Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,029
- 1,249
Ambayo ipo chini Ya pharmacyMD heshima yake iko pale pale hao wote hao wapo chini ya huyo mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambayo ipo chini Ya pharmacyMD heshima yake iko pale pale hao wote hao wapo chini ya huyo mtu.
Asante kwa Taarifa mkuuMuhas wameongeza Degree yake Tayar
Ambayo ipo chini Ya pharmacy
Embu toa maelezo kidogo labda tunaweza kukuelewana.Ambayo ipo chini Ya pharmacy
Muongozo upi mkuu!?Watu was half life,nuclear physics na harmful radiation mkuje kutoa muongozo ,apo juu cjaona at a walichoshauri
Physics DThis time around we don't focus much kwenye mishahara but nachojua hii kozi ni nzuri Sana hata kwenye kujiajili.
Note: Bachelor yake imeanzisha na muhas pia mwaka huu.
Kama matokeo hyo ni kwa Adv utapata. Ila km ni o level hupati. Hapo physics ndio core subject.Physics D
Math C
Bios B
Chemi C
Kwa hapo kuna uwezekano wa kupata Bugando kweli?
Ni urafi wetu tu MkuuKwanini mtu kama huna akili usome hayo mambo hanayohitaji genious asome???
Tumejaribu kupiga simu hazitumiki zingine ziko busy muda wote siku zote. email hazijibiwi, Siku zinasonga hizi zilizopo kwenye Account zingine ukifanikiwa kuzipakua basi utakuta ni empty page, Ni week ya pili sasa.Salaam wakuu,
Naomba kuuliza Admision latter and documents za DDR MUHAS 2022/3 Nazipataje maana hizi tulizopewa kwenye Account hazipakuliki wala hazifunguki.
Naomba japo mwenye sample ya Mwaka jana nijarib kurelate mambo.
Msaada tafadhal.
Usiwe na haraka, baada ya Muda zitapakulika tu.Salaam wakuu,
Naomba kuuliza Admision latter and documents za DDR MUHAS 2022/3 Nazipataje maana hizi tulizopewa kwenye Account hazipakuliki wala hazifunguki.
Naomba japo mwenye sample ya Mwaka jana nijarib kurelate mambo.
Msaada tafadhal.
Relax mkuu zitapakulika tu au kama upo dar nenda hapo muhas watakusaidia mkuu.Salaam wakuu,
Naomba kuuliza Admision latter and documents za DDR MUHAS 2022/3 Nazipataje maana hizi tulizopewa kwenye Account hazipakuliki wala hazifunguki.
Naomba japo mwenye sample ya Mwaka jana nijarib kurelate mambo.
Msaada tafadhal.
Mkuu we umeshachaguliwa, usijitie pressure, baada ya Muda zitakuwepo, miaka yote Huwa iko hivo tu.Tumejaribu kupiga simu hazitumiki zingine ziko busy muda wote siku zote. email hazijibiwi, Siku zinasonga hizi zilizopo kwenye Account zingine ukifanikiwa kuzipakua basi utakuta ni empty page, Ni week ya pili sasa.
Nahitaj ufumbuzi wa hili jambo tu hata kwa ushauri kama ukikwama kama mimi.
Amani itawale.
Sawasawa Mkuu, Ahsante kwa kunitoa hofu.Usiwe na haraka, baada ya Muda zitapakulika tu.
Usiwe na haraka please.
Nipo mbali sana Mkuu wacha nizisubir tu onlineRelax mkuu zitapakulika tu au kama upo dar nenda hapo muhas watakusaidia mkuu.
AamenMkuu we umeshachaguliwa, usijitie pressure, baada ya Muda zitakuwepo, miaka yote Huwa iko hivo tu.
Relax, muhas is Yours and DDR is yours.
je inaitaji vigezo vip kujiunga na kozi hii?Ddr ni kozi ambayo haifahamiki sana miongoni mwa watu.
Diploma in diagnostic radiography inatolewa na vyuo viwili tu Tanzania ambavyo ni muhas and cuhas. Ni kozi ambayo degree yake inatolewa na cuhas tu hapa Tanzania lakini pia muhas Wana mpango was kuanzisha degree yake.
Kiufupi katika kozi hii mwanafunzi atafundishwa kuchunguza (diagnose) abnormalities (diseases, trauma etc) kwa kutumia mionzi (radiations) mfano mwanafunzi atafundishwa jinsi ya kutumia x-ray machine, CT SCAN, MRI(non-radiation use), ultrasound machine ili kuchunguza magonjwa (cancer, bone diseases etc) ndani ya mwili wa binadamu lakini pia mtu akipata ajali lazima utafundishwa kuangalia sehemu ya mwili iliyoumia (Traumatic cases) kwa kutumia mionzi.
Kozi hii ni miaka mitatu (duration) na kozi hii ipo under TCU and not under NACTE Kama kozi zingine za diploma.
Kwa maelezo zaidi juu ya kozi hii nzuri unaweza kuyapata kupitia websites za vyuo husika (muhas na cuhas).
Ukipata bahati ya kuchaguliwa muhas utafaidi Sana maana vifaa (modalities such as x-ray machine, CT SCAN, MRI, ultrasound machine, Angiography machine, flouroscopy etc) ni vingi Sana so utakuwa na ujuzi mwingi lakini pia resources zingine Kama vitabu ni vingi Sana maana Kuna Muhas Library 24/7 inafunguliwa kwahiyo mwanafunzi atapata maarifa na ujuzi mwingi Sana katika kozi hii.
Mwisho Kabisa wanafunzi huwa wanafanya rotation zao katika hospitali Kama vile Muhimbili national hospital, Muhimbili orthopaedic institute (MOI), Ocean road Cancer institute (ORCI), Mloganzila Muhimbili hospital.
Nakualika wewe kijana mwenzangu uliye na ndoto za kusoma afya Kama una vigezo karibu usome hii kozi hautojutia maamuzi yako.
Lordfrank student at muhas.
Ingia websites za vyuo husika uangalie vigezo! Kama ni MUHAS au CUHAS.je inaitaji vigezo vip kujiunga na kozi hii?