Ukweliii
Member
- Feb 10, 2008
- 58
- 0
Huyu Mh. Warioba naona anachemka na kutoa matamko ya kisiasa akiegemea upande wa kitaalamu. Ripoti na mawasilisho yake yalikuwa wazi kuwa Mh. Lowasa afanye anachodhani ni sahihi, sijaona kama liambiwa ajiuzulu. Aliona mwenyewe kuwa kujiuzulu ndio sahihi. Maana pia alikuwa na choice ya kutokujiuzulu na akamuacha Rais amfukuze kazi kama yeye anaamini kuwa yusafi na hahusiki na skandali ya Richmond.
Hata hivyo kama Mh Lowasa kashinikizwa kujiuzulu haki yake ya kikatiba "free speech" ipo atoe utetezi wake
Pia Mh. Lowasa kama championi wa collective responsibility mawaziri wawili, Taasisi muhimu (TAKUKURU) na Mwanasheria Mkuu wanapohusishwa na tuhuma kubwa/nzito namna hii wajibu wake ni nini??
Hawa ni walinzi wa kile tunacho kipiga vita TZ, KULINDANA, Mwenzetu
Haya hayaleti maendeleo wala uwajibikaji wa mtu binafsi
Challenge is to Maintain the momentum alas we go back to the old ways..
Hata hivyo kama Mh Lowasa kashinikizwa kujiuzulu haki yake ya kikatiba "free speech" ipo atoe utetezi wake
Pia Mh. Lowasa kama championi wa collective responsibility mawaziri wawili, Taasisi muhimu (TAKUKURU) na Mwanasheria Mkuu wanapohusishwa na tuhuma kubwa/nzito namna hii wajibu wake ni nini??
Hawa ni walinzi wa kile tunacho kipiga vita TZ, KULINDANA, Mwenzetu
Haya hayaleti maendeleo wala uwajibikaji wa mtu binafsi
Challenge is to Maintain the momentum alas we go back to the old ways..