Kama serikali yetu inataka kufanya kweli, Lowasa na tapeli Rostam lazima washitakiwe kuhusu RICHMONDULI la sivyo yatakua yale yale ya JK mwache mzee wa watu apumumzike vizuri kwa kujipongeza kula mabilioni aliyotuibia. Kutoshitakiwa na kufilisiwa ni sawa na kuendeleza ufisadi.
Lowasa anajua fika ni mhusika mkuu na anajua hana cha kujitetea.
Lowasa anajua fika ni mhusika mkuu na anajua hana cha kujitetea.