Sio ifafanuliwe ili tuelewe.Tunaomba hii mikataba iwe inafafanuliwa kwa wananchi ili tuwe tunaelewa.
Watakuwa wanasaini page moja moja wameanza 2015 kwa hiyo tutarajie mpaka 2025 watakamilisha utiaji saini page zote za mkataba.Hapa ndipo Nimeshangaa, Hata Mwendazake pia alishasaini na Huyu Pia akaenda Huko Sasa kusaini Kusaini kusaini Kila Wakati.
Sasa kuna tatizo. Kutokana na tatizo la mabadiliko ya mazingira (climate change), mataifa makubwa duniani yameweka mkakati wa kuacha kutumia mafuta kwa ajili ya magari na mitambo. Norway kwa mfano, wanasema kufikia 2050 wataacha kabisa shughuli za kuchimba mafuta.Mhe. Rais Museveni na Mhe. Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta la kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga nchini Tanzania
Tunashughurikia kwanza swala la land acquisition msijali muda si mrefu tunaita interview maana maombi ya kazi teyari tulishapokea 😂😂😂Tumeshachoka na uzinduzi ,mbona hatuoni magreda site?
Mara Pap Mtawala kikongwe wa UG amekuwa 1st Gentlemen. Watoto wa kike sio wakuwaamini sana. Tunaweza jikuta Dodoma inahamia Kampala. Tunasema mikataba ya bomba kumbe hati za ndoa.
Kama season za kwny isidingo jomba.Kwani utiaji saini wa huu mradi una season ngapi?
Na M7 atanuna kishenziiiii,maana ni paka na panya na hio nchi.Huyu waziri Liberata anawaza Rwanda tu inakuwaje anakosea kuwa huu mkataba ni wa Tz na Rwanda badala ya Ug
Halafu huwa kama hajiamini hivi
Hapo hakuna kitu wanatuhadaa tu,kampuni ya total imenyimwa mkopo wa kujenga hilo bombaHapa ndipo Nimeshangaa, Hata Mwendazake pia alishasaini na Huyu Pia akaenda Huko Sasa kusaini Kusaini kusaini Kila Wakati.
Hivi kwann mikataba ni siri ya serikali?Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni leo tarehe 20 Mei, 2021 atafanya ziara ya kikazi ya siku 1 hapa nchini kwa Mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Akiwa hapa nchini Mhe. Rais Museveni na Mhe. Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta la kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga nchini Tanzania kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni za uwekezaji katika mradi huo (Host Government Agreement) utakaofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:00 asubuhi.
========
Shughuli inaanza kwa nyimbo za Taifa na wimbo wa Afrika Mashariki. Gerson Msigwa anaanza kwa kutoa ufafanuzi wa wingi wa mikataba inayosainiwa kwenye bomba hilo.
Msigwa amefafanua mkataba wa leo ni makubaliano kati ya nchi ya Tanzania na kampuni itakayotekeleza mradi, amesema miradi mikubwa kama huu wa mafuta unaohusisha zaidi ya pande moja huambatana na utiaji saini wa mikataba kadha kadha hivyo hakuna kujirudia kwa utiaji saini wa mikataba.
Mkataba wa bomba la mafuta umetiwa saini na waziri wa nishati, Medard Kalemani shuhuda akiwa mwanasheria mkuu wa Tanzania, Prof. Kilangi na kwa upande wa kampuni ya EACOPP ni mkuregunzi mkuu wa kampuni hiyo, Martin John na atashuhudiwa na rais wa utafiti na uzalishaji wa Total Afrika, Nicholaus Teraz.
========
Pia soma
- Marais Museveni na Magufuli wakubaliana kujenga bomba la mafuta
- Rais Magufuli na Museven kuzindua mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Uganda wiki ijayo
- Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga
- Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020
- Serikali za Tanzania na Uganda zatiliana saini mkataba wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta
- Tanzania yasaini mkataba wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima, Uganda
- Kampuni ya Uchimbaji mafuta Uganda yavunja Mkataba na TOTAL. Je, maslahi yetu kwenye Bomba la Mafuta yatakuwaje?
- Kampuni ya Uchimbaji mafuta Uganda yavunja Mkataba na TOTAL. Je, maslahi yetu kwenye Bomba la Mafuta yatakuwaje?
Rais Samia pengine anao umri wa mama yako mzazi. Jaribu uwe na adabu japo za kinafiki.Mara Pap Mtawala kikongwe wa UG amekuwa 1st Gentlemen. Watoto wa kike sio wakuwaamini sana. Tunaweza jikuta Dodoma inahamia Kampala. Tunasema mikataba ya bomba kumbe hati za ndoa.
Soma ufafanuzi wa MsigwaHapa ndipo Nimeshangaa, Hata Mwendazake pia alishasaini na Huyu Pia akaenda Huko Sasa kusaini Kusaini kusaini Kila Wakati.
teh teh tehMara Pap Mtawala kikongwe wa UG amekuwa 1st Gentlemen. Watoto wa kike sio wakuwaamini sana. Tunaweza jikuta Dodoma inahamia Kampala. Tunasema mikataba ya bomba kumbe hati za ndoa.
Haunisaidii Mkuu, umefika Wakati Hii Mikataba Iwe public aiseeeh Maana Hizi Pesa tunalipa SisiSoma ufafanuzi wa Msigwa
Kuna tusilolijua nyuma ya pazia.Hili Bomba la mafuta kila siku wanasaini mikataba.