Ila wanawake ni shida sana

Ila wanawake ni shida sana

De niga de pombez, welcome de safar here de liquor store
de pombe de kulewa morning you amka without a sent nigga to conca de family nigga de sing jah rasta farian you die nigga. Drink de liquid wid da common senso my nigga. Afu wewe cku hizi umeanza kunivutisha marijuana mtandaoni but all in all i got you bro.
 
Ulevi wa akili lakini , kuna ndugu zangu wa damu , nahisi na mengine yapo humu🤣
Hebu tuwatete kidogo wasikie au unawaogopa?

Breakfast At Tiffanys Wtf GIF by O&O, Inc.gif
 
Hahahaha no de budgeting iz my priority man
bomboclat nigga conca de liquor safely. Ila ukweli bro mimi mtu kunikataza pombe huyo labda ajipange kwa njia nyingne. Kuna cku familia imekaa ati washauri watu waache pombe nakwambia wale washauri wenyewe walishndwa cha kushauri coz walikuja wakakuta watu wameshalewa tayari na kiburi cha pesa wakaambiwa wageuze mada iwe ni ushauri on how to take childrens to school. Watu tulipiga mikonyagi wao kufika kikaoni wakakuta tunapitisha mchango mtoto arudi shule na wanaotoa pesa ni hao hao walevi. Mbona walichoka
 
bomboclat nigga conca de liquor safely. Ila ukweli bro mimi mtu kunikataza pombe huyo labda ajipange kwa njia nyingne. Kuna cku familia imekaa ati washauri watu waache pombe nakwambia wale washauri wenyewe walishndwa cha kushauri coz walikuja wakakuta watu wameshalewa tayari na kiburi cha pesa wakaambiwa wageuze mada iwe ni ushauri on how to take childrens to school. Watu tulipiga mikonyagi wao kufika kikaoni wakakuta tunapitisha mchango mtoto arudi shule na wanaotoa pesa ni hao hao walevi. Mbona walichoka
Hatare sana mzee,, nadhani starehe nyingi ni mtu anaamua kuingia, na kutoka pia
 
Back
Top Bottom