Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.

tafuta forum yako bana hii ilishazungumzwa, we vipi?
Kafulila nini wewe?
 
Kwa habari iliyo andikwa kwenye gazeti la mwanahalisi toleo la leo (9/12/2009) kuhusu yaliyokuwa kwenye mawasiliano kati ya ( Zitto(chadema) na Denis(MWANANCHI)) ni wazi kuwa wanaofikiria kuwa Zitto bado ni mwana-Chadema basi hawajaona mbali.

Maamuzi mazito ya Mweshimiwa Zitto yaatakuwa yameisha fanyika. Tutegemee kumuona Zitto upande wa pili kwa Chadema.

Tutegemee Either kumuona CCM kiwa kada wa chama na karibu sana na Mweshimiwa Makamba au NCCR akiwa karibu na Mkuu Kafulila muda si mrefu.

Kila la kheri Mweshimiwa katika chama kipya, Chadema watakukumbuka kwa changamoto zako.

Chadema imalisheni chama na ikiwezekana chunguzeni wanachama wote kuona kama kweli ni wanachama wenu au ni wapinzani wenu. Malizeni matatizo yaliyopo sasa. Demokrasia bila nidhamu ni fujo(Kafulila)
 
Inaonekana thread yeyote inayomhusu Zitto ni 'upumbavu'' kwa baadhi ya watu hata hapa. Kama tunaweza kumkosoa na kuibua mapungufu ya Rais wa nchi, Zitto kawahonga ni nini kuzuia mijadala juu yake. Nilishaandika huko nyuma kuhusu tetesi za Zitto kununuliwa na akina Rostam. Haikuchukua muda hiyo thread ikafutwa ili wengine wasione. sasa naona watu wanaporomoshewa matusi kwa kuandika mambo yanayomhusu Zitto.Kulikoni? as a public figure he needs to be scrunized like others. kwa mfano, kwa nini tusimuulize Zitto hiyo account ya Braclays wameifunga kwa nini? huo utajiri wa haraka kaupata wapi? kuna tetesi alilipiwa nauli kwenda kuonana na Rostam Canada.Je anasemaje?
 
Slaa na Mbowe wameishiwa..wanaogopa vivuli vyao..shame on them
 

nimeiweka yote kutoka tz daima

 
Dont argue with a fool, people might not notice the difference ---- sasa who is a fool kati yenu Slaa na Zitto??

Au ni wote wawili?
 

Zitto,
Kwa maana nyingine ni kuwa uongozi wa juu CHADEMA wanakuambia fungasha uondoke.

Dr. Slaa alishayaongea haya maneno kwenye vyombo vingine vya habari. Lakini naona kaona labda inaonekana kama ni uvumi tu wa vyombo vya habari vinavyoipinga CHADEMA.

Sasa kaamua kwenda kuyanena kwenye gazeti la Mbowe ili pasiwe na utata. Wenzako hawakutaki tena.

Ushauri wangu ni kuwa, usijibu lolote la kwenye vyombo vya habari mpaka wawasiliane na wewe wakifuata taratibu za kiofisi. Jaribu sana ku-avoid vyombo vya habari, watakutega huko. Good lucky.
 

Mkuu this is very sad kwa upinzani, yaani mnapishana lugha ndani halafu mnajibizana mtaani... tena mbele ya watoto

CHADEMA! You have got to put your act together, enough is enough!!!

My advice kwenu, just give media a black-out, hata kwa hilo gazeti lenu!!
 


Let their asses be exposed so that we know them better ... what about that!!! Lol!!
 
Zitto,



....

Ushauri wangu ni kuwa, usijibu lolote la kwenye vyombo vya habari mpaka wawasiliane na wewe wakifuata taratibu za kiofisi. Jaribu sana ku-avoid vyombo vya habari, watakutega huko. Good lucky.

Bwa ha ha ha,
 
Kwa aliyoyasema Zitto toka porojo za Wangwe , uchaguzi wa Chadema na jinsi alivyokuwa anajibizana ovyo na kutoa siri za chama, kumtetea Idrisa, Dowans, kuchallenge maamuzi halali ya bosi wake Katibu mkuu wa chama tena hadharani, kutokuwa na uongozi wa pamoja, ubishi usio na maana, dharau kwa viongozi wenzake, kusema aliyoyasema kuhusu kafukulila na kuonyesha immaturity ya hali juu na kusahau kuwa organization will live longer than members na kwamba hakuna aliyejuu ya chama nk.. kamam ningekuwa Chadema ningekuwa nimemfuta kazi zamani sana.
 
Mbona sijakuelewa mkuu, au labda IQ yangu imepungua siku hizi!

Mmoja anatoka kigoma kusini, mwingine kigoma kaskazini, wa kusini aligombea uenyekiti wa vijana, aliposhinda badala ya kutanganzwa mshindi akaitwa sisimizi, wa kaskazini aligombea uenyekiti taifa, wazee wakamwambia achane fomu. huyu wa kusini na wa kaskazini ni marafiki damu damu, ni 'homeboys', wa kaskazini kaapa kumuunga mkono wa kusini kwa gharama yoyote ile. wa kusini kashatafuta hifadhi, wa kaskazini bado (kidichu) IZ T KILIA NAU?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…