gmosha48
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,399
- 1,482
Kwanza wewe uangalie Tanzania wanakopa kwa matumiza gani halafu tazama IMF wanasemaje:
"...the Bank of Tanzanias reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits..."
Nlikuwa nakuhurumia lakini sasa naanza kukuogopa! Itabidi meya wa jiji atusaidie kufanya uchunguzi wa mfumo wako wa kufikiri. Mimi nina wasiwasi kwamba unatumia tekn0logia nyingine kwenye kufikiri, siyo ile aliyosema mheshimiwa Masaburi.