Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

Huyu dogo ,ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma.leo nimebahatika kuona salary slip yake,kidogo nizimie yani.

Kuna private sector watu wanakula good time sio poa.

View attachment 3580933
Sasa hapo ndio Kuna maisha gani ya maana anaekula? Yaani kahela hako ndio kanakubabaisha?

Nimeamini umaskini uko kichwani
 
Tafuta biashara, kaa kwenye mfereji. Huwezi babaishwa na mishahara ya 1m au 2m.

Hii kwa wanaofanya biashara wananielewa vizuri sana. Mimi nilishasahau kama kuna ajira mzee.
Kutafuta biashara na kukaa kwenye mfereji, inatakiwa uwe mtaalam wa location. Ukiiona location, ukiwa location, unajua kabisa kwamba location hii inatakiwa biashara fulani.
 
Hongera mkuu
Kwa kweli mkuu mimi mtu akija akiniomba ushauri kati ya biashara na ajira, moja kwa moja ntamwambia ajira. Ajira ina security kubwa hasa ya serikali.

Biashara ili utoboe haswa unahitaji utulivu na uvumilivu mkubwa, kichwa kinapaswa kitulie kweli kweli mkuu. Biashara sio kitu rahisi kabisa kabisa mkuu.

Ila yote katika yote, kuajiriwa na kujiajiri inategemea na Mungu amekuandikia wapi, kama amekuandikia uajiriwe basi jishikize zaidi tu hapo huku ukitafuta biashara unayoweza kuifatilia na kuifanya vyema. Kuna watu Mungu amewatengenezea namna ya kujiajiri.
 
Kwa kweli mkuu mimi mtu akija akiniomba ushauri kati ya biashara na ajira, moja kwa moja ntamwambia ajira. Ajira ina security kubwa hasa ya serikali.

Biashara ili utoboe haswa unahitaji utulivu na uvumilivu mkubwa, kichwa kinapaswa kitulie kweli kweli mkuu. Biashara sio kitu rahisi kabisa kabisa mkuu.

Ila yote katika yote, kuajiriwa na kujiajiri inategemea na Mungu amekuandikia wapi, kama amekuandikia uajiriwe basi jishikize zaidi tu hapo huku ukitafuta biashara unayoweza kuifatilia na kuifanya vyema. Kuna watu Mungu amewatengenezea namna ya kujiajiri.
Paragraph ya mwisho nimeielewa sana mkuu
 
Hii ndio Kauli mbiu awamu hii ...Kuna nyie mnafanya biashara na Kuna wengine wanaenda tu kufNya biashara kama mazoea
Hii ni mbaya sana saaana mkuu. Ukiona mtu anafungua biashara tu ili tu awe na biashara au kisa tu ana mtaji, hiyo biashara kukua katika viwango vikubwa sana sio rahisi kuliko yule anayejua ni nini anakifanya.

Biashara inahitaji mambo mengi sana saaana, inahitaji utulivu wa akili mkubwa na kupiga hesabu vyema haswa.
 
Kutafuta biashara na kukaa kwenye mfereji, inatakiwa uwe mtaalam wa location. Ukiiona location, ukiwa location, unajua kabisa kwamba location hii inatakiwa biashara fulani.
Ni sahihi, kujua hii location inahitaji kitu fulani sio jambo rahisi kama wengi wanavyodhani mkuu.

Unaweza ukajua demand ya eneo husika na bado ukadondoka kibiashara.
 
Back
Top Bottom