MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Na kiwanda cha sun vita kama sikosei.Dah... Hivi Hii Juice bado ipo ? Ilikuwa inatengenezwa wapi ?
Na kiwanda cha sun vita kama sikosei.Dah... Hivi Hii Juice bado ipo ? Ilikuwa inatengenezwa wapi ?
Hahahaaa niko bize kuvichunga hivi vibinti visijeiga tabia ya baba yao. Itakuwa balaa walllahAhahahahahaa, hujapata mtoto aliyerithi kweli?
Unakumbuka Heltho juicy ya strawberry ilitenenezwa Tanga mkuu?Na kiwanda cha sun vita kama sikosei.
Hahahahahaaa.... duh! Unafanya nini huku we mjukuu??Aibu nana mie haki ya nani tena duh?
Bora yeye kaumbuka akiwa mbali na uso wa Mungu.Alisogea sogea mkuu..
Ninakumbuka nilivyoanza kunywa bia kuna siku niliiba chupa moja store, msure alijua ana sanduku lake amehifadhi, siku ya siku sanduku limetolewa chupa moja iko tupu, alipouliza nilijibu chupa ilianguka, aliniuliza chupa itaangukaje bia imwagike bila chupa kuvunjika?Bora yeye kaumbuka akiwa mbali na uso wa Mungu.
Kabisa Tanga ndio nimekulia ujana wangu Usagara sec.Unakumbuka Heltho juicy ya straberyy ilitenenezwa Tanga mkuu?
Hahahahaa mi msure alikuwa akinywa whysky zake... Basi huwa namimina nagonga afu najaza maji kidogo ili isionekane imepungua. Staki nikuambie kilitokea nini siku aliponifuma namimina....Ninakumbuka nilivyoanza kunywa bia kuna siku niliiba chupa moja store, msure alijua ana sanduku lake amehifadhi, siku ya siku sanduku limetolewa chupa moja iko tupu, alipouliza nilijibu chupa ilianguka, aliniuliza chupa itaangukaje bia imwagike bila chupa kuvunjika?
Wanataka kuvuruga huu uzi wa old good daysKua na Amani Mkuu japo sijui mnazozania nini,narudia tena kua na Amani kiongozi please..
[HASHTAG]#One[/HASHTAG] love.
Usagara sec mwaka gani ilikuwaKabisa Tanga ndio nimekulia ujana wangu Usagara sec.
Mabinti hawatokusumbua Sana mjukuu ni lazima arithi tuHahahaaa niko bize kuvichunga hivi vibinti visijeiga tabia ya baba yao. Itakuwa balaa walllah
ww.vp ilkuwepo?Wengi humu hakuwepo duniani kipindi hicho.
mkuu sana tuww.vp ilkuwepo?
Baada ya huo ulikuwa "njiwa peleka salamu" JKT taarabu.Wimbo wa..
Kweli mwanameka imefanya madhambi makubwa, mambo ulomfanyia bwana kusa yanasikitisha enheheee mwanameka, mkasa uliofanya ni wa mwaka, onhoo hoo mwanameka
...
Jamani niliupenda huu wimbo, na mwisho wa siku nikaukuta kwenye mtihani wa kiswahili form four 1991.....
Msure akibakisha nusu chupa lazima nimapizie.... siku za mwanzo niliziona chungu sanaNinakumbuka nilivyoanza kunywa bia kuna siku niliiba chupa moja store, msure alijua ana sanduku lake amehifadhi, siku ya siku sanduku limetolewa chupa moja iko tupu, alipouliza nilijibu chupa ilianguka, aliniuliza chupa itaangukaje bia imwagike bila chupa kuvunjika?
Nilikiwa darasa la kwanza shule ya msingi