Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Huwa sishtuliwi na mambo mengi ya kisiasa; lakini kama nilichokiona kwa macho yangu ndicho kitakachokuwepo kwenye Ilani ya Chadema basi naweza kusema tu kuwa ni ya "kuthubutu, inatisha na inawaweka CCM pabaya". Kama ndiyo hiyo, basi itabidi CCM warudi darasani kuandika Ilani yao upya maana kama watu watapigia kura Ilani.. basi mtanange huu wa demokrasia 'UNOGILE".
Mwaka huu watu watapigia kura sura au watapigia sera!
UPDATE:
Download ILANI YA CHADEMA 2010 - 2015 kwa kubonyeza hapa
Mwaka huu watu watapigia kura sura au watapigia sera!
UPDATE:
Download ILANI YA CHADEMA 2010 - 2015 kwa kubonyeza hapa