Huwa sishtuliwi na mambo mengi ya kisiasa; lakini kama nilichokiona kwa macho yangu ndicho kitakachokuwepo kwenye Ilani ya Chadema basi naweza kusema tu kuwa ni ya "kuthubutu, inatisha na inawaweka CCM pabaya". Kama ndiyo hiyo, basi itabidi CCM warudi darasani kuandika Ilani yao upya maana kama watu watapigia kura Ilani.. basi mtanange huu wa demokrasia 'UNOGILE". Cheche za Fikra itatoka na exclusive mapema Alhamisi baada ya kuzungumza na baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema akiwemo Bw. Freeman Mbowe, Tundu Lissu na wengine..
Mwaka huu watu watapigia kura sura au watapigia sera!
yes.. unaitwa "MTANANGE WA DEMOKRASIA"..!!! quote me!
It is an open secret that the majority of the people of Tanzania, educated and uneducated, old and young, are fed up with CCM... My Question has always been, what makes them win despite this obvious fact?
CHADEMA, if they want to be an alternative to CCM, have to identify the source of CCM's long life victory; and then root it out.
The Ilani thing has never been CCM's winning card if my thinking is right; they have so far lacked a strong opponent; but from which perspective? is it their expertise in stealing, cheating, campaigning, rigging,- you name it?
If it is money that makes people vote, CHADEMA kazi mnayo; because all this EPA, DOWANS, RADAR, TANROADS, ... scandals that you know of , plus the ones that you dont know, CCM, like its longer version of a name, ie CHAMA CHA MAJAMBAZI, has a hand in them.
Kama Ilani itakuwa ndio nyenzo ya watu kupigia kura; well, CHADEMA anzisha mbadala wa TOT uanze kuiimba na kuitangaza na mapema; ukisubiri watu waisome, ndugu yangu, kutosoma ni donda sugu Tanzania; at least thats my experience