MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Darasa la pili kama sikosei nakumbuka 1968 mwalimu Elizabeth Chanika lower school.
Darasa la pili kama sikosei nakumbuka 1968 mwalimu Elizabeth Chanika lower school.
Kijana wa TambazaJView attachment 452554
Marijan Rajab aka Doza
Duh! Heshima yako mkuu,si ajabu kwa sasa upo kwenye 57Darasa la pili kama sikosei nakumbuka 1968 mwalimu Elizabeth Chanika lower school.
Huyu ni baba,Mkuu wewe ulisoma Juma na Roza, Lusi na Damasi?
Lusi ana mwana sesere, Roza anataka kucheza na mwanasesere, Lusi akasema Roza chezea mwanasesere, urafiki ni bora kuliko mwanasesere.Huyu ni baba,
Baba ana ng'ombe,
Baba anasema,
Kimbia ng!ombe,
Kimbia upesi,
Kimbia nyumbani,
Baba ana njaa..
Mkuu wewe ulisoma Juma na Roza, Lusi na Damasi?
Do mkuu umenikumbusha mbali sana.View attachment 453191 Mkuu Juma na Roza hawa hapa nimekuletea ujikumbushe mbali.
Duh long kitamboView attachment 453191 Mkuu Juma na Roza hawa hapa nimekuletea ujikumbushe mbali.
Wakati ninaanza kusoma hivi vitabu, tulikuwa pia tunafundishwa kuingia kwenye mahandaki kama Vita ya Kagera ikiendelea.View attachment 453191 Mkuu Juma na Roza hawa hapa nimekuletea ujikumbushe mbali.
Umenikumbusha mbali sana.Niliwahi sikia simulizi fulani kuhusu wimbo huu.Ni kwamba Jerry Nashon alikutana na huyo dada mrembo Imaculata huko Musoma.Inasemekana Jerry alivutiwa sana na binti huyo.Sasa akatokea siku moja akaenda nyumbani kwao huyo binti ili aweze kumwaga sera zake lakini kwa bahati mbaya hakumkuta na akaambiwa amekwenda nje ya mkoa wa Mara.Na hakukuwa na mawasiliano mengine ya kumpata huyo binti hasa ukiangalia miaka hiyo haikuwa na njia nyingi za mawasiliano kama ilivyo leo.Kwahiyo jamaa akaamua kuweka namba zake hewani ili Imaculata akisikia ampigie.Na ndani ya wimbo huu Jerry kachanganya kidogo na kijaruo kuonyesha tu hisia kali za mapenzi alizokuwa nazo juu ya binti huyo.Immaculata_ Bima Lee
Haloo Immaculata mama
Vipi Immaculata mama
Nakutafuta sikuoni mama
Napiga darubini sikupati mamaa
Napiga tarumbeta sikupati mamaa
Ni umbali gani ulipooo
Nipigie simu namba 26561
Hakyamungu nakupenda Immaculata natoka jandoni mama nishike mkono nipeleke mbele ya wazee
Nafanya nini nderakendr ?
Nakupendaaaa aa.................. Endelea mwenyewe
Hapo unawakuta jamaa waliotoka NGINDE Mulenga "Spoiler" gitaa la Solo, Mwanyiro "Computer" Bass Gitaa, Abdallah Gama, Rhythm Guitar wakiambatana na Shabaan Dede huku wakiwakuta wenyeji Nguli mwenyewe Jerry Nashon Dudumizi akina Roy Bashekanako, Momba "sauti ya chuma" etc
Huo ulikuwa muziki halisia wa Kitanzania na ubunifu wa hali ya juu bila kusaidiwa na Kompyuta!
Balesa Kakere aliufanyia haki wimbo wa Asia.Hapana mwaka huo hao walikuwa hawajaja. Alikuwapo mtu anaitwa Belesa Kakere. Hao walikuja kunako 1984
Duh umenikumbusha mahandaki... yaani nilichimba moja la shepu ya L unaingilia na kutokea mwisho au mwanzo wa hiyo L.Wakati ninaanza kusoma hivi vitabu, tulikuwa pia tunafundishwa kuingia kwenye mahandaki kama Vita ya Kagera ikiendelea.
"Ni mahali gani ulipooo, nijulishe , nipigie simu namba 26561!Umenikumbusha mbali sana.Niliwahi sikia simulizi fulani kuhusu wimbo huu.Ni kwamba Jerry Nashon alikutana na huyo dada mrembo Imaculata huko Musoma.Inasemekana Jerry alivutiwa sana na binti huyo.Sasa akatokea siku moja akaenda nyumbani kwao huyo binti ili aweze kumwaga sera zake lakini kwa bahati mbaya hakumkuta na akaambiwa amekwenda nje ya mkoa wa Mara.Na hakukuwa na mawasiliano mengine ya kumpata huyo binti hasa ukiangalia miaka hiyo haikuwa na njia nyingi za mawasiliano kama ilivyo leo.Kwahiyo jamaa akaamua kuweka namba zake hewani ili Imaculata akisikia ampigie.Na ndani ya wimbo huu Jerry kachanganya kidogo na kijaruo kuonyesha tu hisia kali za mapenzi alizokuwa nazo juu ya binti huyo.
Nyimbo nyingine alizoimba Jerry Nashon kwa hisia kali za mapenzi ni pamoja na; Sarah nyota ya uzuri,mama Shani,Pesa bado zanisumbua,Neema,VIP,Thereza,Top queen nk.
Immaculata_ Bima Lee
Haloo Immaculata mama
Vipi Immaculata mama
Nakutafuta sikuoni mama
Napiga darubini sikupati mamaa
Napiga tarumbeta sikupati mamaa
Ni umbali gani ulipooo
Nipigie simu namba 26561
Hakyamungu nakupenda Immaculata natoka jandoni mama nishike mkono nipeleke mbele ya wazee
Nafanya nini nderakendr ?
Nakupendaaaa aa.................. Endelea mwenyewe
Hapo unawakuta jamaa waliotoka NGINDE Mulenga "Spoiler" gitaa la Solo, Mwanyiro "Computer" Bass Gitaa, Abdallah Gama, Rhythm Guitar wakiambatana na Shabaan Dede huku wakiwakuta wenyeji Nguli mwenyewe Jerry Nashon Dudumizi akina Roy Bashekanako, Momba "sauti ya chuma" etc
Huo ulikuwa muziki halisia wa Kitanzania na ubunifu wa hali ya juu bila kusaidiwa na Kompyuta!
Ndio hivyo mkuuDuh! Heshima yako mkuu,si ajabu kwa sasa upo kwenye 57
Hakika ya kale ni dhahabu.View attachment 452280Miaka ileeee!!
lakini bado tulikuwa tunaona poa tu.