Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 44
GQ,
Burden of proof iko wako maana wewe ndiye unadai eti yeye ni Jambazi, Fisadi ana majumba mengi na mali nyingi. Tuletee basi hivyo vyeti vya umiliki vya mali unazodai ni za Lowassa ndipo defense counsel wawasilishe majibu 🙂
Nyerere alishaonesha mashaka juu ya Lowasa. Watanzania wengi pia tunamashaka na usafi wake. Mtu asiyeaminika ni hatari kumrudisha katika uongozi wa nchi. Kwanza kwa nini alijiuzuru uwaziri mkuu kama alikuwa msafi? Sisi tunafahamu kuwa bunge ambalo ni mwakilishi wa wananchi lilimwona anauhusiano na Richmond baada ya kufanya uchunguzi.