Mimi mtu akiniambia amefanya biashara akashindwa au hawezi kufanya biashara au haoni afanye biashara gani huwa SIIMDHARAU hata kidogo, nachukulia kawaida kabisa sababu najua pia Mungu ana namna ya kumuandikia mtu.Paragraph ya mwisho nimeielewa sana mkuu
Nina shuhuda kadhaa za watu wenye pesa kiasi wakitafuta namna ya kufanya biashara wakafeli na wengine waliingia na biashara zikafa.
Biashara ikikaa vyema kwako, ikikaa vyema kwako. Muajiriwa anayelipwa milioni 200 baada ya kustaff, wewe kwa biashara unaweza ukaivuta within 6 to 7 years tu. Hapa nazungumza biashara ambayo mtu unafanya small to medium enterprise, sio duka la mangi au la muha, sio vistationery. Sio biashara ya mtaji wa milioni moja sijui mbili. Hapa nazungumzia small to medium investments.