Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

Huyu dogo ,ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma.leo nimebahatika kuona salary slip yake,kidogo nizimie yani.

Kuna private sector watu wanakula good time sio poa.

View attachment 3580933
Huu ni ujinga wa hali ya juu, hiyo pesa yote si inaishia kwenye mafuta, sasa anapata wapi pesa ya kula na familia? Kama huku ndio mnaita kula maisha, aisee, sijui itakuwaje
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu, hiyo pesa yote si inaishia kwenye mafuta, sasa anapata wapi pesa ya kula na familia? Kama huku ndio mnaita kula maisha, aisee, sijui itakuwaje
Wenye uwezo wa kuteketeza hiyo pesa kwenye mafuta ya gari ni wachache sana bro..

Kwangu mimi huo mshahara sio mkubwa sana lakini haiondoi fact kuwa si watu wengi bongo wanapokea kiwango hicho..

Kwa hiyo namuelewa jamaa, pengine yeye kwa level zake ni mishahara ya chini ya M1.
 
Mimi mtu akiniambia amefanya biashara akashindwa au hawezi kufanya biashara au haoni afanye biashara gani huwa SIIMDHARAU hata kidogo, nachukulia kawaida kabisa sababu najua pia Mungu ana namna ya kumuandikia mtu.

Nina shuhuda kadhaa za watu wenye pesa kiasi wakitafuta namna ya kufanya biashara wakafeli na wengine waliingia na biashara zikafa.

Biashara ikikaa vyema kwako, ikikaa vyema kwako. Muajiriwa anayelipwa milioni 200 baada ya kustaff, wewe kwa biashara unaweza ukaivuta within 6 to 7 years tu. Hapa nazungumza biashara ambayo mtu unafanya small to medium enterprise, sio duka la mangi au la muha, sio vistationery. Sio biashara ya mtaji wa milioni moja sijui mbili. Hapa nazungumzia small to medium investments.
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom