Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
we uko upande upi?
unaposema Go slaaa unamanisha kweli?
Wewe... read between the line and think out side the box!
Kuwa support CHADEMA haina maana uko ndani kwenye kutengeneza sera, ilani etc. Nimetoa wazo ambalo kwa mtazamo kama wako waweza ona ni dogo. Watendaji waliomo humu should take this positively na kulifanyia kazi, na si la kuonwa kwa mtazamo finyu.
Mkuu soma kati ya mistari.