Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Well Ikulu aikutakiwa kuipa priority habari ya raisi kukutana Odinga.Ameshatoa pole masaa ma 4 yaliyopita, uwe unafuatilia kabla hujalalamika
Swala sio kutoa pole she is supposed to comfort the nation na kuwapa raia assurance.
Sio kutuambia alikuwa na Odinga wakati hundreds of lives were at risk jamaa kama angeamua kufanya madhara.
Halafu wao wanatuambia mama alikuwa na Odinga wakati oysterbay ilikuwa war zone mchana in the rush hour.