The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,830
- 116,837
- Thread starter
- #41
Umesahau na Mapera na Maembe kwa chumvi ya pilipili,hakuna kununua maji ya kunywa,tunakunywa yanayotoka kwenye bomba la Shule tu but full Afya hakuna kuugua.Those were the days mihogo ya kukaanga,