Nyumbu
Senior Member
- May 22, 2008
- 141
- 1
...Kama ni tamaa za mali, au ufisadi, ni Mtanzania gani ambey si mwenye tamaa ya mali au fisadi?
Dr. Willibroad Peter Slaa!
Siku za mwizi ni arobaini. Watalindana lakini iko siku Lowassa ataumbuka tu.
.
...Kama ni tamaa za mali, au ufisadi, ni Mtanzania gani ambey si mwenye tamaa ya mali au fisadi?
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
Kwa kuwa hao wawili wa mwanzo wamekaa saana kwenye hii system yetu mbovu mbovu na wana harufu ya ufisadi wa TTCL na Nyumba za Serikali, basi nitaenda kwa Babu lakini naomba utupe hizo sifa zake za utendaji aka uadilifuKaka Rev......Hapana ndugu yangu msimpigie Debe Bwana Ngoyai,Ninaogopa zaidi ninapoona kati ya watanzania karibu 40 millioni hakuna mtu zaidi ya Lowassa.Muungwana Edward keshakaa hapo na tumeona mambo yake.kaondoka kwa kashfa tumjaribu Mwingine...Lowassa Hapana!.Mheshimiwa Mchungaji katika ziara yako ya Tanzania isije ikawa umepitia Monduli?...Maana ni hapa hapa tuliambiwa kuwa Lowassa atasafishwa....Huu utetezi wako kwa Lowassa umenishtua!
Katika watu ambao ninawapendekeza ni:
1. Prof. Mark Mwandosya.
2.Pombe Magufuri.
3.Mohammed Babu.
Pamoja na mambo mengine nimezingatia zaidi utendaji wao kazi....Huo ni mtazamo wangu tu!
Du kumekucha.......The old Kishoka is Dead n Gone...Jus to have some sort of flashback... https://www.jamiiforums.com/226368-post1.html
na tena https://www.jamiiforums.com/260900-post1648.html
need I hv to say mo?Such a damn U_turn
Labda niseme hivi nieleweke.
Tatizo la Tanzania si Ufisadi, bali ni sisi watu wenyewe, tu wavivu, magoigoi na tumeridhika mno na mambo ya ajabu ajabu ambayo Serikali imelala kabisa.
Sasa jiulize kama Dar Es Salaam juzi walidiriki kukaa masaa karibu 14 bila umeme na Serikali nzima na Wananchi wanaona ni jambo la kawaida, hamuoni kuwa tunahitaji mtu fyatu ambaye akihoji ni nini kilichotokea, basi watu wataanza kubadilika?
For now Lowassa stands to be the only ideal choice we have, maana nilichokiona Tanzania hatuhitaji tena eti mtaalamu kama Ndulu au Shivji.
NIlijiuliza kwa nini Watanzania hawana mwamko wa kufanya kazi au kujitutumua? nikajiuliza kwa nini Watanzania wameridhika na shida na dhiki? Naendelea kujiuliza kwa nini Watanzania wanaendelea kunyanyaswa na Serikali na Majuha wachache wanaotaka kujifanyia mambo wanavyotaka (shida ya umeme, maji, takataka na foleni za magari)? Nikajiuliza kwa nini Watanzania hawafuati sheria au kanuni ilhali sheria na kanuni zipo na nyingi? nikajiuliza kwa nini watunga Sheria na enforcers wa sheria si makini katika kuhakikisha Sheria na kanuni zinafuatwa?
Sasa kwa kipmo hicho na wala si mambo ya Uhujumu au Ufisadi, utagundua kuwa Tatizo la Tanzania ni mfumo mbovu wa uongozi na jamii ambao unahitaji mtu fyatu na mkali ili tunyooke.
Give Lowassa 10 years and trust me we will see a big difference na ndipo sasa tuanze kutafuta watu softisofti kama Membe au sijui ni majina gani!
Mnaodai kuwa tutaendelea kuliwa, ni lini tuliacha kuliwa? Tangu enzi za Nyerere tunahujumiwa na hatujabadilika mpaka leo hii.
Si siri kila Mtanzania ni fisadi kwa namna yake moja au nyingine. Leo watu wanatoa rushwa kama ni haki yao kutoa rushwa na ni jambo la kawaida ili wapate leseni au kibali cha gari.
Watu hawafuati taratibu na sheria wti hawataki bugudha, hivyo kiulani wanatoa kitu kidogo bila hata kuombwa au kulazimishwa!
Let Lowassa take the reigns and you will se the change that we can all believe in!
Hapana. Kwenye barabara ya km 10 atajenga 3 na nyingine kujenga mahekalu yake.Amen to that mkubwa.
Tutake tusitake, sisi domo jingi na kama Rev. alivyosema mtu mwenye uwezo wa kusema na kusikilizwa ni EL ingawa ana mapungufu yake kwenye barbara ya km 10 atajenga 9 aibe 1. tofauti na hao magaigoi ambao wanaiba kila kitu na wanaibiwa pia.
The old Kishoka is Dead n Gone...Jus to have some sort of flashback... https://www.jamiiforums.com/226368-post1.html
na tena https://www.jamiiforums.com/260900-post1648.html
need I hv to say mo?Such a damn U_turn