi
Hata mimi
Mtoto Ni baraka wanasema, lakn ingependeza Kama angejipanga..kazi kuleaKaren hajakataa shule amemaliza degree vizuri tu IFM pale...usimfananishe na kina paula...
Amelelewa vizuri na mamake..baada ya kumaliza chuo akaanza kuimba baba akaanza kumtafutia connection na ma star wabongo hapo ndio Mambo yalipoanza kuharibika...
SawaMsanii MalkiaKaren ambaye ni mtoto wa mtangazaji nguli hapa Tanzania, Gadner G Habash ana ujauzito mkubwa tuu ambao hata ukisikia kajifungua kesho wala usishangae. Mwenye mzigo inasemekana ni mnyama bin laden simba.
Wadau wa kufukunyua hebu mje hapa, tupeni undani wa hii tetesi.
View attachment 1977712View attachment 1977712
View attachment 1977713
Hapo kamaanisha ule Diamond wa mfukoni mkuuShe is not exceptional..mademu kama hawa wapo kibao tu mitaani..yaani sijaona point ya jamaa kuuvaa U-diamond ili aweze kupiga hapo.
Bado pia itakuwa sio sawa..sidhani kama unahitaji kuwa na Billioni ili utoke na demu kama Karen..bado ni kujifavalisha tu unyonge.Hapo kamaanisha ule Diamond wa mfukoni mkuu
Kwanza wanawake walio wengi wana hulka ya kupenda wanaume wanaojaza mimba hovyohovyo kwahiyo hakuna tatizo. Hapo
Ohoooo!!!Imekwisha hiyo Mkuu!!! Jamaa anaendeleza uzinzi tu utitiri wa watoto. Next ni Zuchu.
Ohoooo!!!Ukijaza mimba hovyo hovyo pia unajaza umeme hovyo hovyo
Hasa 'ma celebrity'Kila mwanamke mwenye mimba mjini anaambiwa diamond
Bad boys wana ladha ya pekee.Kwanza wanawake walio wengi wana hulka ya kupenda wanaume wanaojaza mimba hovyohovyo kwahiyo hakuna tatizo. Hapo
Baba hana akili badala mtoto afanye kazi yeye kamruhusu afanye mziki..huwezi lima miwa ukavuna mahindiKaren hajakataa shule amemaliza degree vizuri tu IFM pale...usimfananishe na kina paula...
Amelelewa vizuri na mamake..baada ya kumaliza chuo akaanza kuimba baba akaanza kumtafutia connection na ma star wabongo hapo ndio Mambo yalipoanza kuharibika...
Kudadeki jamaa zangu eeh tutafute hela ili nasi tuje tugombaniwe kama hivi 😭😭Si tulikubaliana baada ya tanasha ni mimi sasa imekuaje?