binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,419
- 41,963
Holly mother of Jesus!!
Uzur wa wana jf wakiwa kwenye keyboard hakuna kitu kikubwa kwao, hata ungesema home boy anakunja 10,000,000/= wangesema we hujaona home boy anakunja 15,000,000/= kwenye waleti
Acheni ujinga
Hail Holly motherHolly mother of Jesus!!
Namimi nimeshangaa,mimi take home 3.1 afu nina mikopo miwili sahivi nina take home 2.1 na sioni kamaSerious kabisa 1.7m ndio imekushtua hadi umeanzisha uzi?
Sikutaka kuchangia huu uzi ila inabidi,Nimeshangaa sana na hiyo pesa nimetoka kuacha baa sa hii😅
Upo sahihi kabisa,Kwa ambaye hana hela ataona kubwa sana. Lakini kiukweli hakuna kitu hapo
Sekta gani binafsi wanatoa salary slip, kule si ni kama kibarua tu, salary slip itoke wapi?
gudubayiNimeshangaa sana na hiyo pesa nimetoka kuacha baa sa hii😅
Watu wanafungua biashara ili na yeye aonekane anafanya biashara ..miaka nenda Rudi , ila maisha yake hayasogei yako pale pale...biashara ya kupata hela ya kula tu...ndio biashara nyingi za bongo..biashara za mazoea ama biashara za kukopi...ni asilimia chache sana wanafanya business wako kwenye channel na wanafanya maendeleoHii ni mbaya sana saaana mkuu. Ukiona mtu anafungua biashara tu ili tu awe na biashara au kisa tu ana mtaji, hiyo biashara kukua katika viwango vikubwa sana sio rahisi kuliko yule anayejua ni nini anakifanya.
Biashara inahitaji mambo mengi sana saaana, inahitaji utulivu wa akili mkubwa na kupiga hesabu vyema haswa.