Ila wanawake ni shida sana

Ila wanawake ni shida sana

200K kubadili mood ya maza ni mfano dhaifu sana kuutumia kudhibitisha eti wanawake tunapenda hela sbb
1)Mwanaume gani hatafurahi kupokea 200k toka kwa mwanae awe mlevi au sio mlevi?
2)Mood ya maza imekua nzuri sbb 200k ulutuma inaonesha sindano imekuingia hadi ukaamua uombe msamaha kwa 200k.Mzazi gani asingefurahi?
3)Maza kafurahi kuona pombe bado hazijakufanya wa hovyo coz kuna walevi wananywea hela yote hadi ya kula wanakosa.Hii imempa maza matumaini na Im sure atazidisha dozi hadi uache mipombe yako.
Naombea akimaliza kula huyo kuku akupigie tena aendelee alipoishia😅😁🤸🤸
 
Inasemekana mwanamke ukimpa vitu vifuatavyo lazima akugande hata kama hakupendi

Watu wengi hupenda kusema wanawake wa siku hizi wanapenda pesa lakin kiuhalisia si kweli


Je. unataka kujua ni vitu gani vitakavyomfanya akugande bila kumpa hela?
Kama jibu ni ndio basi unatakiwa kujua kuwa wanawak wanapenda hela kuliko kitu chochote kile

Kwa hiyo ww cha kufanya
Kama huna hela mpe pesa
Na kama huna pesa mpe shilling
Ukikosa shilling mpe faranga

Yaani kwa namna yoyote ile tunarudi pale pale wenzetu wanataka hela
Test ya mwanamke kwenye pesa ndio inayodetermine aina ya maono yaliyo ndani ya mwanaume anaetaka awe msaidizi wake.

So, technically mwanamke hapendi pesa ila kwakua pesa ni matokeo ya uadilifu na ufahamu wa mtu (kujitambua wewe ni nani na kwanini upo kwenye hii dunia) so wanajikuta wanaangulia kwenye hilo eneo.

Hiyo ni default setting ya wanawake wote duniani na Kila mmoja ako na test tofauti ya pesa na hizo test ndio zinadetermine aina ya mwanaume anaefaa kuwa nae.
 
Back
Top Bottom