marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,014
- 3,029
Mimi ni miongoni mwa wateja wakubwa wa kampuni ya Premier Bet mpaka kufikia hadhi ya VIP customer. Nimekuwa nikibet zaidi ya milioni moja kwa siku lakini kuna trend moja nimeishuhudia siku za karibuni kwa kampuni hiyo kufuta baadhi ya mechi sense odds kubwa baada ya kula. Pia kumekuwa na trend ya kampuni kubadilisha option aliyoweka mteja ili kumuibia hasa pale anapokula.
Mbaya zaidi ukiwapigia kitengo cha huduma kwa wateja utafokewa au wasipokee simu. Wadau wa betting kuweni makini msije kuibiwa na kutapeliwa na hawa matapeli wanaojua kukusanya tu na kuibia wateja
Chini nimeambatanisha mikeka miwili ya mechi moja ambapo mkeka uliopoteza mechi imehesabiwa lakini mkeka uliokula mechi imefutwa
Mbaya zaidi ukiwapigia kitengo cha huduma kwa wateja utafokewa au wasipokee simu. Wadau wa betting kuweni makini msije kuibiwa na kutapeliwa na hawa matapeli wanaojua kukusanya tu na kuibia wateja
Chini nimeambatanisha mikeka miwili ya mechi moja ambapo mkeka uliopoteza mechi imehesabiwa lakini mkeka uliokula mechi imefutwa