Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,069
Kabisa mkuu
Wewe unaonekana si mfuatiliaji wa habari.
Wewe unaonekana si mfuatiliaji wa habari.
Wameanza bwashee TBC!Wakianza live tuambiane jmn
UMeona eeh, yaani hawana timing kabisa, Simba ni muhimu kuliko mavitu yao ya ajabu huko dodoma, haramu toka mwnzo haiwezi kuw halaliTuko bize na mechi ya Simba. Mtutolee ujinga wenu
😲🤣🤣Nimesikiliza ila sikumbuki nani ni nani kwenye wizara gani...hahhaahahhaahhaha
Mungu si mjinga haramu aihalalishe, neverKila la kheri na Mungu awaongoze katika shughuli za ujenzi wa Tanzania yetu.
[/QUOTE]RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA
Jumla ya Mawazi 21
(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani -
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Gwajima
(5) Elimu - Professor Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Utumishi. - Joji Mkuchika
(8). Muungano -
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13). Waziri Mkuu - Jenister Mhagama
(14). Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20)
(21)
QUOTE="Roving Journalist, post: 37485031, member: 429096"]
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020
[/QUOTE]13 hapo ni nini mkuu?RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA
Jumla ya Mawazi 21
(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani -
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Gwajima
(5) Elimu - Professor Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Utumishi. - Joji Mkuchika
(8). Muungano -
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13). Waziri Mkuu - Jenister Mhagama
(14). Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20)
(21)
QUOTE="Roving Journalist, post: 37485031, member: 429096"]
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020