Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

Siyo kwamba asilimia kubwa ya watumishi wa serikali wanapokea kama hivyo au tena chini ya hapo, Nafikiri zaidi ya asilimia 80 govt net income ni hiyo au chini ya hapo Kwa mwezi, Huku tulipo kwenye biashara iliyosimama vizuri tena ya kawaida Tu ambayo wengi huzidharau hicho kiasi ni kidogo Sana maana hapo ni kama 40000 per day na hujatoa gharama zako binafsi, probably ukibakiwa na pesa nyingi ni 20000, miaka ya nyuma kabisa ilikuwa nikitoa Kila kitu nabakiwa 80000 per day, tena ilikuwa Kipindi ambacho biashara tunafanya very unprofessional miaka hiyo.
 
Tafuta biashara, kaa kwenye mfereji. Huwezi babaishwa na mishahara ya 1m au 2m.

Hii kwa wanaofanya biashara wananielewa vizuri sana. Mimi nilishasahau kama kuna ajira mzee.
Hii ndio Kauli mbiu awamu hii ...Kuna nyie mnafanya biashara na Kuna wengine wanaenda tu kufNya biashara kama mazoea
 
Back
Top Bottom