Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,196
- 1,846
Tutafute vipi hizo pesa?Tutafute hela mkuu,hamna maajabu hapo!!
Tutafute vipi hizo pesa?Tutafute hela mkuu,hamna maajabu hapo!!
Ili biashara usibabaishwe na 1m ya mwezi inabidi uwe na miaka walau 5 kwenye soko au uanze na mtaji mmoja mkubwa sana na ukishakuwa una hizo hela tangu mwanzo 1m kwa mwezi haiwezi ikakubabaisha.Tafuta biashara, kaa kwenye mfereji. Huwezi babaishwa na mishahara ya 1m au 2m.
Hii kwa wanaofanya biashara wananielewa vizuri sana. Mimi nilishasahau kama kuna ajira mzee.
Miaka mitatu mtaani huu mshahara mzuri kabsa.Huyu dogo ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma, leo nimebahatika kuona salary slip yake, kidogo nizimie yaani.
Kuna private sector watu wanakula good time sio poa!
View attachment 3580933
Yuko sahihi pia!Acha tu, ukiona watu wanaongelea 1.7M unashangaa kidogo.
Hio pesa ya kawaida kwa biashara nayofanya huwezi kuniajiri kwa hio pesa bado ni ndogo na ya kawaida sanaAseee kidogo uzimie kwa take home ya 1.2M 😆
Kuna dogo aliekuja na tatizo kaoa anaomba msaada akachangiwa efu mbili tu, na hawa matajiri ,😂Jf member mmeshaanza kila mtu humu ana mshahara mkubwa kuliko huo
Content creator kiredio ana kunja milioni 17 kwa mwezi
Nakubaliana na wewe kabisa, kuajiriwa ni kuzuri sana sababu una uhakika wa kila mwisho wa mwezi kuingiza kiasi kadhaa kuliko ajira.Ili biashara usibabaishwe na 1m ya mwezi inabidi uwe na miaka walau 5 kwenye soko au uanze na mtaji mmoja mkubwa sana na ukishakuwa una hizo hela tangu mwanzo 1m kwa mwezi haiwezi ikakubabaisha.
Biashara ni ngumu wakuu, kama unanafasi ya kuajiriwa wewe ajiriwa tu, kuteseka sio sifa wala kipimo cha mafanikio
Tukalime miti iringa!Tutafute vipi hizo pesa?
Hataonekana tena hapa comment yako😁😁Mkuu naomba teni nikapige bia nipunguze mawazo
😂Bas nilikua namtania tu😅
🥰Sawa baba yangu
😂😂😂😂😂😂😂Hataonekana tena hapa comment yako😁😁
Soma vema kisha haririNakubaliana na wewe kabisa, kuajiriwa ni kuzuri sana sababu una uhakika wa kila mwisho wa mwezi kuingiza kiasi kadhaa kuliko ajira.
Ajira inahitaji kunyenyekea mteja, kuna kuwaza competition n.k
Hahahahaha😁😁🤣🤣...na kakimbia uzi wakeDuh! Mleta mada amechochora, amelet mada ya kimasikini kwa matajiri
Mnooo jamani! 😭Ila CCM imeharibu sana akili za vijana, yan usd 450 kwa mwezi unakuja kuweka uzi humu eti watu wanakula maisha ?