Ahahahaha umenichekesha ulivyosema kibubu...siku ukikivunja vimiamia vingiiiBora we mkoani besti.
Mie Sitimbi kabisa . . . siku ukienda namie nialike basi walau nikaoshe macho.
Naanza kudunduliza hela ya nauli kwenye kibubu.
weeeeeeeeeeeeeeeee? aje ili iweje? tena safari hii nitakuwa nakuja nae na kuondoka nae
Ahahahaha umenichekesha ulivyosema kibubu...siku ukikivunja vimiamia vingiii
Ebwana nipo mkoani jamani...kunani hapo?!!
Utanifunngulia hiyo"fixed account" nikikuja pande hizo?Njoo mjini mtoto, huku hakuna vibubu.. kuna Fixed Point .........aaaaargh I mean fiksid akaunti...
Afu wewe!! nje ya hilo jiji lenu la maraha na karahaMkoani ndio wapi wewe?
hahahaaa kazi unayo nakwambia, halafu jiandaeni kumsongea ugali wa nondo la sivyo utamtesa......!!!!!!
Usisahau kumshika mkono kila mnapovuka barabara,,,,,,,, halafu mwambie asije akaenda kwa watu asubuhi asubuhi na mswaki mdomoni kusalimia majirani maana ndio tabia yake hiyo!!!!!!!!!!
Afu wewe kwa nini hujaniletea ule mzigo wangu nilousahau kwako siku ile... ninazo chache mwenzio..
Unajua name niko ndani ya bongo
Mkoani ndio wapi wewe?