Ilikuwa mwaka 1981

Ilikuwa mwaka 1981

Dukani kwa mpemba nini? Maana miaka ya nyuma Mwenge nzima maduka yalikuwa miwili tu Mwenge kijijini nyumba No. 1 na kwa mpemba karibu na hongera bar
Hahahaha umenikumbusha mbali. Hapo mwenge kanisani (katoliki) enzi hizo kanisa lile la zamani, tulikuwa tunakula mabibo wacha kabisa... Nilikuwa naenda Silent Inn kuchungulia wakubwa walivyokuwa wanasakata rumba la Bima Lee Orchestra.
 
Hahahaha umenikumbusha mbali. Hapo mwenge kanisani (katoliki) enzi hizo kanisa lile la zamani, tulikuwa tunakula mabibo wacha kabisa... Nilikuwa naenda Silent Inn kuchungulia wakubwa walivyokuwa wanasakata rumba la Bima Lee Orchestra.
Nimeingia Sana hapo kanisani japo mimi ni wa upande wa pili, Duuuu Mwenge yetu mkuu tulikuwa tunajuana japo ati hatusaliamiani ila unajua kabisa huyu wa NHC, huyu wa Kijijini na huyu wa Flats za jeshi
 
Hahahaha umenikumbusha mbali. Hapo mwenge kanisani (katoliki) enzi hizo kanisa lile la zamani, tulikuwa tunakula mabibo wacha kabisa... Nilikuwa naenda Silent Inn kuchungulia wakubwa walivyokuwa wanasakata rumba la Bima Lee Orchestra.
Umenikumbusha mbali, unakumbuka ule mwimbo, "Sasa ndiyo wakati wa kutoa sadaka kila mtu atoe alicho nacho, wiki nzima bwana Yesu alikulinda vyema sasa nawe ndugu yangu hembu fikiria", hapo unapiga mahesabu pesa ya picknic msure alishatoa nje, sasa ile sentesi "Mungu anakuona" nafsi inakusuta.
 
Nimeingia Sana hapo kanisani japo mimi ni wa upande wa pili, Duuuu Mwenge yetu mkuu tulikuwa tunajuana japo ati hatusaliamiani ila unajua kabisa huyu wa NHC, huyu wa Kijijini na huyu wa Flats za jeshi
Hahahaha sisi wa Mwenge kijijini tulikuwa tunajiona kama watoto wa washua LOL... weekend tunakatiza kwa miguu mpaka baharini kwenda kuogelea... siku zikitubadilikia tunaenda mpaka chuo kikuu kuchezea lift (yani ile panda shuka kwa lift tulikuwa tunajiona wajaaanja)...
 
Umenikumbusha mbali, unakumbuka ule mwimbo, "Sasa ndiyo wakati wa kutoa sadaka kila mtu atoe alicho nacho, wiki nzima bwana Yesu alikulinda vyema sasa nawe ndugu yangu hembu fikiria", hapo unapiga mahesabu pesa ya picknic msure alishatoa nje, sasa ile sentesi "Mungu anakuona" nafsi inakusuta.
Hahahaah kwaya Masta akiwa Byabato (marehemu). Usinikumbushe enzi hizo nilikuwa ministrant, kabla sista hajanifumania kwenye kibanda cha kuungamishia nimelala fofo baada ya kulewa divai niliyoiba... Sijawahi kuchapwa na mama kama siku ile baada ya sista kwenda kunishtaki kwa wizi wa damu ya Yesu LOL
 
Hahahaah kwaya Masta akiwa Byabato (marehemu). Usinikumbushe enzi hizo nilikuwa ministrant, kabla sista hajanifumania kwenye kibanda cha kuungamishia nimelala fofo baada ya kulewa divai niliyoiba... Sijawahi kuchapwa na mama kama siku ile baada ya sista kwenda kunishtaki kwa wizi wa damu ya Yesu LOL
Mkuu ya kwako ilikuwa kali, uliiba Damu Ya Yesu, bdiyo maana unamaakili sana, hahahaha
 
Sikuamanisha vibaya lakini asante kwa matusi na kibaya sikuwa nakujibu wewe.Pia jifunze ustaarabu hatua tuliyofikia tumeshatoka kwenye unyani nahisi wewe tulikusahau huko.
Mstaarabu yeyote hawezi kumwambia mwenzake "muongo" hasa ukiwa humjui pia umesema waongo akina nani? na hapa tunakumbuka ya zamani tunafurahi, pia unaweza kumquote mmoja meseji ikawa ni kwa wengi tena tulikuwa tunakatazwa nyumbani usimwambie mtu muongo unapigwa mdomo
 
Hahahaah kwaya Masta akiwa Byabato (marehemu). Usinikumbushe enzi hizo nilikuwa ministrant, kabla sista hajanifumania kwenye kibanda cha kuungamishia nimelala fofo baada ya kulewa divai niliyoiba... Sijawahi kuchapwa na mama kama siku ile baada ya sista kwenda kunishtaki kwa wizi wa damu ya Yesu LOL
watu mmeanza ulevi zamani sana.
 
Hahahaah kwaya Masta akiwa Byabato (marehemu). Usinikumbushe enzi hizo nilikuwa ministrant, kabla sista hajanifumania kwenye kibanda cha kuungamishia nimelala fofo baada ya kulewa divai niliyoiba... Sijawahi kuchapwa na mama kama siku ile baada ya sista kwenda kunishtaki kwa wizi wa damu ya Yesu LOL
Yallah mbavu zangu, nimecheka kwa sauti, ulionja kidogo ukaongeza ukaongeza tena ukalewa
 
Hahahaha sisi wa Mwenge kijijini tulikuwa tunajiona kama watoto wa washua LOL... weekend tunakatiza kwa miguu mpaka baharini kwenda kuogelea... siku zikitubadilikia tunaenda mpaka chuo kikuu kuchezea lift (yani ile panda shuka kwa lift tulikuwa tunajiona wajaaanja)...
Wa NHC ndio tulikuwa hatuongei na yeyote tulikuwa tunajisikia fulani hivi kidogo na wa Kijijini ila wa magorofani tulikuwa tunawadharau tukiwaita watoto wa vikopo, ila walikuwa wanatupiga kweli ukitumwa mwembe mlanguo unajishauri upite njia gani kote umeshaharibu hahahahahah
 
IMG_20161018_142219.jpg
Enzi zile ukijipakaa haya mafuta unakua unanukiaaaa!!
 
Mstaarabu yeyote hawezi kumwambia mwenzake "muongo" hasa ukiwa humjui pia umesema waongo akina nani? na hapa tunakumbuka ya zamani tunafurahi, pia unaweza kumquote mmoja meseji ikawa ni kwa wengi tena tulikuwa tunakatazwa nyumbani usimwambie mtu muongo unapigwa mdomo
Peleka uzuzu wako anajuaje simjui alikuwa anafanya joking kwa yule aliemquote mara ya kwanza acha chuki na kashfa zako kuwa mstaarabu, usiwe unadandia treni kwa mbele usiestaarabika we.Usiharibu uzi.
 
Wakati huo ukijikwaa navkung'oa kucha, cha kwanza unajaza mchanga kwenye kidonda
Aisee !!!!
Embe mnang'ata kwa zamu mpaka mnafikia kokwa.
Ilikua rahaae full kuaminiana!!!
Tena unaweka mdomo bombani, maji hata huyaoni, yakitoka bombani ni mdomoni nabmoja kwa moja tumboni. Ukimaliza mwenzio anafuata....

Mtoni unaganya kusukuma majani pembeni unachota maji kwa mikono miwili na kuyanywa hapo hapo
Hiii hata mimi nilifanya kipindi nakua
 
Back
Top Bottom