In Edward Lowassa, I trust...

In Edward Lowassa, I trust...

Tunataka Raids anayechukia Rushwa na hata ukimtazama usoni unamwamini(j.k.Nyerere)
Lowasa so mtu wa namna hiyo!

"Haitoshi kwa Rais Kuchukia rushwa lakini Bali awe na uwezo wa kuwambia rafiki zake na ndugu zake kwamba ikulu no mahali patakatifu Sikuchaguliwa na watanzani kuigeuza ikulu kuwa pango la walanguzi" J.K.Nyerere

Lowasa hatawaza hili ,yaani atawazuije hawa maelfu wa mtandao wake kupiga mabao ilihali kelele zao nyingi no kwa ajili ya matumbo yao?
Atazuije familia take isifanye Kama Ridhiwani Kikwete

Narudia ten Lowas a hafai tutafute Mwingine tuwamwage yeye na wachumia matumbo wenzie
Kweli kabisa Mkuu. Tanzania tunakuwa maskini kwa sababu ya Rushwa. Lowasa mla rushwa hafai hata kuwa mtendaji wa kijiji
 
Membe alishawahi kufanya maamuzi gani magumu?

Katika mahali patawadhalilisha nyie watetezi wa ccm huku mitandaoni ni hivyo vita vya mafisadi kutaka urais. Huwa mnatetea kila kitu kinachofanywa na ccm, kwamba ni chama kisafi. Lakini inapoletwa mada ya Lowassa, Membe, Mwigulu, Tibaijuka inawaacha uchi sana. Maana hapo ndio tunashuhudia siasa zenu za majitaka zilivyo za kiwango cha juu. Mnaachana uchi kwa machafu ya viongozi wenu huku mkitutaka watz tuwachague hao wanaopendwa rushwa, washirikina, wasiojua siasa za ushindani wa hoja bali wizi nk. Njaa ni kitu kibaya sana, kwani kwa hizi njaa zenu ndio mnaishia kuliangamiza taifa kwa kuwapigia debe viongozi wabovu na wakiingia madarakani wanaishia kuliingiza taifa kwenye mikataba mibovu na kuuza ardhi za wananchi.
 
In Edward Lowassa, I trust ... Yes... Me too... Chini ya Lowassa naamini Maendeleo yatawezekana kwa Watanzania!!! Yeye ni Mjeda mwenye cheo cha Colonel, ni Nguli wa Siasa, Mwenye Maamuzi bila kusita, ana maono ya Maendeleo... YES kwa Lowassa....
 
Tupe wa kwako ambao hawali rushwa!!! Huyo Sitta anapiga deals mpaka za vipaza sauti! Membe atuambie zile fedha za Ghadaffi ziko wapi plus change ya Radder!!! January atuambie lini makampuni ya simu yataanza kulipa kodi na kuwalinda walaji! Pinda atuambie alipata wapi fedha za matumizi ya BMK bila kuidhinishwa na Bunge! ... Hakuna msafi ndani ya CCM kwa sasa ... Tunamtaka Lowassa kwakuwa tunajua kuwa Richmond haimuhusu bali ilikuwa ni zao za safari ya JK USA na sasa wamebadili jina na kuitwa Symbion watu Kimyaa !!! .... Tunamhitaji Lowassa kuliko yeye anavyotuhitaji ... Hutaki acha ....
Kweli kabisa Mkuu. Tanzania tunakuwa maskini kwa sababu ya Rushwa. Lowasa mla rushwa hafai hata kuwa mtendaji wa kijiji
 
Poleni jamani. Huyo Lowassa na viongozi wengine wa ccm ndio waliolifikisha taifa letu hapa. Wao ndio mainjinia wa mikataba mibovu, siasa za majitaka, watu wenye kupenda majungu na kutumia madaraka vibaya. Leo hii wamebaki kulipa waandishi na vijana ili wawapigie debe kubaki/kurudi madarakani wakati tunawajua ndio tatizo halisi la nchi hii. Hao wameishiwa mbinu wamebaki kutegemea dola na uwezo wao wa kujenga hoja ni mdogo. Na kama ameshalitumikia taifa sasa ni wakati wake kukaa pembeni ili watanzania wengine waonyeshe uwezo wao na yeye apate kujifunza yapi yalikuwa ni mazuri yake na yapi yalikuwa madhaifu yake. Hebu tuambie kama yeye ni kiongozi bora ni mchago gani ameutoa kwenye katiba pendekezwa, zaidi ya kuwa ni mmoja wa wajumbe waliolazimisha maadili ya uongozi yaondolewe?

Kwa hiyo ndugu naomba nichukue nafasi hii kukuomba kama anakulipa hela uumpigie debe acha kumtia hasara hizo hela zake akazitumie kwenye uzee wake. Kumbuka huyo Lowassa amechafuka na mkataba unaotugharimu watz mpaka sasa ni huo wa umeme. Nadhani wewe ni shahidi wa gharama za umeme tunazolipa zilivyo juu. Na kwabahati mbaya hajawahi kusema ukweli kuhusu mkataba huo. Leo hii mtu ambaye uadilifu wake ni wakutiliwa shaka na watz wengi mnatuletea sifa za kijinga na historia zisizo na maana katika maisha yetu. Kumbukeni watz tunavidonda vya ugumu wa maisha vilivyosababishwa na hao akina Lowassa. Huu si wakati wa kuwapa nchi watu ambao uwajibikaji na uaminifu wao ni wa kutiliwa mashaka na hasa ukizingatia wamepitisha katiba pendekezwa ambayo itaendelea kuwafanya wafanye watakalo katika nchi hii kama viongozi.

jiandae kisaikolojia
 
Mh ndg yangu, vipi na wewe umo kwenye lile kundi lake la kampeni za chini hcini alilowagawia milioni 200 mwezi September au? Maana nahisi kabisa kuna ka link kati yako na ka peni zake Mzee wangu Ngoyai.
 
Mwakani tunamchagua bwana Mamvi ili amalizie lile dili la mvua za elnino kutoka Thailand. Tumechoshwa na ukame bora mamvi awe rais mabwawa yajazwe na mvua za elnino ili umeme ufuliwe mwingi.
 
Tunataka mtu mwenye maamuzi magumu ya kujiuzulu kama bwana mamvi make jamaa akiwa rais anaweza kufanya maamuzi magumu ya kujiuzulu urais ndani ya miezi sita tu au miaka 2 ndani ya utawala wake.
 
Bwana Mamvi akiwa rais Tanzania itapata sifa kwa Afrika, kuwa rais wa kwanza kufanya maamuzi magumu ya kujiuzulu ndani ya mwaka mmoja.
 
Tupe wa kwako ambao hawali rushwa!!! Huyo Sitta anapiga deals mpaka za vipaza sauti! Membe atuambie zile fedha za Ghadaffi ziko wapi plus change ya Radder!!! January atuambie lini makampuni ya simu yataanza kulipa kodi na kuwalinda walaji! Pinda atuambie alipata wapi fedha za matumizi ya BMK bila kuidhinishwa na Bunge! ... Hakuna msafi ndani ya CCM kwa sasa ... Tunamtaka Lowassa kwakuwa tunajua kuwa Richmond haimuhusu bali ilikuwa ni zao za safari ya JK USA na sasa wamebadili jina na kuitwa Symbion watu Kimyaa !!! .... Tunamhitaji Lowassa kuliko yeye anavyotuhitaji ... Hutaki acha ....

Hapana itabidi apewe uwaziri mkuu tena ili ajisahihishe kwanza alipokosea na hapo tunamwihitaji kiongozi mwadilifu kama Mwigulu Nchemba
 
Bwana Mamvi akiwa rais Tanzania itapata sifa kwa Afrika, kuwa rais wa kwanza kufanya maamuzi magumu ya kujiuzulu ndani ya mwaka mmoja.

Kweli aisee yule Ukawa wakiandamana tu anaweza kujiuzulu
 
Nchemba Gaidi muuaji wa Mbwambo, Mvungi, Mwangosi na mtesaji wa Kibanda na Dr Ully... So far ameifanyia nini nchi hii? BTW kwanini usitumie ID yako kujipigia debe? ... Ukichaa ulionao sasa unatamaliaki kwenye brain yako ... soon utaanza kuokota vichungi vya sigara kama siyo mavi ya ng'ombe ...
Hapana itabidi apewe uwaziri mkuu tena ili ajisahihishe kwanza alipokosea na hapo tunamwihitaji kiongozi mwadilifu kama Mwigulu Nchemba
 
Back
Top Bottom