LordMasele III
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 300
- 266
- Thread starter
- #41
Tatizo lako unataka wakujue Kama unasoma DDR that's bullshit, we Kama msomi unaeijua DDR ungekuja na additional point ambayo Mimi mtoa mada sikuiandika na siyo kuropoka😉.Mtoa maada unapoulizwa jibu kwa ukamilifu. Nashangaa unavyodanganya kwamba ada ya DDR ni 400K bila kuwa specific. Mimi nalipa ada 1.2M kwa DDR kwa hiyo eleza vema kwamba mtu akipata bahati ya kuchaguliwa kama regular student ndo atalipa 400K otherwise akichaguliwa DDR-Evening ada ni 1.2M na michango mingine kibao.
Meaning no offense 😅