binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,390
- 41,815
Sio kwa utajiri wala umasikini huo mshahara ni mdogo mwanetu!Duh! Mleta mada amechochora, amelet mada ya kimasikini kwa matajiri
Sio kwa utajiri wala umasikini huo mshahara ni mdogo mwanetu!Duh! Mleta mada amechochora, amelet mada ya kimasikini kwa matajiri
Wee usitake nivunjike mbavuu asee🤣🤣🤣🤣🤣, hakuna tajiri hapa ila vidole ndo vinatype utajiri, hahaha!Kuna dogo aliekuja na tatizo kaoa anaomba msaada akachangiwa efu mbili tu, na hawa matajiri ,😂
Me nikajua labda inasoma 𝗠20....'' 𝗗𝗮𝗵🤭🙄Huyu dogo ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma, leo nimebahatika kuona salary slip yake, kidogo nizimie yaani.
Kuna private sector watu wanakula good time sio poa!
View attachment 3580933
Watu hawana obligation ya kumchangia yoyote, hata wawe na magunia ya hela ndani.Kuna dogo aliekuja na tatizo kaoa anaomba msaada akachangiwa efu mbili tu, na hawa matajiri ,😂
Sikutaka kuchangia huu uzi ila inabidi,
Serious kabisa 1.7m ndio imekushtua hadi umeanzisha uzi?
Yani 1.2 ndo unaona hela nyingi kweli serikalini mnateseka..
Hii pesa ndogo sana
Bwashee waambie vijana waje huku tukomae na box,
Hilo hela ni income ya siku 4 tu,
Nimeshangaa sana na hiyo pesa nimetoka kuacha baa sa hii😅
Mleta mada unatakiwa ubadilike kifikra na kitabia ili na wewe upige hatua kwenye maisha yako,na kuacha kushangaa vipato vya wengine
Duh! Mleta mada amechochora, amelet mada ya kimasikini kwa matajiri
Jf member mmeshaanza kila mtu humu ana mshahara mkubwa kuliko huo
Jf ya matajiri hii,kila mmoja humu ni analipwa 10m
Nyuzi za matajiri hizi..uzuri wake humu mnajuana wenzetu...
Jeyiefu bwana kila mtu tajiri🙌🙌🙌🙌🙌
Kuna dogo aliekuja na tatizo kaoa anaomba msaada akachangiwa efu mbili tu, na hawa matajiri ,😂
Wee usitake nivunjike mbavuu asee🤣🤣🤣🤣🤣, hakuna tajiri hapa ila vidole ndo vinatype utajiri, hahaha!
JF utamaduni wetu uleuoe bado haujabadilika wa kila mtu humu ana mshahara mkubwa na kila mtu ana biashara kubwa
Uzur wa wana jf wakiwa kwenye keyboard hakuna kitu kikubwa kwao
70 % ya watumishi wa Umma hawapati hiyo hela.
Wahuni watakubeza mkuu wakati wapo wengi tu humu hawafikishi ata nusu ya hiyo take-home,
Jiandae kisaikolojia na majibu
Asilimia kubwa watumishi wa serikali huo mshahara ni mkubwa sana... sizungumzii wafanyabiashara
70 % ya watumishi wa Umma hawapati hiyo hela.
Upo sahihi mkuu jamaa asije akaacha kazi yake kisa pressure za watu humu.
Lakini tuache utani , hio salary ni kubwa , tuache utani , hasa kwa kijana anaye anza Maisha 🙏
Sahihi mkuuBila shaka wewe ni wale mnaofanya kwa wachina mnalipwa laki 4 ndo maana unashangaa hiyo salary ya huyo dogolasi
Kwangu ni kubwaAisee hio nayo ni ya kuongelea?🤣🤣
Njaa Kali humuWee usitake nivunjike mbavuu asee🤣🤣🤣🤣🤣, hakuna tajiri hapa ila vidole ndo vinatype utajiri, hahaha!
Mwanamke mwenzako alikua na mtoto mgonjwa hospitalin naye alitaka mchango kwa hiyo ulitaka asichangiweWatu hawana obligation ya kumchangia yoyote, hata wawe na magunia ya hela ndani.
Mtu aoe watu wamchangie kivipi.
Huyu dogo ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma, leo nimebahatika kuona salary slip yake, kidogo nizimie yaani.
Kuna private sector watu wanakula good ti
Mtu ana diploma ya miaka 2, basic ni 2M na yupo gvt😂😂Huyu dogo ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma, leo nimebahatika kuona salary slip yake, kidogo nizimie yaani.
Kuna private sector watu wanakula good time sio poa!
View attachment 3580933
Ulikuwepo hospital?Mwanamke mwenzako alikua na mtoto mgonjwa hospitalin naye alitaka mchango kwa hiyo ulitaka asichangiwe
Aiseeee nimeshangaa sana kwakweli yaani 1.2m ndiyo mshahara mkubwa? Mimi sijawahi kulipwa hiyo pesa kwa mwezi,mpaka naacha nilikuwa nalipwa laki 8 sababu niliona ndogo na nakumbuka hadi naacha kuna majamaa walikuwa wanavuta 4m halafu tulikuwa age sawa.Bila shaka wewe ni wale mnaofanya kwa wachina mnalipwa laki 4 ndo maana unashangaa hiyo salary ya huyo dogolasi
Kuna member wenye roho nzuri kuliko wewe walienda mkuuUlikuwepo hospital?