Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,268
- 1,652
Kuna nini kimetokea kwa Dk Ashatu kijaji? huyu ni msomi mzuri wa Uchumi na ingekuwa bora kuungana na Dk mango katika wizara ya fedha, yaani unachagua akina katambi unamuacha Dk Ashatu? sioni logic.