luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Naona Vodacom wame amua kutoa huduma za customer service za moja kwa moja yaan namba 100.
Na TCRA wapo kimyaaa, jamaa nawapigia kuwapa taarifa wafunge namba yangu imeibiwa usiku huu ila ajabu ukipiga simu namba 100 kuna option 2 tu ni either uchague 1 au 2 na zote izo hupati nafasi ya kiongea na mtu wa huduma kwa wateja
Sasa hili jambo sio fair kabisa #Vodacom Tanzania embu rejesheni izi huduma.
Huu upuuzi sanaa Vodacom Tanzania
Na TCRA wapo kimyaaa, jamaa nawapigia kuwapa taarifa wafunge namba yangu imeibiwa usiku huu ila ajabu ukipiga simu namba 100 kuna option 2 tu ni either uchague 1 au 2 na zote izo hupati nafasi ya kiongea na mtu wa huduma kwa wateja
Sasa hili jambo sio fair kabisa #Vodacom Tanzania embu rejesheni izi huduma.
Huu upuuzi sanaa Vodacom Tanzania